Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Michango au ushuru wa bima ya afya tunayochangia au kukatwa kwenye mishahara yetu sisi watumishi wa serikali, inaweza kutumika kuwatibu walala hoi ili wasitozwe chochote wanapohudhuria medical clinic. "Watu wanaangamia kwa kukosa hela"