Kulikoni Marian Boys na Girls matokeo ya kidato cha sita

Hizi Marian boys wamekatwa makusudi. Kuna habari zinajitokeza kuwa kuna deliberate move ya kuzizima! Mungu nisaidie kama ni uvumi usio na ukweli!
Wazizime ili iweje?

Yani NECTA wazizime shule zilizofanya vizuri ili wao wafaudike nini?

Hivi hatujui kwamba watahiniwa wa mwaka huu na wa mwaka jana hata wa mwaka ujao ni watahiniwa tofauti wenye kiwango na uelewa tofauti?
 
Wazizime ili iweje?

Yani NECTA wazizime shule zilizofanya vizuri ili wao wafaudike nini?

Hivi hatujui kwamba watahiniwa wa mwaka huu na wa mwaka jana hata wa mwaka ujao ni watahiniwa tofauti wenye kiwango na uelewa tofauti?
Ngoja nikukumbushe kidog. Unakumbuka upuuzi wa Distinction , Merit and Pass bila failure grade. This was a move to rescue kata schools from aibu ya kufeli! Nadhani unanielewa sasa. haya mambo hayana siri, huko huko kuna ndugu zenu, zetu etc! We unadhani Ngurumo anapata wapi taarifa za serikali za ndani. Juzi alisema Mkuu wa kaya ana ranch Karagwe, na kweli kabla Jogoo kuwika akaenda huko kukagua ranch yake! Alijuaje?
 
Feza mbona zishaingia mara nyingi tu? Au unadhani feza zinamilikiwa na kigango? Pale baraza mlipageuza kigango pamoja na bibi yenu yule
kwani unadhani feza inafundishwa na maimamu na kufundisha uimamu!.

nyinyi mtaendelea kuwa vilaza tu,mpaka mtakapojitambua.
 
Hizi Marian boys wamekatwa makusudi. Kuna habari zinajitokeza kuwa kuna deliberate move ya kuzizima! Mungu nisaidie kama ni uvumi usio na ukweli!
Kama ni kweli basi utakua ni mpango mbaya huu.
 
Feza mbona zishaingia mara nyingi tu? Au unadhani feza zinamilikiwa na kigango? Pale baraza mlipageuza kigango pamoja na bibi yenu yule

Ha ha ha ha! Mnajivunia Feza za Waturuki! Mimi nataka zile zenyewe zile! Na zipo nyingi kweli kweli, lakini kila mwaka hali ni tete kiasi kwamba baadhi yenu mnakubali kuwaleta watoto wenu upande wetu na hivyo kulazimishwa kusali masifu ya asubuhi, mchana na usiku!

Au umesahau hata mzee wetu wa ari mpya, ilimbidi na yeye akasome shule hizo hizo enzi alipokua anaitafuta elimu dunia? Na matunda tumeyaona!
 
Ha ha ha ha! Mnajivunia Feza za Waturuki! Mimi nataka zile zenyewe zile! Na zipo nyingi kweli kweli, lakini kila mwaka hali ni tete kiasi kwamba baadhi yenu mnakubali kuwaleta watoto wenu upande wetu na hivyo kulazimishwa kusali masifu ya asubuhi, mchana na usiku!

Au umesahau hata mzee wetu wa ari mpya, ilimbidi na yeye akasome shule hizo hizo enzi alipokua anaitafuta elimu dunia? Na matunda tumeyaona!
anajifanya hamnazo huyo.
 
Wazizime ili iweje?

Yani NECTA wazizime shule zilizofanya vizuri ili wao wafaudike nini?

Hivi hatujui kwamba watahiniwa wa mwaka huu na wa mwaka jana hata wa mwaka ujao ni watahiniwa tofauti wenye kiwango na uelewa tofauti?
Hajielewi huyo maza
 
Naona unarusha mawe na wakati huo huo umejificha kwenye nyumba ya vioo! Hayo masanamu yatawaandama milele! Maana kuna St Mary's Mazinde juu pale ya Lushoto!

Ikitokea siku shule kutokea huo upande wenu ikaingia 10 bora itabidi kama taifa tufanye sherehe. Maana yatakua ni maajabu ya dunia.
St. Mary's Mazinde Juu ni habari nyingine kabisa. Shule inakuwa top ten kwa miaka mingi sana. Mazingira yenyewe ya kusomea ni safi mno shule utafiriki ni kama shule za Ulaya. Maadili kwa kwenda mbele. Mwaka huu top tena ya wasichana Mazinde Wamegalagaza na TO ni kutoka Mazinde. Yule Sr Mkuu wa shule huwa harembi na binti kiwa pale ni lazima afanye kazi mpaka za mifugo. Shule ni safi ukiangusha sindano unaiona.

Kinachonifurahisha ni kwamba Sr yule pamoja na kuangalia ufaulu kidato cha 4 lakini huwa anachukua hata wenye div 3 ili mradi ukiweza kufaulu mtihani wa kuiingia ambao usahihishaji wake ni wa makini sana. Anachofanya ukufika pale unakutakana na waalimu vijana wale ambao ni vipanga wanaanza kuwanoa mabinti kila mmoja kwa mchepuo wake. Yaani pale utasomeshwa mpaka uelewe na kama huelelwi basi likizo yako utagawa mara mbili ili urudi shuleni ukazibe mabonde. Tena anachukua wanafunzi wengi na huwa mchujo hana yeye anaamini mwanafunzi akifundishwa kwa kuzingatia madhaifu yake ni lazima atafaulu tu.

Hao Marian na waalimu wazuri walishaanza kutimua mbio pale. na Maisha ni magumu sana kiasi kwamba waliosoma pale Olevel kwa siku za karibuni huwa hawarudi tena pale. Ila ni lazima tufahamu kuwa tunapeana vijiti tu.
 
Wa kwanza Form six ametoka Feza Boys EGM, nilimpongeza kijana kwa juhudi zake pia juhudi za wazazi wake kumlipia ada ya Feza Boys.
Ni wapiga kura wangapi wenye uwezo wa kulipa ada hii?
Shule ngapi za kata zinaweza kutoa namba one?
Tabaka letu la wapiga kura litabaki kuwa la wapiga kura.
Ada ya Feza ni shilingi ngapi
 
Wa kwanza Form six ametoka Feza Boys EGM, nilimpongeza kijana kwa juhudi zake pia juhudi za wazazi wake kumlipia ada ya Feza Boys.

Ni wapiga kura wangapi wenye uwezo wa kulipa ada hii?
Shule ngapi za kata zinaweza kutoa namba one?

Tabaka letu la wapiga kura litabaki kuwa la wapiga kura.
Muda mwingne hawa wanafunzi vipanga wanasoma bure kwenye shule kma hizi ili kuzipaisha
 
Huu upuuzi wa kubinafisha elimu umekuzwa hadi watu wanaanza kuhoji kwa nini st. nani na nani hawamo. Kipindi chetu vichwa vyote vilikuwa vinasoma shule za serikali na wale waliokuwa hawajiwezi au waliokosa nafasi ndo walipelekwa private
Maisha yanakwenda kasi sana.
 
Shule nyingi ndivyo zinavyofanya ili kuvutia wateja. Wanafundisha mitihani kiaina ili majibu yasifanane na kujulikana. Wanafunzi wanakuwa hawajui, wakidhani wanafundishwa masomo ya kawaida. Elimu yetu bado kabisa inaabudu mno vyeti na mitihani! Ndiyo maana unaona watu wana-pass vizuri lakini inapofika suala la utendaji inakuwa ziro.
Nakubaliana na wewe, wanakuwa wameshapata mitihani wanachofanya wanawafundisha wanafunzi kama kuwa brush kana kwamba wana solve past papers, si unajua maswali mengi ya mitihani huwa wanarudia ya miaka ya nyuma au wanabadilisha tu namna ya kuuliza swali lile lile
 
Sijui nini kinaendelea huko. Nilibahatika kusoma Marian girls. usidanganywe aisee tulikuwa tunasoma, yaani majibu yakitoka utakuta wanafunzi 90, DIV 1 ni 87 wengine DIV 2. Watu walihisi tunapewa majibu ila uchawi ulikuwa ni kusoma, discipline na kusali.

Nahisi labda Father Bayo kazeeka sasa, hakuna usimamizi.
Ambao hawajawahi pita kwenye hizo shule ndo watabaki kusema shule Huwa zinaiba mitihani.
 
Wale watoto wa St Francis ni halali yao kupata division 1 ya 7 karibu wote Na Wala hawaibi mtihani
... NECTA wakiamua "kukaza" kidogo ili kupunguza hizo point 7 za St. Francis nadhani huko kwingine husan St. Kayumba watapukutika kama upupu darasa zima wataambulia F F F F F F F. Inabidi kubebana tu hivyo hivyo au Serikali ianzishe utaratibu wa mitihani tofauti kulingana na shule; teh! teh; just joking.
 
Back
Top Bottom