Jamani karne ya 21,kwa nini Watanzania tunaruhusu wagonjwa kulala kitanda kimoja hospitalini?
Kumbuka Temeke iko jijini,je huko Mtwara,Kigoma ,Shinyanga na Singida itakuwaje?
Tuliona Super Model Naomi Campbell alipotembelea martenity ward hapo,na kukuta akina mama wajawazito wanalala chini.
Je sisi watanzania ni wazima vichwani?Tunasubiri Wazungu watupe msaada wa vitanda?Kama ni capacity,hatuna pesa za kujenga hospital nyingine?i dont think so!