Kumbe AZAM hakuna UDINI wowote

Kumbe AZAM hakuna UDINI wowote

TANESCO HAKUNA MENEJA HATA MMOJA MUISLAMU TANZANIA NZIMA.
OFISI YA LHRC kijitonyama hakuna mfanyakazi hata mmoja muislamu
Dah,hilo nalo la kuliangalia kwa jicho pana zaidi
 
Neno udini ni dhana pana sana... Na huwezi kufikia conclusion kwa majina tuu bali kuna mengi ya kuangalia kama
Asili ya mmiliki
Body members
Top leaders
Important posts
Aina ya vipindi, taarifa na makala
Aina ya uendeshaji nknk

Lakini pia ni vema kutafakari sana hili neno UDINI... Ni nani alitulisha hii sumu ikatuingia na kutu brainwash kabisa?
Hua nakukubali sana
 
Udini upo ''kwenye content za vipindi vyao. .ambavyo kwa namna moja ndio vina athari kubwa sana Katika jamii (vina tazamwa na wengi )kuliko hao wafanyakazi ambao wapo nyuma ya camera na hakuna hata anaye wajua'' imagine ulikuwa haujui kuhusu Dini zao mpaka pale walipofikwa na mauti
Ila vipindi vyao vingi vimesheheni udini na Utamaduni wa nchi za mashariki ya kati. ..
Mkuu ukichunguza vizuri sio kwamba Azamtv kuna udini bali wanafanya tofauti na tulivyozoea,kiukweli tumezoea kuona vipindi vyenye maudhui ya kikristo na tushaona ni jambo la kawaida,hebu chukua mfano wa tamthilia iliyokuwa ikilalamikiwa ya Sultan kwamba ina mambo ya kiislamu halafu kumbuka ni movie filamu ngapi za kinigeria zimeoneshwa itv zenye maudhui ya kikristo na hatukuona kwamba itv wana udini watu waliangalia na kuburudika bila kujari imani ila Azamtv kuweka tamthilia ya yenye mambo ya kiislamu imekuwa ni jambo tofauti na mazoea yetu ni kitu kipya.

Ile tamthilia ya siri za familia iliyokuwa ikirushwa na kituo cha eatv ilikuwa kutwa makanisani hasa mwishoni mwishoni mwa tamthilia ila kwa kuwa ni vitu ambavyo tumevizoea basi haikuwa shida hakukuwa na malalamiko yeyote kwa eatv. Hiyo chaneli ya taifa tu huwa wanapiga kwaya muda wowote wakiamua hata kama sio jumapili ila hakuna malalamiko ya udini italalamikiwa kwa mambo mengine.

Hiyo filamu ya Yesu watu wa imani zote walikuwa wanaangalia kila Xmass inawekwa ila sasa Azamtv kuweka ile filamu ya kiislamu imekuwa tabu ni kwa sababu hatujazoea,channel 10 imejaa vipindi vya makanisani ila mwenye kutaka kuangalia ataangalia asiyeweza atatoa hakuna lawama ila ajabu Azam anaonekana kaleta udini kumbe sivyo mkuu bali watu tulishazoea udini wa upande mmoja.
 
Write your reply...
Wewe Nae Ni Wale Wale Tu
Sasa Wafanyaje Wakati Hao Watu Walikuwa Wafanyakazi Wao?
Kuzika Hizo Maiti Ndo Kudhihirisha Kuwa Hawana Udini?
Udini Ni Nini?
 
yani katika wafanyakazi 5000 wa bakhresa sample zako zimebase kwa hao watano na umekuja na conclusion kabisa
 
tatizo waisilamu mnapenda sana kulalamika.... sasa hapa mtoa post sielewi unamaanisha nini unapolalamika.
Nyinyi ndio walalamikaji wakubwa kwani si nyinyi mnaopiga kelele AZAM kuna udini??
Ajali hii imevunja hizo PUMBA ZENU
 
Udini upo ''kwenye content za vipindi vyao. .ambavyo kwa namna moja ndio vina athari kubwa sana Katika jamii (vina tazamwa na wengi )kuliko hao wafanyakazi ambao wapo nyuma ya camera na hakuna hata anaye wajua'' imagine ulikuwa haujui kuhusu Dini zao mpaka pale walipofikwa na mauti

Ila vipindi vyao vingi vimesheheni udini na Utamaduni wa nchi za mashariki ya kati. ..
Anzisha TV yako uweke CONTENT unazozitaka uone nani ataakuuliza
HIVI KWA NINI UTESEKE???
 
Write your reply...
Wewe Nae Ni Wale Wale Tu
Sasa Wafanyaje Wakati Hao Watu Walikuwa Wafanyakazi Wao?
Kuzika Hizo Maiti Ndo Kudhihirisha Kuwa Hawana Udini?
Udini Ni Nini?
Kojoa ukalale na si lazima ku comment kila thread hata km hujafahamu kilichoongeleaw hapa hakizungumziwi mazishi weye unaonekana ni mfu tayari
 
Kwakuwa kwa sasa tupo Msibani na tunaomboleza ngoja hayo mengine tuyaache ili tusije tukaharibu hali hii ya Kihuzuni ila ukweli unajulikana kuwa Ajira za hapo 95% ni wa Ijumaa na 5% tu ni wa Jumapili.
Na hadi kwenye litimu lake la mpira
 
kaanzisha ZBC2 yaan mwanzo mwisho ni uislamu na uarabu maana naona wanaongea kama wana uji mdomoni
 
Je sio kwamba kwenye kazi za risk anawatoa kafara hao mbuzi katoliki na kuwa protect watu wa upendeleleo?

Angalianza na hayo unayoyasema asingalipata faida. Watu wasiojua biashara ndiyo wana fikra kama zako za ki CCM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom