Maxence namuomba huyu jamaa kituoni aje kutoa ushahidi... over.Heri ya mwaka mpya.
Hii kitu nilishawahi kuambiwa na mtu flani nikapinga, nikasema maybe huyu jamaa ana chuki na wivu na jitihada za vijana wajasirimali.
But baada ya kufikiria zaidi, it made so much sense, but sikuwa na uhakika 100%
Sasa kuna siku nilikuwa nimekaa na washkaji tunapiga story tunabadilishana mawazo, sasa hawa wanangu nawajua ni watumiaji wa bangi, sasa wakataka niwape lift wakachukue mzigo, fresh tukaingia kwenye gari tukaanza safari, sasa tulivofika (sinza) wakanielekeza nipaki mbele ya duka flani ivi la iPhone, washkaji wakatoka wakaingia kwenye hilo duka, mimi nilibaki kwenye gari.
Baada ya dakika 20 wakarudi bhana, nikawauliza "vipi mmepata" jamaa wakanijibu "uhakika kaka" nikajisemea kimoyomoyo "kumbe jamaa alienambia hivi viduka vya iPhone vina push hakukosea".
My take;
Vijana wenzangu tuweni makini, kupendapenda shortcut utaishia kujisaidia kwenye ndoo.
Kuna ya mademu wakali wakali wa jijini wamefunguliwa na mahawara zao, hasa wanaume wenye wake. Yanakuwa kama ni mapambo tu kwani wanatumia ile njia ya asili kujipatia kipato.Hivi kwa hali ya Watanzania...haya maduka ya nguo za gharama yalivyo mengi wateja wao ni akina nani?
Nguo Sinza inauzwa laki 3 lkni Kariakoo 80k tu, lkn mule ndani kuna mabinti wakali balaa, huoni kuna kitu kimejificha?
Of coursePlus money laundering.
I know and I don't careWatakuja kukuwakia mda sio mrefu
Huwaga najiulizaga, wote wanauza iPhone au inakuaje, unakuta siku nzima wanashinda kweny hayo maduka.Kila ukiingia watu unaokuta wamekaa kwenye hayo maduka ni masista duu wakali na vijana watanashati.
Unakuta duka lina visimu viwili vitatu, wameegesha makava ya simu kadhaa alaf nje kapaki BMW!! SIO KWELI!!VI biashara vingi vidogo mjini, huwa, ni front, za, biashara haramu, unakuta mtu kapanga flemu, ya 500K kwa mwezi, kaweka vinguo, vigauni viwili vitatu,ndsni kuna kadada kamelala tu, unajiuliza, hapa faida ipo kweli! Kumbe daaa
Ukisikia vijana wa makumbusho au sinza basi watu wanaficha ila wanamaanisha dili chafu zote ndio hilo neno ...Kule kuna madawa, bhang ,mirungi,watu wanaojiuza ,ushoga mambo ya hovyo yote.Unakuta duka lina visimu viwili vitatu, wameegesha makava ya simu kadhaa alaf nje kapaki BMW!! SIO KWELI!!
Huo ni "uhuni" na sio "kupambana"Chuki na roho mbaya Vijana wanapambana we unawasagia kunguni
Hadi mashoga mkuu??Ukisikia vijana wa makumbusho au sinza basi watu wanaficha ila wanamaanisha dili chafu zote ndio hilo neno ...Kule kuna madawa, bhang ,mirungi,watu wanaojiuza ,ushoga mambo ya hovyo yote.
Wapo kibao kuna watumiaji mpaka madalali huko ni biashara za watu hizo.Hadi mashoga mkuu??
Duuuh kumbe kuna mtandao kabisa wa mashoga na madalali😅😅😅Wapo kibao kuna watumiaji mpaka madalali huko ni biashara za watu hizo.
Hata hawa wasanii wa bongo na celebrities wa kike ukimtaka nenda sinza huko kuna watu wana connection nao ni pesa zako tu..Duuuh kumbe kuna mtandao kabisa wa mashoga na madalali😅😅😅
Sick🤮🤮🤮
Hio naelewa, niliokuwa sijui ni hao madalali wa mashogaHata hawa wasanii wa bongo na celebrities wa kike ukimtaka nenda sinza huko kuna watu wana connection nao ni pesa zako tu..