Mtoa mada wewe ndiyo mwenye akili mbovu! Sisi Watanzania Wazalendo hatuiombei mabaya Nchi yetu!
Kama ulikua hutambui, basi tambua kuanzia sasa!! Sisi tunaiombea mabaya Serikali ya Ccm na ccm yenyewe kwa kujimilikisha Nchi yetu kimabavu.
Na kama ulikua hujui, na Mabeberu wa Marekani nao asubuhi hii wamewawekea vikwazo hivyo hivyo vya kutoingia Nchini mwao kwa kuwahofia kumiliki hicho Kirusi kipya cha hiyo Corona! Walianza na Makonda, wakaja kwa akina Mahera, na sasa ni kwa Waenda Marekani wote!
Mpaka 2025, tutaelewana tu.