Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Kuna ya waislam ndiyo chanzo cha nchi hii kutokuendelea vema! Hakuna mahakama ya Wakristo, kufungisha na kusuluhisha ndoa sio mahakama, kama ni mahakama kufanya hivyo basi hata waislam wanayo manake masheikh pia hufungisha ndoa! Na toka lini ukaona Wakristo wakibwabwaja kulazimisha mambo ya dini bungeni?
Hopeless thread! Sio ajabu mmetumwa na mafisadi wa CCM kuleta mijadala ya kipuuzi ili kuwa fanya Watanzania wasijadili mambo ya msingi!

Kama hujui uliza uambiwe.

Mahakama za kanisa zilikuwapo tokea katiba ya nchi hii inatungwa.

Na Polisi huandika R.B kumtaka muhusika aripoti kwenye mahakama za kanisa

Tena kwa kodi yetu sisi soote.

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba HAKUNA SHEIKH ANAEWEZA KUTUMA R.B YA JESHI LA POLISI KUMWITA MUHUSIKA KSHERIA ILI AFIKE KWENYE MASHAURI YA KADHI KWA KUWA KISHERIA HAIPO.

LAKIN CARDINALI PENGO HUWEZA KUTUMIA R.B YA JESHI LA POLISI KUMWITA MUHUSIKA KWENYE MAHAKAMA ZA KANISA.KWA KUWA KIKATIBA NA KISHERIA ZINATAMBULIKA.

ELEWA HIYO HOJA..UELEWE HIYO HOJA.
 
ushawahi kusikia swala la mahakama ya kanisa bungeni? imewahi kutengewa budget? kwanini baadhi ya waislam wapo kimyume na mahakama hiyo? JK na hata mawaziri waislamu kwanini hawalipigii kelele? jaribu kufikiria upya, utapata majibu kuwa ipo kisiasa zaidi
 
wanajamvi.

Kutokana na kile kinachooneka kwamba ni kushamiri na kuota mizizi kwa mfumo kristo ndan ya nchi hii hali imeeendelea kuwa kizungumkuti kuhusu suala hili la mahakama ya kadhi baina ya jamiii ya waislam na hawa ndugu wengine wa upande wa pili.

Pindi ambapo waislam walikuwa wanapendekeza sheria ya mahakama hiyo ya kadhi itambuliwe kisheria tayari wakristo walishadhirasimisha mahakama hizo na hakuna kipongamizi chochote walichopata kutoka kwa waislam??

Na huko kuzirasimisha bila shaka kumepata ridhaa ndan ya bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania??


Mahakama hizo za kanisa hushugulikia migogoro ya ndoa...likewise mahakama za kadhi hushughulikia mambo ya ndoa na mirathi...hakuna mambo ya jinai yanayoweza shughulikiwa na mahakama hizo sasa tatizo liko wapi??

Maaskofu wameshinikiza kila aina ya mashinikizo eti hili suala ligonge mwamba ili hali wao tayari suala hili wanalo na hakuna aliewapinga.

Tatizo ni nin lakin??


Naweka hii attachment hapa chini inayoonesha na kuthibitisha hiki tunachokisema na kuitahadharisha serikali suala la kuumbatia mfumo kristo na mashinikizo ya maaskofu yasiyo na tija yatalipelelea taifa hili sehemu mbaya.

Hii ni nchi yetu sote na kila mtu ana haki ya kupata haki zake za msingi kikatiba ikiwemo haki hii ya uhuru wa mambo ya imani.

Kipi sasa kolichofanya sheria hii na bunge kuirasimisha mahakama za kanisa na iwe shida kuirasimisha mahakama za kadhi?

Ukiangalia hii attachment hapa chini utaona kwamba mtu kaitwa kwenda mahakama za kanisa kwa r.b ya polisi na maana ni kwamba akikaid polisi itamchukulia hatua.

Polisi hawa wanaoenforce hiyo sheria si wanatumia kodi yetu pia?


Iweje kodi yetu sisi itumike kutekeleza order za mahakama za kanisa??

Hii sio haki na mwisho wake sio mwema.

Double standards ya nin?


samahani kwa hili nitakalolisema,tatizo kubwa kwa waisalamu wasiyoelewa kama wewe,(na maanisha wale wasiyoelewa tu kama wewe),tatizo lao kubwa ni elimu.hizo mahakama za kanisa zinazoshughulikia ndoa na mirathi zinahudumiwa na serikali?kwani mmezuiwa kuunda mahakama zenu wenyewe na kuzihudumia wenyewe kama wakristu wanavyofanya?kwani lazima ziingie kwenye katiba.


Tatizo elimu,elimu ndiyo tatizo kubwa,tatizo kukosa elimu na maarifa,kukosa elimu ndiyo chanzo cha haya yote unayoyaropoka.wakati wenzio wanakwenda shule we umekalia kuuza kahawa vijiweni,mwishowe unatumia kiungo mbadala kufikiri badala ya ubongo
 
Mbona kuna kesi polisi au hata mahakamani inaweza ikafutwa mkaambiwa mkamalize kimila, ni ajabu kuambiwa mkamalize kwa taratibu zenu za kiroho? Hebu tupe mfano wa mtu aliyeandikiwa RB akaripoti kwenye mahakama zao kanisa. toa mfano mmoja tu
 
kwanza si za kanisa, sema za kanisa katoliki, ni utaratibu unaojitegemea wa muundo wa kanisa, toka kwa PAPA mpaka kwenye vigango, the church is very organised, halitegemei fungu lolote serikalini na haijihusishi na siasa, hiyo ya kadhi ina siasa ndan yake
Kama ni hivyo mngekuwa na POLISI WENU AMBAO WATATUNIKA KUIENFORCE HIZO AMRI ZA WITO WA MAHAKAMA ZA KANISA.

ITS NON OF MY BZNESS UNAPONILETEA HABARI ZA PAPA.

WHO IS PAPA TO ME??

SIMJUI NA SINA HAJA YA KUMJUA.
,
HAPA HOJA SI NI PESA YA SERIKALI????,

Sasa hawa POLISI MNAOWATUMIA KUANDIKA R.B ZA WITO WA MAHAKAMA ZA KANISA SI HUTUMIA PESA SA UMMA?si wanatumia kodi zetu pia??

Mnataka KUTUFANYA SISI WAJINGA SIYO??

MAMBO HAYA YALIWEZEKANA ENZ ZA NYERERE TUH.
 
Bigshow unachaganya mambo! Taasisi za kidini zinaanzishwa na Waumini wenyewe na si vinginevyo. Taasisi za kiislamu zinatakiwa zikutane ili kuunda chombo hiki kwa ajili ya waumini wao (Kitu ambacho unajua dhahiri hakiwezekani kwa kuwa Waislamu wenyewe hawako wamoja katika hili). Mmekuwa mnaipinga sana Bakwata kwamba ni chombo cha serikali na wakati huo huo mnataka Mahakama ya Kadhi ianzishwe na Serikali tena kwa sheria ya Bunge. To me this is a contradiction. Lengo lenu haswa na huu ndiyo ukweli mnataka Mahakama ya Kadhi ambayo itakuwa inaendeshwa na Serikali kwa sababu itakuwa tayari na nguvu ya Kisheria, hivyo tutakuwa na mahakama zakadhi za wilaya 150, za mikoa 25 na taifa 1 au 2 na kila moja ikiwa na wafanya kazi at least 5. You can imagine the implications to the Government na serikali haitaweza kukwepa hilo kwa kuwa tayari mahakama hizo zitakuwa na nguvu ya kisheria.
Mahakama za Kanisa haziendeshwi na Serikali wala hazihitaji Sheria ya Bunge kufanya kazi wala Wachungaji na Maaskofu hawalipwi na Serikali hivyo ni vyema mkajifunza wenzenu wanafanikiwa vp wakati nyie mnashindwa. Ni ushauri tu.
 
Kama hujui uliza uambiwe.

Mahakama za kanisa zilikuwapo tokea katiba ya nchi hii inatungwa.

Na Polisi huandika R.B kumtaka muhusika aripoti kwenye mahakama za kanisa

Tena kwa kodi yetu sisi soote.

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba HAKUNA SHEIKH ANAEWEZA KUTUMA R.B YA JESHI LA POLISI KUMWITA MUHUSIKA KSHERIA ILI AFIKE KWENYE MASHAURI YA KADHI KWA KUWA KISHERIA HAIPO.

LAKIN CARDINALI PENGO HUWEZA KUTUMIA R.B YA JESHI LA POLISI KUMWITA MUHUSIKA KWENYE MAHAKAMA ZA KANISA.KWA KUWA KIKATIBA NA KISHERIA ZINATAMBULIKA.

ELEWA HIYO HOJA..UELEWE HIYO HOJA.

Natumaini una uelewa finyu wa kanisa Katoliki,kamwe hakuna mtu wa kutumiwa polisi kwenye suala la kikanisa ambalo linahusika na mambo ya ndoa.Imani ni hiari tangu lini Imani ikatumia polisi.Hicho kibandiko fake unachotumia unatumia ili kumridhisha au kumdanganya nani?
 
Tuwekee hiyo attachment uliyoahidi, hatuioni..Mkuu big show jaribu kuwashawishi waislamu wenzio waanzishe mahakama ya kadhi isiyotegemea serikali, maana inaonekana ni wachache wanahitaji mahakama hiyo, kwa maslahi yao\yenu binafsi.
 
samahani kwa hili nitakalolisema,tatizo kubwa kwa waisalamu wasiyoelewa kama wewe,(na maanisha wale wasiyoelewa tu kama wewe),tatizo lao kubwa ni elimu.hizo mahakama za kanisa zinazoshughulikia ndoa na mirathi zinahudumiwa na serikali?kwani mmezuiwa kuunda mahakama zenu wenyewe na kuzihudumia wenyewe kama wakristu wanavyofanya?kwani lazima ziingie kwenye katiba.


Tatizo elimu,elimu ndiyo tatizo kubwa,tatizo kukosa elimu na maarifa,kukosa elimu ndiyo chanzo cha haya yote unayoyaropoka.wakati wenzio wanakwenda shule we umekalia kuuza kahawa vijiweni,mwishowe unatumia kiungo mbadala kufikiri badala ya ubongo

Wewe ndie usiekuwa na ufaham.

1.hizo mahakama za kanisa zipo kisheria.

2.hizo mahakama zinatambuliwa kisheria.

3.pesa ya serikali hutumika pia kuhudumia mahakama hizo hususan kwa KUTUMIA POLISI WETU HUTUMIKA KUWAFATILIA WAHUSIKA NA KUWAFIKISHA MAHAKAMA ZA KANISA.

ILE NI PESA YETU PIA.

NI KODI YETU.

IWEJE MTUMIE ASKARI NA JESHI LETU?

Toka katiba ya nchi hii inaanzishwa mahakama hii ya kanisa na kadhi ziliwepo.

Ajabu za kadhi zikaondolewa na za kanisa zikaachwa.
 
Tumia akili.

Hizo za kanisa zilikuwapo tokea za zaman kama zilivyokawepo za kadhi.

Hizi za kadhi zikachomolewa na za kanisa zikaachwa.

Hizo za kanisa ZINATAMBULIWA KISHERIA NA POLISI WETU WANATOA HADI R.B KUMPELEKEA MUHUSIKA AENDE KURIPOTI KANISANI KWA KADINALI PENGO...

IWEJE SASA POLISI WETU AMBAO MNASEMA SERIKALI HAINA DINI WATUMIKE KUENFORCE SHERIA ZA KANISA??

USINIULIZE LINI MUSWADA ULIPELEKWE BUNGENI KUHUSU MAHAKAMQ ZA KANISA

FACT NI KWAMBA MAHAKAMA HIZO ZIPO TOKEA KATIBA HII ILIPOANZISHWA.

KWAIYO WAKRISTO KUTUMIA KODI ZETU KUTEKELEZA SHERIA ZA MAHAKAMA ZA KANISA HAKUNA SHIDA

IKIJA KWA WAISLAM NI SHIDA?
reasoning of a 4 years old
 
Tuwekee hiyo attachment uliyoahidi, hatuioni..Mkuu big show jaribu kuwashawishi waislamu wenzio waanzishe mahakama ya kadhi isiyotegemea serikali, maana inaonekana ni wachache wanahitaji mahakama hiyo, kwa maslahi yao\yenu binafsi.

Huu uzi alishawahi weka na Attachment atakayo weka hapa naamini itakuwa ni ile ile aliyoweka mara ya kwanza
 
tuwekee hiyo attachment bhana, huenda na wewe umejitungia tu mada ambayo haina misingi katika ukweli.
 
Kama hujui uliza uambiwe.

Mahakama za kanisa zilikuwapo tokea katiba ya nchi hii inatungwa.

Na Polisi huandika R.B kumtaka muhusika aripoti kwenye mahakama za kanisa

Tena kwa kodi yetu sisi soote.

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba HAKUNA SHEIKH ANAEWEZA KUTUMA R.B YA JESHI LA POLISI KUMWITA MUHUSIKA KSHERIA ILI AFIKE KWENYE MASHAURI YA KADHI KWA KUWA KISHERIA HAIPO.

LAKIN CARDINALI PENGO HUWEZA KUTUMIA R.B YA JESHI LA POLISI KUMWITA MUHUSIKA KWENYE MAHAKAMA ZA KANISA.KWA KUWA KIKATIBA NA KISHERIA ZINATAMBULIKA.

ELEWA HIYO HOJA..UELEWE HIYO HOJA.


Kwa vile nchi hii haiongozwi kwa style ya ramli,
Labda ungetusaidia tusiojua mandate ya Pengo kutoa RB ipo wapi kwenye katiba ya Tanzania au ni kifungu gani cha sheria kinamruhusu yeye kumwita mtu kwenye mahakama yake ya Pangoni, nyumbani kanisani au kokote nje ya Mahakama za Serikali ya Tanzania....
Lets be gentleman and don't make a fake stories to bless our ....................
 
Back
Top Bottom