Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,357
- 85,500
Habari zenu,
Naomba msaada kwa mtu anayefahamu jinsi ya kuagiza gari nje, gari ndogo aina ya Ist, nimeulizia kwa makampuni ninayoyafahamu naona bei hazipishani na yard japo wanasema bei imepanda(17-18m)
Briefly, rafkiangu anataka kuagiza gari (mwenyewe)aina hiyo kupunguza gharama, bila kutumia kampuni za ndani, sijajua kwanini kafikiria hii ndio njia nzuri, ila kumsaidia zaidi nimeona nililete humu!
Wenye ujuzi karibuni!
Naomba msaada kwa mtu anayefahamu jinsi ya kuagiza gari nje, gari ndogo aina ya Ist, nimeulizia kwa makampuni ninayoyafahamu naona bei hazipishani na yard japo wanasema bei imepanda(17-18m)
Briefly, rafkiangu anataka kuagiza gari (mwenyewe)aina hiyo kupunguza gharama, bila kutumia kampuni za ndani, sijajua kwanini kafikiria hii ndio njia nzuri, ila kumsaidia zaidi nimeona nililete humu!
Wenye ujuzi karibuni!