Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
UnaonaUtumbo unao au huna?!!!
UnaonaUtumbo unao au huna?!!!
Hahahaaah! We mzee unafurahisha kweli... unadhani simfahamu bwana Fares? Hahahaaah! Umetisha aiseee!...Angalia hili jina kote kwenye search engines alafu piga hisabati ya ukoo wako mzima Rafiki!!!...
Kawaida ya watu dhaifu wana shambulia watu, watu imara wanajadili hoja, baada ya kukimbia hoja ya mezani na kuanza kujificha kwenye neno ATA, ni ushahidi wa wazi kuwa hoja imekushindaUnavyoandika gives an indication of your IQ. Once nikielewa IQ yako iko chini sana, sina tena muda wa kubishana nawe. Typo haiwezi kuwa mara 2 kwenye sentensi 3. Hiyo siyo typo. Ni uwezo wa ubongo wako. Sitakujibu tena. Ciao...
Hiyo v12 haya ma v8 pale hayanusi mziki wake hata robo.Ile si V12 mbona hapo mnasema V8.. pia kwakua ni mlipa kodi mzuri kuingiza kwa kutumia company inamsaidia kwenye kupunguza gharama za ushuru.. hata makanisa hufanya hivyo