Kumbe baadhi ya viduka vya iPhone vilivojaa mjini ni center za ku-push madawa na bangi

Maxence namuomba huyu jamaa kituoni aje kutoa ushahidi... over.


Punguza mdomo utafia jela.
 
Hivi kwa hali ya Watanzania...haya maduka ya nguo za gharama yalivyo mengi wateja wao ni akina nani?

Nguo Sinza inauzwa laki 3 lkni Kariakoo 80k tu, lkn mule ndani kuna mabinti wakali balaa, huoni kuna kitu kimejificha?
Kuna ya mademu wakali wakali wa jijini wamefunguliwa na mahawara zao, hasa wanaume wenye wake. Yanakuwa kama ni mapambo tu kwani wanatumia ile njia ya asili kujipatia kipato.
 
VI biashara vingi vidogo mjini, huwa, ni front, za, biashara haramu, unakuta mtu kapanga flemu, ya 500K kwa mwezi, kaweka vinguo, vigauni viwili vitatu,ndsni kuna kadada kamelala tu, unajiuliza, hapa faida ipo kweli! Kumbe daaa
Unakuta duka lina visimu viwili vitatu, wameegesha makava ya simu kadhaa alaf nje kapaki BMW!! SIO KWELI!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…