financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,131
- 40,693
Ok basi siku ntakutembelea mkuu!Bas tuko jirani kbsa mmi Niko app apa mawasiliano nyuma kbsa ya mgahawa wa mtumushi
Ok basi siku ntakutembelea mkuu!Bas tuko jirani kbsa mmi Niko app apa mawasiliano nyuma kbsa ya mgahawa wa mtumushi
Holy Man umeona ulivombishisam nijoma road
Duh hapo kwenye funza😪😪hivi ni huu mgahawa famous hivi upo karibu kabisa na stand ya mawasiliano?Mshikaji ana wateja kinoma.
Sema ukibahatika kuzunguka kule nyuma jikoni wanakotunzia mauchafu utaapa KUTOKULA tena pale.
Gari la manispaa likichelewa kuja kubeba mauchafu hadi funza wanasambaa jikoni pote. Pananuka kinoma.
Sema kama ni Wanafunzi wa UDSM basi amewateeka kweli kweli. Naonaga wengine wanatoka hadi kule Magufuli Hostel usiku kuja kununua chipsi.
Hao wakuja, wanakudanganya.. wapo mikoani haoHoly Man umeona ulivombishi
Opposite na geti zinapoingia daladala. Halafu utaratibu wao wa malipo siupendagi.Duh hapo kwenye funza😪😪hivi ni huu mgahawa famous hivi upo karibu kabisa na stand ya mawasiliano?
Sawa bontown wa Mbagala 😀Hao wakuja, wanakudanganya.. wapo mikoani hao
Duh sasa mbona kuna mlolongo hivo kama jina lako😀😀 au wahudumu walikua wanaweka pesa mfukoni kwao nini!Opposite na geti zinapoingia daladala. Halafu utaratibu wao wa malipo siupendagi.
Ukimaliza kula, inabidi uinuke, umfate mtumishi alipo... Hapo nyuma yako anakusindikiza mhudumu aliyekuhudumia.
Mkifika kwa mtumishi, yule mhudumu anamtajia menu uliokula, ndio unalipa.
Kama mtumishi ameenda labda chooni itabidi ukae usubiri hadi arudi.
Wahudumu marufuku kupokea pesa ya mteja.
Yes mkuu hata mimi nilitaka kukoment kama wewe, maana unaweza kuta jengo lina froo nyingi lakini ukinyoosha mikono unagusa juu.Urefu wa jengo hupimwa kwa idadi ya mita/ futi kutoka ardhini Hadi juu kabisa
Nafikiri hukunielewa. Alipokuwa mleta mada(mpiga picha) ni mawasiliano tower.sio mawasiliano tower...hii ni psssf tower ipo Pembeni mwa IGESA ROAD (njia ya kwenda sinza makaburini)...Mawasiliano tower ipo mbele ya hii tower kama unatoka mwenge kwenda ubungo
ndiyo mkuu..sasa nimekuelewa.Nafikiri hukunielewa. Alipokuwa mleta mada(mpiga picha) ni mawasiliano tower.
Hapo sio kilwa road?Hivi hapa ni opposite na Mlimani city Sam Nujoma road?
Mbona umemjibu Kwa masikitiko sn😁Dah haya bana mi mzima kabis Swanga kuko poaa
Mawasiliano Tower ni makao makuu ya TCRA. Unamaanisha hilo jengo la TCRA ni refu kuliko lile jipya la pale karibu? Lile jengo refu sana hata ukiwa Goba unaliona lenyewe tu. Ukiwa UDSM kule juu kwenye Hostel lakini bado linaoneka limewazidi.Mawasiliano tower opposite na magufuli hostel.
Kwani Mwenge una njia yake maalumu?
Hapana mkuu hili sio refu kuliko yote bongo.Lina floor 35 (bila kuzingatia ground floors). Sijui Benjamin Mkapa Pension Tower lina floor ngapi?
View attachment 1797446
TPA towerHapana mkuu hili sio refu kuliko yote bongo.
Refu kuliko yote ni lile TPA tower lina floor 40 na lina urefu wa mita 162
List ya majengo marefu bongoLina floor 35 (bila kuzingatia ground floors). Sijui Benjamin Mkapa Pension Tower lina floor ngapi?
View attachment 1797446
..Lina floor 35 (bila kuzingatia ground floors). Sijui Benjamin Mkapa Pension Tower lina floor ngapi?
View attachment 1797446
Kweli kabisa na linaloongoza kwa urefu sio hilo alilolitaja mleta madaUrefu wa jengo hupimwa kwa idadi ya mita/ futi kutoka ardhini Hadi juu kabisa