Membe hakuchafuliwa,alipewa ukweli,sema akajikurupua kwenda mahakamani kuua soMusiba ataita press conference ingine kumchafua Membe?
Da!,nimeipokea samahani,ila kiukweli Membe yuko taabaniUna tabia za kichawi mkuu samahani lakini
Sotoka inakusumbua,damu ya yule balozi lazima imtafuneKwahivyo tujadili swala la uso wa membe kwa ulivyouona wewe?? Huu ujinga kama bangi haijahusika wahi daktari wa akili. Mwanaume ukae unajadili sura ya mume wa mtu kukosa tabasamu na mkewe atajadili nini? Naomba mnipe kazi ya u moderator MTU kama huyu nafuta Uzi na namfungia miaka sita apone kichaa kwanza
Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.
Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.[/QUOTEkazi kweli kweli......
Kadhoofika sana ,aisee,sasa ubobezi wa uspy ndo unamdhoofisha?NAONA UMEKUJA KUPIMA UPEPO,UKWELI UNAUJUA ! ILA MEMBE NI MBOBEZI ! ALIWAPIGA BAO AKAKWEPA MTEGO WAO ! once spy always spy
Mkuu yupo taabani kuliko wewe?
Kwa hiyo MUSIBA kashinda kesi ?Membe hakuchafuliwa,alipewa ukweli,sema akajikurupua kwenda mahakamani kuua so
Sent using Jamii Forums mobile app
wakatanta madaraka ni kitu kingine. Na hasa mtu anayependa madaraka na alishazoea kunyenyekewa na kila kiumbe. Enzi zake akiwa waziri wa mambo ya nje na huku akiwa na uhakika mkubwa kabisa anakuja kuwa rais wa nchi alikuwa yuko juu mawinguni. Si kuwa juu tu ila watu walikuwa wanamzunguka kila anapoenda na kumwamudu kwani walijua baadae ndiyo atakuwa ''mgawa madaraka mkuu'' Mara ghafla akaangukia pua na kujikuta nguvu na utukufu wote aliokuwa nao umeisha. Watu wa dizaini hii hata kama fedha ya kula wanayo lakini kiroho cha kukosa madaraka lazima kiwakumbe!
Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.
Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ww kichwa ya moto aise😅😅dahKumuona umemuona wewe Mkuu then unataka sisi ndio tushauri
Mkuu unauliza vumbi darini?Mkuu vp kuhusu yule Mbunge toka Kanda ile pendwa ambae ni Mkuu wa ile Wizara ya Mambo ya Home??? Upepo ukibadilika tutaona maselebreshen??
Sent using Jamii Forums mobile app