Mmh siyo Mbagala bana mkuu! Hiyo ni njia ya Mwenge from Ubungo
Kwani Mwenge una njia yake maalumu?
Mmh siyo Mbagala bana mkuu! Hiyo ni njia ya Mwenge from Ubungo
Ndiyo mkuu! Ndiyo huwa unapita kwenye hilo ghorofa😏Kwani Mwenge una njia yake maalumu?
Ona sasa, ushaingizwa kingi mchana kweupeee, hapo color star (kivulini) 😳😳.. utaibiwa mkuu hapo town. Hiyo ni uhasibu na pembeni kuna hostelYaani ntabisha hadi asubuhi mkuu! Hapo ni Kivulini fyuu😀
Ndiyo mkuu! Ndiyo huwa unapita kwenye hilo ghorofa😏
Dah haya bana mi mzima kabis Swanga kuko poaaSijambo mdogo wangu,habari ya swax
Hongera kwa kuwa upande wa dreva shekh..Lina floor 35 (bila kuzingatia ground floors).
Sijui Benjamin Mkapa Pension Tower lina floor ngapi.
View attachment 1797446
Aah mkuu wewe umevaa miwani ya mbao ama! Hapo ni kivulini ovaOna sasa, ushaingizwa kingi mchana kweupeee, hapo color star (kivulini) 😳😳.. utaibiwa mkuu hapo town. Hiyo ni uhasibu na pembeni kuna hostel
Sawa mkuu! Karibu sanaOoh, nikija mjini utanitembeza nipaone hapo?
Ushaibiwa wewe.. ama kweli dar es salaam ni kiboko.. unaaminishwa kabisa hapo ni buguruni lozana na unakubali wakati hapo ni kwa Azizi Ali 🤗Aah mkuu wewe umevaa miwani ya mbao ama! Hapo ni kivulini ova
Tu unajiita financial services halafu pesa huna. Kweli Afrika ni koloni jeusiMarhaba mdogo angu! Habari ya huko
Sam nijoma roadMmh siyo Mbagala bana mkuu! Hiyo ni njia ya Mwenge from Ubungo
Upo kijiji gani? Au kijiji beach?Watu wa Dar huwa wananifurahishaga sana,yaani wengi wao wanajifanya kila kona ya jiji wanaijua wakati mimi huku tu nilipo mkoani sehemu kibao za hapa nilipokulia sizijui kivile,mitaa kibao napotea,sasa sijui ndio waonekane wa mjini
Bas tuko jirani kbsa mmi Niko app apa mawasiliano nyuma kbsa ya mgahawa wa mtumushiMmh siyo Mbagala bana mkuu! Hiyo ni njia ya Mwenge from Ubungo
Sio mawasiliano tower...hii ni psssf tower ipo Pembeni mwa IGESA ROAD (njia ya kwenda sinza makaburini)...Mawasiliano tower ipo mbele ya hii tower kama unatoka mwenge kwenda ubungoMawasiliano tower opposite na magufuli hostel.
Mshikaji ana wateja kinoma.Bas tuko jirani kbsa mmi Niko app apa mawasiliano nyuma kbsa ya mgahawa wa mtumushi