dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Mara kadhaa maadui wa kibiasha wa ndugu SALIM SAID BAKHARESA walikua wakimtuhumu mfanya biashara huyu Mchamungu kwamba anaupendeleo wa kidini katika uajiri katika Makampuni yake
Ajali iliyotokea jana Singida ambayo iliwahusisha Wafanyakazi wa Azam imedhirisha kwamba hakuna upendeleo wakidini AZAM
Hii ni baada kushuhudia kwamba katika Wafanyakazi watano waliofariki katika ajali hiyo ni wawili tuu walikua ni Waislam
Salum Juma Khamis na Said Haji Hassan
Huu ni ushahidi kwamba HAKUN UPENDELEO WOWOTE WA KIDINI AZAM
POLENI AZAM
POLENI WAFIWA
POLENI WAANDISHI
INNA LILAHI WAINNA ILYHI RAJIOON
Ajali iliyotokea jana Singida ambayo iliwahusisha Wafanyakazi wa Azam imedhirisha kwamba hakuna upendeleo wakidini AZAM
Hii ni baada kushuhudia kwamba katika Wafanyakazi watano waliofariki katika ajali hiyo ni wawili tuu walikua ni Waislam
Salum Juma Khamis na Said Haji Hassan
Huu ni ushahidi kwamba HAKUN UPENDELEO WOWOTE WA KIDINI AZAM
POLENI AZAM
POLENI WAFIWA
POLENI WAANDISHI
INNA LILAHI WAINNA ILYHI RAJIOON