Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Wanajamvi.

Kutokana na kile kinachooneka kwamba ni KUSHAMIRI NA KUOTA MIZIZI KWA MFUMO KRISTO NDAN YA NCHI HII hali imeeendelea kuwa kizungumkuti kuhusu Suala hili la mahakama ya KADHI baina ya Jamiii ya waislam na hawa ndugu wengine wa upande wa pili.

Pindi ambapo waislam walikuwa wanapendekeza sheria ya mahakama hiyo ya kadhi itambuliwe kisheria tayari Wakristo walishadhirasimisha mahakama hizo na hakuna kipongamizi chochote walichopata kutoka kwa waislam??

Na huko kuzirasimisha bila shaka kumepata ridhaa ndan ya bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania??


Mahakama hizo za kanisa hushugulikia migogoro ya ndoa...likewise mahakama za kadhi hushughulikia mambo ya ndoa na mirathi...hakuna mambo ya jinai yanayoweza shughulikiwa na mahakama hizo sasa tatizo liko wapi??

Maaskofu wameshinikiza kila aina ya mashinikizo eti hili suala ligonge mwamba ili hali wao tayari suala hili wanalo na hakuna aliewapinga.

Tatizo ni nin lakin??


Naweka hii attachment hapa chini inayoonesha na kuthibitisha hiki tunachokisema na KUITAHADHARISHA SERIKALI SUALA LA KUUMBATIA MFUMO KRISTO NA MASHINIKIZO YA MAASKOFU YASIYO NA TIJA YATALIPELELEA TAIFA HILI SEHEMU MBAYA.

HII NI NCHI YETU SOTE NA KILA MTU ANA HAKI YA KUPATA HAKI ZAKE ZA MSINGI KIKATIBA IKIWEMO HAKI HII YA UHURU WA MAMBO YA IMANI.

KIPI SASA KOLICHOFANYA SHERIA HII NA BUNGE KUIRASIMISHA MAHAKAMA ZA KANISA NA IWE SHIDA KUIRASIMISHA MAHAKAMA ZA KADHI?

UKIANGALIA HII ATTACHMENT HAPA CHINI UTAONA KWAMBA MTU KAITWA KWENDA MAHAKAMA ZA KANISA KWA R.B YA POLISI NA MAANA NI KWAMBA AKIKAID POLISI ITAMCHUKULIA HATUA.

POLISI HAWA WANAOENFORCE HIYO SHERIA SI WANATUMIA KODI YETU PIA?


IWEJE KODI YETU SISI ITUMIKE KUTEKELEZA ORDER ZA MAHAKAMA ZA KANISA??

HII SIO HAKI NA MWISHO WAKE SIO MWEMA.

DOUBLE STANDARDS YA NIN?

Ha Ha!
RELIGIOUS HALLUCINATIONS @ WORK!!
 
Wewe ndie usiekuwa na ufaham.

1.hizo mahakama za kanisa zipo kisheria.

2.hizo mahakama zinatambuliwa kisheria.

3.pesa ya serikali hutumika pia kuhudumia mahakama hizo hususan kwa KUTUMIA POLISI WETU HUTUMIKA KUWAFATILIA WAHUSIKA NA KUWAFIKISHA MAHAKAMA ZA KANISA.

ILE NI PESA YETU PIA.

NI KODI YETU.

IWEJE MTUMIE ASKARI NA JESHI LETU?

Toka katiba ya nchi hii inaanzishwa mahakama hii ya kanisa na kadhi ziliwepo.

Ajabu za kadhi zikaondolewa na za kanisa zikaachwa.

Mimi ni mkristo nisiye support mahakama ya kadhi. Ukinipa ushahidi kuwa mahakama za wakrsito- wakatoliki zinatambuliwa na kuhudumiwa na jeshi la polisi basi sitapinga tena mahakama za kadhi kutambuliwa kisheria.
 
Mkuu big sHOW tatizo kubwa la hawa waumini wa upande wa pili ni kuishi na kumezeshwa vitu na viongozi wao pasipo kuhoji undani au uhalali wa jambo husika.Ukiangalia kwa undani ni HOFU,UCHOYO tu vimetawala juu ya suala la KADHI.Kuna wajinga wanahoji mpaka matumizi ya kodi kutumika kwenye masuala ya waislam wa Tanzania lakini hawahoji juu ya kodi kutumika katika migogoro ya nchi jirani k.m Rwanda,Burundi,Congo DRC,Sudan n.k,Ni chuki tu.Uislam umejitosheleza kwa kila jambo hakuna liloachwa.Mahakama ya KADHI itadeal na mambo machache tu kama ndoa na mirathi tu sasa hofu ya nini kwa hawa wenzetu? kodi kwani waislam hawalipi? au wapi kisheria kodi imekataza kutumika kwa wananchi wake wenye imani tofauti na ukristo.Msamaha wa kodi nayo ni matumizi ya kodi na ndio maana hata kwenye ripoti za mahesabu wanaweka taarifa.Leo ni mabilioni mangapi ya misamaha ya kodi kanisa linafaidika nalo?
ACHENI CHUKI WAKRISTO ACHENI KUONGOZWA NA FIKRA ZA MAPADRI NA WACHUNGAJI.

Jamani swali japo laweza kuudhi watu.
Hivi Pro ccm wote humu ni waislam?
Mbona ukawa naona dini zote ila ccm naona watu wa upande mmoja?
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni Janjaweed - Kilaza yupo humuhumu ni member pia JF kama wewe ulivyo Malyenge

Yaani kweli wewe ni mpuuzi, sasa mtu mmoja tena wala asiyepitia mikaratasi ya wanafunzi atakuaje pekee ndie anayefelisha?? do you really know the process ya kusahihisha mitihani nana anasahihisha, nani anahakiki nani anacompile results, nani anastandardize na ni yupi ana audit results au process nzima ya appeal ikoje??

Ukiwa mpuuzi, basi jiwekee na ka ujinga kidogo ili uwe open minded kuelimishiwa au kujaribu kujifunza kidogo... siku zote faulires ni wa kwanza kulalama kabla ya kuangalia tatizo liko wapi

Huna hoja, sanasana una Malyenge tu!

Kwa maelezo yako marefu yaelekea aliyekuwa anafelisha waislamu unamjua.....! Dr. Ndalichako hahusiki ila kuna mtu ambaye wewe unamjua maana umeeleza mpaka process. Sasa atakuwa ni nani? Hebu jifanye mjinga kidogo na wewe japo si ujinga wa kipuuzi.....-Mtaje!!!!
 
Kuna kitabu nimewahi kukisoma kuwa hii tabia ya hawa ndugu zetu kulalamika na 'playing victims' ilianza tangu enzi za mtume wao kwani kuna wakati alikuwa akilalamika kuwa 'watu wa kitabu'(wayahudi,wakristo) wameondoa kwenye vitabu vyao sehemu zinazomtaja yeye kama mtume wa mwisho hapa duniani! Miaka ilivyoenda akawa anawakusanya wafuasi wake na kuanza kuwafanyia 'kitu mbaya' wayahudi na wakristo. Kwa hiyo hakuna jipya kwenye malalamiko yasiyoisha ya hawa jamaa.
 
Kwa maelezo yako marefu yaelekea aliyekuwa anafelisha waislamu unamjua.....! Dr. Ndalichako hahusiki ila kuna mtu ambaye wewe unamjua maana umeeleza mpaka process. Sasa atakuwa ni nani? Hebu jifanye mjinga kidogo na wewe japo si ujinga wa kipuuzi.....-Mtaje!!!!

Muulize mkuu wako wa nchi na viongozi wa usalama

You have lost your substance to the discussion now unajaribu unafiki

mbaff
 
Aisee, naomba nikuite "mjinga" mkuu. Kutuwekea kichwa cha habari cha gazeti hujaongea kitu bado, achilia mbali kuleta hoja. Wakristo hawana "mahakama"; wana utaratibu wa kusuluhisha matatizo ya kijamii ndani ya kanisa.

We mburura hujaona tangazo linasema "MAHAKAMA YA KANISA" Au hujui kusoma?
 
Muulize mkuu wako wa nchi na viongozi wa usalama

You have lost your substance to the discussion now unajaribu unafiki

mbaff

We Mbw* jibu swali.........Ni nani anawafelisha waislamu? Usijifanye huoni wala husikii.
 
Naomba kuuiliza hiyo mahakama ipo nyumbani kwa Pengo? na Pengo ndiyo hakimu?

Nyumbani kwake ni Kurasini kunaitwa baraza la maaskofu. Usifikiri anaishi mtaani kama wewe.
 
We Mbw* jibu swali.........Ni nani anawafelisha waislamu? Usijifanye huoni wala husikii.

mbwa mama kao aliyekuzaa kwa uchungu

shenzy type

majibu ya swali lako yako wazi ila kwa ungese wako unataka kuleta debate ya kipumbavu hapa

wewe ni loser tu, ungekua unajua what happened wala usingepoteza muda wako kuwa typist wa mambo usiyayjua

narudia tena, mbwa mama yako, baba yako, mumeo, ndugu zako na wewe mwenyewe... even your thoughts are dogy in nature

pummbaaf kabisa wewe
 
mbwa mama kao aliyekuzaa kwa uchungu

shenzy type

majibu ya swali lako yako wazi ila kwa ungese wako unataka kuleta debate ya kipumbavu hapa

wewe ni loser tu, ungekua unajua what happened wala usingepoteza muda wako kuwa typist wa mambo usiyayjua

narudia tena, mbwa mama yako, baba yako, mumeo, ndugu zako na wewe mwenyewe... even your thoughts are dogy in nature

pummbaaf kabisa wewe

Wakristo bwana....wanauona ukweli lakini wanajifanya vipofu. Eti mama yangu alinizaa kwa uchungu....maana yake ni kwamba mama wa ligaidi liitwalo janjaweed yeye hakulizaa gaidi hilo kwa uchungu.... Aisee? Na wewe ni miongoni mwa waliosoma katika shule zinaoitwa za kikristo? Ambazo wanagawiwa mitihani mwezi mmoja kabla.......Ndo maan sishangai maana ukilaza wako ni ule wa kupewwa majibu ya mitihani.
 
wakristo hawatumii kodi zetu acha kupotosha umma wa waislamu maamuma. kwanza hawaziiti mahakama... hawahukumu.... huko kunafanyika mashauri. na jambo jema zaidi ni kuwa hawatumii kodi zetu kulipana mishahara kama ipo. tatizo ni mahakama za kadhi zinataka makadhi walipwe kwa kodi za watanzania wote. nadhan wala hamna tatizo waislamu wakiamua kuhusu ndoa zao,sherehe zao,mirathi yao n.k si ya kwako? waamue tu. na wakristo kama wameridhiana kuamua kwa kufata maandiko yao waamue tu. ila hatutaki kodi zetu zitumike huko. siku si nyingi watu watataka wachungaji walipwe na serikali. na hatutaki kufika huko. kama mahakama ya kadhi ni nzuri sana sisi wenyewe inayotuhusu tuchangishane.mbona wapo matajiri wengi tu akina manji,mohamed dewj,bakhresa n.k ambao wanaweza changia pesa zikatumika kulipiana mishara? maana hapa tunataka kuleta mgogoro wa kijinga tu ambao hauna mantiki. tuanzisheni mahakama tuihudumie wenyewe. WAISLAMU TUACHE ULALAMISHI KILA SIKU. WAKRISTO TUPIME HOJA ZA WAISLAMU NA KUWASAIDIA.
wabillah tawfiq
 
Wakristo bwana....wanauona ukweli lakini wanajifanya vipofu. Eti mama yangu alinizaa kwa uchungu....maana yake ni kwamba mama wa ligaidi liitwalo janjaweed yeye hakulizaa gaidi hilo kwa uchungu.... Aisee? Na wewe ni miongoni mwa waliosoma katika shule zinaoitwa za kikristo? Ambazo wanagawiwa mitihani mwezi mmoja kabla.......Ndo maan sishangai maana ukilaza wako ni ule wa kupewwa majibu ya mitihani.
tuheshimiane aisee, kilaza mama yako... I am beyond your imaginations kwa kila unachowaza... shenz type

hata hayo ya ndalichako ni yenu, sie tulikua huko early 80s and we were serious
 
MODS. Linganisheni matusi aliyonitukana Janjaweed na niliyomtukana mimi kisha muone ni nani anastahili ban! Au mtampendelea kwa vile yeye ni mkristo?
 
Last edited by a moderator:
tuheshimiane aisee, kilaza mama yako... I am beyond your imaginations kwa kila unachowaza... shenz type

hata hayo ya ndalichako ni yenu, sie tulikua huko early 80s and we were serious

FYI... mimi sio mkristo

Kwa hiyo wewe ni mpagani ama?
 
Back
Top Bottom