Ufisadi wa Tsh. Bilioni 3 NHIF uliobainishwa na ripoti ya CAG, umesababishwa na makosa kwenye mfumo wa makusanyo ya fedha za bima yenyewe

Makanyaga

JF-Expert Member
Sep 28, 2007
10,327
6,850
Ni kwamba nimesoma LAW OF INSURANCE, na wale waliosoma sheria kama kuna sehemu sitaenda sawa, watanirekebisha katika hili.
Mimi siyo mwanachama wa mfuko huu, na kilichonisababisha nisijiunge ni namna makato ya mfuko huu jinsi yanavyofanyika.

Kwanza kabla sijaenda mbali sana, kawaida makato ya Bima huwa yana-base kwenye risk au kitu ambacho tahadhari yake inakufanya ukikatie Bima. Kwa mfano Bima tuseme ya maisha ya mtu ambaye huwa anavuta sigara, malipo yake kwa mwaka (premiums), ni kubwa kuliko mtu ambaye havuti sigara kwa sababu anayevuta sigara risk yake ya kupoteza maisha ni kubwa kuliko ya yule ambaye havuti sigara.

Kwa hiyo hawa watu wawili wakienda kwenye kampuni moja siku moja na kukata Bima za maisha za muda unaofanana tuseme wa miaka mitano (5), anayevuta sigara premuium yake itakuwa kubwa kuliko ya yule ambaye havuti sigara.

Kutokana na hali hiyo basi, PREMIUM au malipo anayotakiwa mwanachama kulipia kwa mwaka, huwa yako based on the RISK INSURED na si vinginevyo!

Kwa ufupi sana mapaka hapa sasa, naomba sasa nieleze mimi kwa nini nilishindwa kujiunga na BIMA YA AFYA YA NHIF, labda mpaka pale itakapokuwa ni mandotory:

Nilipotaka kujiunga nilielezwa kuwa nitakuwa nakatwa asilimia tatu (3%) ya mshahara wangu KWA MWEZI na mwajiri naye, yaani Serikali naye atanichangia asilimia 3 KWA MWEZI vilelile.
Kwenye kipengele hiki tu peke yake, unaweza kuona kasoro za wazi kabisa kama ifuatavyo.

MOSI: Kwa namna sheria za Bima zilivyo, kipengele hiki hakiko sahihi, na kingekuwa sahihi tu kama kile ninachokatia BIMA, ungekuwa ni mshahara.

PILI: Remiums ambazo watu wanatakiwa wachangie kwa ajili ya BIMA ya Afya ya NHIF, zinatakiwa kuwa sawa kwa watu wote, yaani inatakiwa kuwa flat rate kwa sababu risk ya wafanyakazi tuseme wa Banadri kuugua, ni sawa kwa wote, ukiondoa cases chache sana za watu abao huwa wanaugua mara kwa mara, lakini kwa wafanyakazi ambao huwa wanahudhuria ofisini siku zote na hawana matatizo peculiar ya kiafya, risk yao ya kuugua iko sawa na hivyo Premiums zao katika kulipia Bima ya Afya zinatakiwa zilingane bila kutofautiana hata senti moja.

TATU: Kulingana na sheria za Bima jinsi zilivyo, Serikali hailazimiki kulipia premiums za wafanyakazi wake wanaojiunga katika mfuko huu, kanma ilivyo kwenye mifuko mingine ya hifadhi kama PPF, NSSF, n.k. Huu mfuko una tofauti kubwa mno na mifuko hiyo na hivyo Serikali inaweza kuchangia iwapo tu ni yenyewe imeridhia kufanya hivyo. SERIKALI KUENDELEA KUCHANGIA KWENYE MFUKO HUU PIA, NI KUIPA MZIGO WA ZIADA AMBAO HAIKUSTAHILI KUUBEBA. Bima ya mfanyakazi wa Serikali haina uhusiano wowote na mwajiri wake na hivyo haina uhusiano na hela za Serikali. Kwa mfano mimi ninapokata Bima yangu ya Afya, ni sawa tu na ninavyokata Bima ya Gari langu, je Serikali au mwajiri ana ulazima gani wa kunichangia kwenye BIMA ya gari langu? Of course wakipenda wanaweza ila hawalazimiki kufanya hivyo.

NNE: Kwa policy niliyoongelea hapo juu ya ya 3% kwenye mshahara, Profesa tuseme aliye na msahara wa takribani million 7, analazimika kuchangia Tshs 210,000/= kwa mwezi sawa na Tshs 2,520,000/= kwa mwaka kitu ambacho ni hela nyingi mno kwa mwaka kwa sababu Serikali nayo tena inalazimika kumchangia kiasi hicho. Kwa uelewa wangu, the most expensive Bima ya Afya ambayo si ya NHIF, inaweza ikagharimu si zaidi ya Tshs 200,000/= kwa mwaka. Kwa hiyo unaweza kuona kuwa Profesa anatoa hela kwa mwezi ambayo ilikuwa inamtosha kulipia Bima ya Afya kwa Mwaka mzima, na bado tena Serikali nayo inatoa kiasi hicho.

HITIMISHO:
Huu mfuko ulitengenezwa katika namna ambayo ulipewa loopholes za kukusanya hela nyingi unnecessarily, huku ukiwaumiza wanachama na Serikali pia. Nashauri Serikali walifanyie kazi hili ili Premiums za NHIF ziwe kiwango kimoja kwa wanachama wote Tanzania nzima, na ikiwezekana wale wanaokatwa kwenye mshahara, wakatwe mara moja tu kwa mwaka na si kila mwezi. Watu wanakatwa mamillion kwa mwaka kwenye mshahara mpaka unaogopa, na Serikali nayo bado inakuwa imechangia tena kiasi kile kile kama ambacho amekatwa mwanachama. Mfuko huu unatengeneza cash nyingi mno ambayo iko idle na kwa vyvyote vile lazima watu walio na access na cash hizo wawe propmted kuzichukua.

Kawaida, BIMA ni mfuko unaokusanya pesa kidogo kidogo sana lakin kwa wanachama wengi sana, na huwa zinafikia kuwa nyingi sana kiasi kwamba haziwezi kuisha unless zimeibiwa au zimetumiwa kwa matumizi tofauti; na hizo hela tena ndiyo huwa zinatumika kurudisha huduma kwa baadhi tu ya wanachama hao, na kwa NHIF naweza kusema, mwanachama mmoja akichangia laki mbili (2) tu mwaka, halafu tuseme wanachama asilimia 80 wakawa wameugua kwa mwaka na kutumia hela hiyo, bado hela hiyo haiwezi kuisha na itaendelea kubaki, tena nyingi tu.

Kwa hiyo maoni yangu ni kuwa premium za NHIF napendekeza ziwe sawa kwa watu wote na zisizidi laki mbili (200,000/=) kwa mwaka, NA SERIKALI ISICHANGIE CHOCHOTE KWENYE MFUKO HUU. Vinginevyo tutazidi kuibiwa. Juzi mme na mke wamejiua Tabora kisa kukosa hela ya matibabu ya mtoto wao, na huwezi kujua pengine hata mtoto naye pia ameshafariki. Kwa mantiki hiyo tumepoteza watu watatu kwa kukosa hela ya matibabu, halafu leo tunaambiwa Billion 3 zimemeyeyuka tena kwenye mfuko ambao ulitakiwa wakati mwingine uwe unatoa huduma hata kwa watu ambao siyo wanachama ambao wana mahitaji ya kipekee kama hawa waliojiua.

UPDATE

Source https://www.ippmedia.com/sw/habari/bodi-ya-mikopo-yashindwa-kubaini-wakopaji-tril-146:

MALIPO HEWA BIMA YA AFYA

Prof. Assad pia alisema uchunguzi wa vitabu vya fedha, taarifa za benki na hati za malipo za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, ulibainika kuwapo kwa malipo ya kiasi Sh. bilioni tatu.

Kati yake, Sh. bilioni 2.61 ni malipo hewa, Sh. milioni 350.8 ni malipo ambayo walipwaji hawakubainika na Sh. milioni 42.6 hazikuthibitika kupokewa na walipwaji.

CAG alisema malipo hayo yalitakiwa kulipwa kwa watoa huduma za afya kwa kutumia hundi zilizofungwa, lakini yalifanywa kwa fedha taslimu kinyume cha Kanuni za Fedha za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

Pia, makusanyo ya mwaka yanaendelea kuwa makubwa zaidi ya malipo ya huduma za bima ya afya, ambapo kwa sasa malipo ya huduma za afya yanakua kwa uwiano mkubwa mwaka hadi mwaka, zaidi ya uwiano wa kukua kwa mapato.

"Kutokana na hali hii, makisio ya madai ya huduma za bima ya afya pekee ifikapo mwaka wa fedha utakaoishia Juni 2024, yatakuwa ni asilimia 99.2 ya jumla ya makusanyo yote. Uwiano huu unakisiwa kuongezeka zaidi hadi kufikia asilimia 104.8 katika mwaka unaofuata.

"Hali hii inamaanisha kwamba madai ya huduma za bima ya afya yanaendelea kuongezeka na itafikia kipindi ambapo makusanyo na mapato kutoka katika uwekezaji hayataweza kukidhi madai na hivyo itaulazimu mfuko kuchukua hatua za dharura kama kuuza mali zake," alisema.
 
wakati wa ukaguzi Uongozi wa kampuni unapewa muda wa kujibu hoja kabla ya auditors hawajaondoka, na kama majibu yanawaridhisha huwa wanaiondoa hiyo hoja, kama hiyo hoja yako ni ya msingi uongozi wa NHIF ulitakiwa uwajibu auditors kabla ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi
 
wakati wa ukaguzi Uongozi wa kampuni unapewa muda wa kujibu hoja kabla ya auditors hawajaondoka, na kama majibu yanawaridhisha huwa wanaiondoa hiyo hoja, kama hiyo hoja yako ni ya msingi uongozi wa NHIF ulitakiwa uwajibu auditors kabla ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi

Sijakuelewa. Yaani mimi nilichoongelea hapa, ni setup ya mfuko wenyewe ilivyo tangu mwanzo na si kwa kipindi hiki tu ambacho pesa imekwapliwa. Mfuko ulianzishwa ukiwa imei-incorporate provisions ambazo haziko sahihi na haziendani na jinsi ambavyo mifuko ya Bima huwa inatakiwa ku-operate!
 
wakati wa ukaguzi Uongozi wa kampuni unapewa muda wa kujibu hoja kabla ya auditors hawajaondoka, na kama majibu yanawaridhisha huwa wanaiondoa hiyo hoja, kama hiyo hoja yako ni ya msingi uongozi wa NHIF ulitakiwa uwajibu auditors kabla ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi
Halafu sasa cha ajabu ni kwamba, kuna baadhi ya sehemu ambazo watu wanakatwa NHIF kwa lazima, na wala siyo wanachama. Mimi mwenyewe I'm a victim of the situation tangu December 2014 mpaka leo. Nimeumia mno kuona huwa ninachangia zaidi ya million kwa mwaka, halafu hela zinaibiwa, halafu juzi watu wamekufa baada ya kukosa hela ya matibabu ya mtoto wao. Mimi huu mfuko huwa nakatwa kwa lazima zaidi ya million kwa mwaka na sijwawhi kujiunga wala kadi sina!
 
wakati wa ukaguzi Uongozi wa kampuni unapewa muda wa kujibu hoja kabla ya auditors hawajaondoka, na kama majibu yanawaridhisha huwa wanaiondoa hiyo hoja, kama hiyo hoja yako ni ya msingi uongozi wa NHIF ulitakiwa uwajibu auditors kabla ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi
Halafu sasa cha ajabu ni kwamba, kuna baadhi ya sehemu ambazo watu wanakatwa NHIF kwa lazima, na wala siyo wanachama. Mimi mwenyewe I'm a victim of the situation tangu December 2014 mpaka leo. Nimeumia mno kuona huwa ninachangia zaidi ya million kwa mwaka, halafu hela zinaibiwa, halafu juzi watu wamekufa baada ya kukosa hela ya matibabu ya mtoto wao. Mimi huu mfuko huwa nakatwa kwa lazima zaidi ya million kwa mwaka na sijwawhi kujiunga wala kadi sina!
 
wakati wa ukaguzi Uongozi wa kampuni unapewa muda wa kujibu hoja kabla ya auditors hawajaondoka, na kama majibu yanawaridhisha huwa wanaiondoa hiyo hoja, kama hiyo hoja yako ni ya msingi uongozi wa NHIF ulitakiwa uwajibu auditors kabla ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi
Yale yale ya 1.5T na udhaifu kama ulivyotamkwa....

Yaani mtu kwenye muda muafaka ashindwe kuwasilisha vielelezo, halafu ripoti ikitoka ndo aanze kuhaha kujitetea....!!! ALIKWINA..???
 
Sijakuelewa. Yaani mimi nilichoongelea hapa, ni setup ya mfuko wenyewe ilivyo tangu mwanzo na si kwa kipindi hiki tu ambacho pesa imekwapliwa. Mfuko ulianzishwa ukiwa imei-incorporate provisions ambazo haziko sahihi na haziendani na jinsi ambavyo mifuko ya Bima huwa inatakiwa ku-operate!
Unadhani kwa nini haya hayakusemwa, au kama yalisemwa hayakuchukuliwa kama ni sababu zenye mashiko?
 
Wafanye wafanyavyo wasije wakavuruga huduma ya bima hii
 
Unadhani kwa nini haya hayakusemwa, au kama yalisemwa hayakuchukuliwa kama ni sababu zenye mashiko?
Ni kwa sababu kazi ya CAG haikuwa kwenda kukagua muundo wa NHIF na mfumo wake kwamba ukoje hapana, bali ku-ascertain kama financial transactions zimefanyika kama inavyotakiwa. Yeye kazi yake ni kukagua mahesabu siyo kukagua mfumo wa organisation inavyo-operate na kama imekuwa setup kama inavyotakiwa ama la, hiyo yeye siyo kazi yake!
 
wakati wa ukaguzi Uongozi wa kampuni unapewa muda wa kujibu hoja kabla ya auditors hawajaondoka, na kama majibu yanawaridhisha huwa wanaiondoa hiyo hoja, kama hiyo hoja yako ni ya msingi uongozi wa NHIF ulitakiwa uwajibu auditors kabla ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi

ni kweli kabisa na nadhani ni siku 14 za kujibu queries zote.. sasa kama walishindwa kumjibu CAG sisi ufafanuzi huo hautusaidii chochote
 
Ni kwa sababu kazi ya CAG haikuwa kwenda kukagua muundo wa NHIF na mfumo wake kwamba ukoje hapana, bali ku-ascertain kama financial transactions zimefanyika kama inavyotakiwa. Yeye kazi yake ni kukagua mahesabu siyo kukagua mfumo wa organisation inavyo-operate na kama imekuwa setup kama inavyotakiwa ama la, hiyo yeye siyo kazi yake!
Soma post # 12 hapo juu.... maelezo yako yote yana=base kwamba hela hazijaibiwa, ni mfumo tu ndo tatizo....HAYA ZIPO WAPI?
 
Bima gani hiyo laki mbili? Aar ni zaidi ya $1000 kwa mtu mmoja kwa mwaka . Nadhani ubadhirifu anaouzungumzia cag ni ule wa manunuzi na matumizi mabovu. Sijaelewa setup ya mfuko unahusikaje hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma post # 12 hapo juu.... maelezo yako yote yana=base kwamba hela hazijaibiwa, ni mfumo tu ndo tatizo....HAYA ZIPO WAPI?

Hapana wewe ndiyo hujaelewa.Fedha zimeibiwa. Ni kwamba kabla ya ripoti ya CAG kuwa public, huwa kuna hiyo grace period ya siku 14, kwa wao kuweza kujibu kama kuna kitu wanaona hayuko sahihi, muda ambao walipewa na sasa umeshapita tayari. Kipindi hicho kimeshapita na hivyo CAG ametoa public kile ambacho hata wao NHIF walikubaliana nacho kabla haja-release report yake kuwa public
 
Source; https://www.bbc.com/swahili/habari-47881224

Ni kwamba nimesoma LAW OF INSURANCE, na wale waliosoma sheria kama kuna sehemu sitaenda sawa, watanirekebisha katika hili.
Mimi siyo mwanachama wa mfuko huu, na kilichonisababisha nisijiunge ni namna makato ya mfuko huu jinsi yanavyofanyika.

Kwanza kabla sijaenda mbali sana, kawaida makato ya Bima huwa yana-base kwenye risk au kitu ambacho tahadhari yake inakufanya ukikatie Bima. Kwa mfano Bima tuseme ya maisha ya mtu ambaye huwa anavuta sigara, malipo yake kwa mwaka (premiums), ni kubwa kuliko mtu ambaye havuti sigara kwa sababu anayevuta sigara risk yake ya kupoteza maisha ni kubwa kuliko ya yule ambaye havuti sigara.

Kwa hiyo hawa watu wawili wakienda kwenye kampuni moja siku moja na kukata Bima za maisha za muda unaofanana tuseme wa miaka mitano (5), anayevuta sigara premuium yake itakuwa kubwa kuliko ya yule ambaye havuti sigara.

Kutokana na hali hiyo basi, PREMIUM au malipo anayotakiwa mwanachama kulipia kwa mwaka, huwa yako based on the RISK INSURED na si vinginevyo!

Kwa ufupi sana mapaka hapa sasa, naomba sasa nieleze mimi kwa nini nilishindwa kujiunga na BIMA YA AFYA YA NHIF, labda mpaka pale itakapokuwa ni mandotory:

Nilipotaka kujiunga nilielezwa kuwa nitakuwa nakatwa asilimia tatu (3%) ya mshahara wangu KWA MWEZI na mwajiri naye, yaani Serikali naye atanichangia asilimia 3 KWA MWEZI vilelile.
Kwenye kipengele hiki tu peke yake, unaweza kuona kasoro za wazi kabisa kama ifuatavyo.

MOSI: Kwa namna sheria za Bima zilivyo, kipengele hiki hakiko sahihi, na kingekuwa sahihi tu kama kile ninachokatia BIMA, ungekuwa ni mshahara.

PILI: Remiums ambazo watu wanatakiwa wachangie kwa ajili ya BIMA ya Afya ya NHIF, zinatakiwa kuwa sawa kwa watu wote, yaani inatakiwa kuwa flat rate kwa sababu risk ya wafanyakazi tuseme wa Banadri kuugua, ni sawa kwa wote, ukiondoa cases chache sana za watu abao huwa wanaugua mara kwa mara, lakini kwa wafanyakazi ambao huwa wanahudhuria ofisini siku zote na hawana matatizo peculiar ya kiafya, risk yao ya kuugua iko sawa na hivyo Premiums zao katika kulipia Bima ya Afya zinatakiwa zilingane bila kutofautiana hata senti moja.

TATU: Kulingana na sheria za Bima jinsi zilivyo, Serikali hailazimiki kulipia premiums za wafanyakazi wake wanaojiunga katika mfuko huu, kanma ilivyo kwenye mifuko mingine ya hifadhi kama PPF, NSSF, n.k. Huu mfuko una tofauti kubwa mno na mifuko hiyo na hivyo Serikali inaweza kuchangia iwapo tu ni yenyewe imeridhia kufanya hivyo. SERIKALI KUENDELEA KUCHANGIA KWENYE MFUKO HUU PIA, NI KUIPA MZIGO WA ZIADA AMBAO HAIKUSTAHILI KUUBEBA. Bima ya mfanyakazi wa Serikali haina uhusiano wowote na mwajiri wake na hivyo haina uhusiano na hela za Serikali. Kwa mfano mimi ninapokata Bima yangu ya Afya, ni sawa tu na ninavyokata Bima ya Gari langu, je Serikali au mwajiri ana ulazima gani wa kunichangia kwenye BIMA ya gari langu? Of course wakipenda wanaweza ila hawalazimiki kufanya hivyo.

NNE: Kwa policy niliyoongelea hapo juu ya ya 3% kwenye mshahara, Profesa tuseme aliye na msahara wa takribani million 7, analazimika kuchangia Tshs 210,000/= kwa mwezi sawa na Tshs 2,520,000/= kwa mwaka kitu ambacho ni hela nyingi mno kwa mwaka kwa sababu Serikali nayo tena inalazimika kumchangia kiasi hicho. Kwa uelewa wangu, the most expensive Bima ya Afya ambayo si ya NHIF, inaweza ikagharimu si zaidi ya Tshs 200,000/= kwa mwaka. Kwa hiyo unaweza kuona kuwa Profesa anatoa hela kwa mwezi ambayo ilikuwa inamtosha kulipia Bima ya Afya kwa Mwaka mzima, na bado tena Serikali nayo inatoa kiasi hicho.

HITIMISHO:
Huu mfuko ulitengenezwa katika namna ambayo ulipewa loopholes za kukusanya hela nyingi unnecessarily, huku ukiwaumiza wanachama na Serikali pia. Nashauri Serikali walifanyie kazi hili ili Premiums za NHIF ziwe kiwango kimoja kwa wanachama wote Tanzania nzima, na ikiwezekana wale wanaokatwa kwenye mshahara, wakatwe mara moja tu kwa mwaka na si kila mwezi. Watu wanakatwa mamillion kwa mwaka kwenye mshahara mpaka unaogopa, na Serikali nayo bado inakuwa imechangia tena kiasi kile kile kama ambacho amekatwa mwanachama. Mfuko huu unatengeneza cash nyingi mno ambayo iko idle na kwa vyvyote vile lazima watu walio na access na cash hizo wawe propmted kuzichukua.

Kawaida, BIMA ni mfuko unaokusanya pesa kidogo kidogo sana lakin kwa wanachama wengi sana, na huwa zinafikia kuwa nyingi sana kiasi kwamba haziwezi kuisha unless zimeibiwa au zimetumiwa kwa matumizi tofauti; na hizo hela tena ndiyo huwa zinatumika kurudisha huduma kwa baadhi tu ya wanachama hao, na kwa NHIF naweza kusema, mwanachama mmoja akichangia laki mbili (2) tu mwaka, halafu tuseme wanachama asilimia 80 wakawa wameugua kwa mwaka na kutumia hela hiyo, bado hela hiyo haiwezi kuisha na itaendelea kubaki, tena nyingi tu.

Kwa hiyo maoni yangu ni kuwa premium za NHIF napendekeza ziwe sawa kwa watu wote na zisizidi laki mbili (200,000/=) kwa mwaka, NA SERIKALI ISICHANGIE CHOCHOTE KWENYE MFUKO HUU. Vinginevyo tutazidi kuibiwa. Juzi mme na mke wamejiua Tabora kisa kukosa hela ya matibabu ya mtoto wao, na huwezi kujua pengine hata mtoto naye pia ameshafariki. Kwa mantiki hiyo tumepoteza watu watatu kwa kukosa hela ya matibabu, halafu leo tunaambiwa Billion 3 zimemeyeyuka tena kwenye mfuko ambao ulitakiwa wakati mwingine uwe unatoa huduma hata kwa watu ambao siyo wanachama ambao wana mahitaji ya kipekee kama hawa waliojiua.
E



Haituhusu
 
Source; https://www.bbc.com/swahili/habari-47881224

Ni kwamba nimesoma LAW OF INSURANCE, na wale waliosoma sheria kama kuna sehemu sitaenda sawa, watanirekebisha katika hili.
Mimi siyo mwanachama wa mfuko huu, na kilichonisababisha nisijiunge ni namna makato ya mfuko huu jinsi yanavyofanyika.

Kwanza kabla sijaenda mbali sana, kawaida makato ya Bima huwa yana-base kwenye risk au kitu ambacho tahadhari yake inakufanya ukikatie Bima. Kwa mfano Bima tuseme ya maisha ya mtu ambaye huwa anavuta sigara, malipo yake kwa mwaka (premiums), ni kubwa kuliko mtu ambaye havuti sigara kwa sababu anayevuta sigara risk yake ya kupoteza maisha ni kubwa kuliko ya yule ambaye havuti sigara.

Kwa hiyo hawa watu wawili wakienda kwenye kampuni moja siku moja na kukata Bima za maisha za muda unaofanana tuseme wa miaka mitano (5), anayevuta sigara premuium yake itakuwa kubwa kuliko ya yule ambaye havuti sigara.

Kutokana na hali hiyo basi, PREMIUM au malipo anayotakiwa mwanachama kulipia kwa mwaka, huwa yako based on the RISK INSURED na si vinginevyo!

Kwa ufupi sana mapaka hapa sasa, naomba sasa nieleze mimi kwa nini nilishindwa kujiunga na BIMA YA AFYA YA NHIF, labda mpaka pale itakapokuwa ni mandotory:

Nilipotaka kujiunga nilielezwa kuwa nitakuwa nakatwa asilimia tatu (3%) ya mshahara wangu KWA MWEZI na mwajiri naye, yaani Serikali naye atanichangia asilimia 3 KWA MWEZI vilelile.
Kwenye kipengele hiki tu peke yake, unaweza kuona kasoro za wazi kabisa kama ifuatavyo.

MOSI: Kwa namna sheria za Bima zilivyo, kipengele hiki hakiko sahihi, na kingekuwa sahihi tu kama kile ninachokatia BIMA, ungekuwa ni mshahara.

PILI: Remiums ambazo watu wanatakiwa wachangie kwa ajili ya BIMA ya Afya ya NHIF, zinatakiwa kuwa sawa kwa watu wote, yaani inatakiwa kuwa flat rate kwa sababu risk ya wafanyakazi tuseme wa Banadri kuugua, ni sawa kwa wote, ukiondoa cases chache sana za watu abao huwa wanaugua mara kwa mara, lakini kwa wafanyakazi ambao huwa wanahudhuria ofisini siku zote na hawana matatizo peculiar ya kiafya, risk yao ya kuugua iko sawa na hivyo Premiums zao katika kulipia Bima ya Afya zinatakiwa zilingane bila kutofautiana hata senti moja.

TATU: Kulingana na sheria za Bima jinsi zilivyo, Serikali hailazimiki kulipia premiums za wafanyakazi wake wanaojiunga katika mfuko huu, kanma ilivyo kwenye mifuko mingine ya hifadhi kama PPF, NSSF, n.k. Huu mfuko una tofauti kubwa mno na mifuko hiyo na hivyo Serikali inaweza kuchangia iwapo tu ni yenyewe imeridhia kufanya hivyo. SERIKALI KUENDELEA KUCHANGIA KWENYE MFUKO HUU PIA, NI KUIPA MZIGO WA ZIADA AMBAO HAIKUSTAHILI KUUBEBA. Bima ya mfanyakazi wa Serikali haina uhusiano wowote na mwajiri wake na hivyo haina uhusiano na hela za Serikali. Kwa mfano mimi ninapokata Bima yangu ya Afya, ni sawa tu na ninavyokata Bima ya Gari langu, je Serikali au mwajiri ana ulazima gani wa kunichangia kwenye BIMA ya gari langu? Of course wakipenda wanaweza ila hawalazimiki kufanya hivyo.

NNE: Kwa policy niliyoongelea hapo juu ya ya 3% kwenye mshahara, Profesa tuseme aliye na msahara wa takribani million 7, analazimika kuchangia Tshs 210,000/= kwa mwezi sawa na Tshs 2,520,000/= kwa mwaka kitu ambacho ni hela nyingi mno kwa mwaka kwa sababu Serikali nayo tena inalazimika kumchangia kiasi hicho. Kwa uelewa wangu, the most expensive Bima ya Afya ambayo si ya NHIF, inaweza ikagharimu si zaidi ya Tshs 200,000/= kwa mwaka. Kwa hiyo unaweza kuona kuwa Profesa anatoa hela kwa mwezi ambayo ilikuwa inamtosha kulipia Bima ya Afya kwa Mwaka mzima, na bado tena Serikali nayo inatoa kiasi hicho.

HITIMISHO:
Huu mfuko ulitengenezwa katika namna ambayo ulipewa loopholes za kukusanya hela nyingi unnecessarily, huku ukiwaumiza wanachama na Serikali pia. Nashauri Serikali walifanyie kazi hili ili Premiums za NHIF ziwe kiwango kimoja kwa wanachama wote Tanzania nzima, na ikiwezekana wale wanaokatwa kwenye mshahara, wakatwe mara moja tu kwa mwaka na si kila mwezi. Watu wanakatwa mamillion kwa mwaka kwenye mshahara mpaka unaogopa, na Serikali nayo bado inakuwa imechangia tena kiasi kile kile kama ambacho amekatwa mwanachama. Mfuko huu unatengeneza cash nyingi mno ambayo iko idle na kwa vyvyote vile lazima watu walio na access na cash hizo wawe propmted kuzichukua.

Kawaida, BIMA ni mfuko unaokusanya pesa kidogo kidogo sana lakin kwa wanachama wengi sana, na huwa zinafikia kuwa nyingi sana kiasi kwamba haziwezi kuisha unless zimeibiwa au zimetumiwa kwa matumizi tofauti; na hizo hela tena ndiyo huwa zinatumika kurudisha huduma kwa baadhi tu ya wanachama hao, na kwa NHIF naweza kusema, mwanachama mmoja akichangia laki mbili (2) tu mwaka, halafu tuseme wanachama asilimia 80 wakawa wameugua kwa mwaka na kutumia hela hiyo, bado hela hiyo haiwezi kuisha na itaendelea kubaki, tena nyingi tu.

Kwa hiyo maoni yangu ni kuwa premium za NHIF napendekeza ziwe sawa kwa watu wote na zisizidi laki mbili (200,000/=) kwa mwaka, NA SERIKALI ISICHANGIE CHOCHOTE KWENYE MFUKO HUU. Vinginevyo tutazidi kuibiwa. Juzi mme na mke wamejiua Tabora kisa kukosa hela ya matibabu ya mtoto wao, na huwezi kujua pengine hata mtoto naye pia ameshafariki. Kwa mantiki hiyo tumepoteza watu watatu kwa kukosa hela ya matibabu, halafu leo tunaambiwa Billion 3 zimemeyeyuka tena kwenye mfuko ambao ulitakiwa wakati mwingine uwe unatoa huduma hata kwa watu ambao siyo wanachama ambao wana mahitaji ya kipekee kama hawa waliojiua.

Huwezi andika yote haya bila interest na hili jambo, wezi tu nyie wa hela zetu, ipo siku.....
 
Ni kwa sababu kazi ya CAG haikuwa kwenda kukagua muundo wa NHIF na mfumo wake kwamba ukoje hapana, bali ku-ascertain kama financial transactions zimefanyika kama inavyotakiwa. Yeye kazi yake ni kukagua mahesabu siyo kukagua mfumo wa organisation inavyo-operate na kama imekuwa setup kama inavyotakiwa ama la, hiyo yeye siyo kazi yake!

Unapoenda kufanya ukaguzi sehemu, set-up ni kitu cha kwanza kudili nacho. Lazima ujiridhishe kwamba mfumo uliopo unatosha kuzuia majanga yanayoweza kujitokeza.

Ukishaona iko sahihi unaanza ukaguzi kwa kupunguza sample ya unachotaka kukagua kwa sababu umeweka reliance kwenye setup.

Ukiona setup haiko sawa unaripoti matatizo yanayoweza kujitokeza kutokana na udhaifu huo wa setup (system of controls). Na ni wakati huu ndiyo mnalazimika kufanya coverage kubwa zaidi ili kuhakikisha mnaona kila mnachopaswa kuona.
 
Unapoenda kufanya ukaguzi sehemu, set-up ni kitu cha kwanza kudili nacho. Lazima ujiridhishe kwamba mfumo uliopo unatosha kuzuia majanga yanayoweza kujitokeza?

Ukishaona iko sahihi unaanza ukaguzi kwa kupunguza sample ya unachotaka kukagua kwa sababu umeweka reliance kwenye setup.

Ukiona setup haiko sawa unaripoti matatizo yanayoweza kujitokeza kutokana na udhaifu huo wa setup (system of controls). Na ni wakati huu ndiyo mnalazimika kufanya coverage kubwa zaidi ili kuhakikisha mnaona kila mnachopaswa kuona.

Hiyo sasa itakuwa ni Physical Inspection possibly for security reasons or something similar na si Financial Accounting/ Audit. By the way, hiyo Law of Inurance nimeisoma wakati nasoma uhasibu, Hapa nilipo naongea kama mtaalamu na si kama layman
 
Back
Top Bottom