muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,446
- 9,988
Pole nyingi kwa wafiwa.
Aisee.....TANESCO HAKUNA MENEJA HATA MMOJA MUISLAMU TANZANIA NZIMA.
OFISI YA LHRC kijitonyama hakuna mfanyakazi hata mmoja muislamu
Acha uwongoTANESCO HAKUNA MENEJA HATA MMOJA MUISLAMU TANZANIA NZIMA.
OFISI YA LHRC kijitonyama hakuna mfanyakazi hata mmoja muislamu
mkuu ujumbe wako mkali asiwe na imani kama hiyo ya enzi za ukoloniJe sio kwamba kwenye kazi za risk anawatoa kafara hao mbuzi katoliki na kuwa protect watu wa upendeleleo?
Je sio kwamba kwenye kazi za risk anawatoa kafara hao mbuzi katoliki na kuwa protect watu wa upendeleleo?
stupid answerMuislamu hawezi jenga kanisa kwa kuwa anajua Mungu atampa adhabu kwa kuwapoteza binadamu katika imani
Udini upo ''kwenye content za vipindi vyao. .ambavyo kwa namna moja ndio vina athari kubwa sana Katika jamii (vina tazamwa na wengi )kuliko hao wafanyakazi ambao wapo nyuma ya camera na hakuna hata anaye wajua'' imagine ulikuwa haujui kuhusu Dini zao mpaka pale walipofikwa na mauti
Ila vipindi vyao vingi vimesheheni udini na Utamaduni wa nchi za mashariki ya kati. ..
Inanikumbusha Kuna mate kazini ilikuwa kila ikitangazwa baraza la mawaziri yeye kazi yake kubwa kuhesabu waislam wangapi wamechaguliwa.
Hapa umempa mwanga naona jamaa kakurupuka tu kupost.Neno udini ni dhana pana sana... Na huwezi kufikia conclusion kwa majina tuu bali kuna mengi ya kuangalia kama
Asili ya mmiliki
Body members
Top leaders
Important posts
Aina ya vipindi, taarifa na makala
Aina ya uendeshaji nknk
Lakini pia ni vema kutafakari sana hili neno UDINI... Ni nani alitulisha hii sumu ikatuingia na kutu brainwash kabisa?
Kwani Tido Mhando ni muislamu?Mara kadhaa maadui wa kibiasha wa ndugu SALIM SAID BAKHARESA walikua wakimtuhumu mfanya biashara huyu Mchamungu kwamba anaupendeleo wa kidini katika uajiri katika Makampuni yake
Ajali iliyotokea jana Singida ambayo iliwahusisha Wafanyakazi wa Azam imedhirisha kwamba hakuna upendeleo wakidini AZAM
Hii ni baada kushuhudia kwamba katika Wafanyakazi watano waliofariki katika ajali hiyo ni wawili tuu walikua ni Waislam
Salum Juma Khamis na Said Haji Hassan
Huu ni ushahidi kwamba HAKUN UPENDELEO WOWOTE WA KIDINI AZAM
POLENI AZAM
POLENI WAFIWA
POLENI WAANDISHI
INNA LILAHI WAINNA ILYHI RAJIOON
Kuna mmoja kama wewe ambaye haangalii Azam tv ila ajabu anasema Azam tv hawawekagi pongezi za pasaka na xmass,ni wazi kabisa kwa kutokuangalia kwake Azamtv ndio kumefanya kutokuona hizo salamu za Xmass kwenye Azam.Hawa wenzetu wa msikitini ni wabaguzi sana hilo wala halina ubishi kabisa mbona kwenye jamii tunaona sana tu binafsi azam tv huwa siangalii