Kumbe hili ndio jengo refu kuliko yote Bongo!

Mshikaji ana wateja kinoma.
Sema ukibahatika kuzunguka kule nyuma jikoni wanakotunzia mauchafu utaapa KUTOKULA tena pale.

Gari la manispaa likichelewa kuja kubeba mauchafu hadi funza wanasambaa jikoni pote. Pananuka kinoma.

Sema kama ni Wanafunzi wa UDSM basi amewateeka kweli kweli. Naonaga wengine wanatoka hadi kule Magufuli Hostel usiku kuja kununua chipsi.
Duh hapo kwenye funza😪😪hivi ni huu mgahawa famous hivi upo karibu kabisa na stand ya mawasiliano?
 
Duh hapo kwenye funza😪😪hivi ni huu mgahawa famous hivi upo karibu kabisa na stand ya mawasiliano?
Opposite na geti zinapoingia daladala. Halafu utaratibu wao wa malipo siupendagi.

Ukimaliza kula, inabidi uinuke, umfate mtumishi alipo... Hapo nyuma yako anakusindikiza mhudumu aliyekuhudumia.

Mkifika kwa mtumishi, yule mhudumu anamtajia menu uliokula, ndio unalipa.

Kama mtumishi ameenda labda chooni itabidi ukae usubiri hadi arudi.

Wahudumu marufuku kupokea pesa ya mteja.
 
Hao wakuja, wanakudanganya.. wapo mikoani hao
Sawa bontown wa Mbagala 😀
Opposite na geti zinapoingia daladala. Halafu utaratibu wao wa malipo siupendagi.

Ukimaliza kula, inabidi uinuke, umfate mtumishi alipo... Hapo nyuma yako anakusindikiza mhudumu aliyekuhudumia.

Mkifika kwa mtumishi, yule mhudumu anamtajia menu uliokula, ndio unalipa.

Kama mtumishi ameenda labda chooni itabidi ukae usubiri hadi arudi.

Wahudumu marufuku kupokea pesa ya mteja.
Duh sasa mbona kuna mlolongo hivo kama jina lako😀😀 au wahudumu walikua wanaweka pesa mfukoni kwao nini!
 
sio mawasiliano tower...hii ni psssf tower ipo Pembeni mwa IGESA ROAD (njia ya kwenda sinza makaburini)...Mawasiliano tower ipo mbele ya hii tower kama unatoka mwenge kwenda ubungo
Nafikiri hukunielewa. Alipokuwa mleta mada(mpiga picha) ni mawasiliano tower.
 
Mawasiliano tower opposite na magufuli hostel.
Mawasiliano Tower ni makao makuu ya TCRA. Unamaanisha hilo jengo la TCRA ni refu kuliko lile jipya la pale karibu? Lile jengo refu sana hata ukiwa Goba unaliona lenyewe tu. Ukiwa UDSM kule juu kwenye Hostel lakini bado linaoneka limewazidi.
 
Hapana mkuu hili sio refu kuliko yote bongo.
Refu kuliko yote ni lile TPA tower lina floor 40 na lina urefu wa mita 162
TPA tower
images%20-%202021-06-25T093837.430.jpg
 
Back
Top Bottom