Kulikoni Benard Membe?

Kulikoni Benard Membe?

Ukipania sana kushika cheo cha boss wako kwa imani kuwa yeye ni dhaifu nawewe ni bora zaidi yake na utafanya miujiza ukipewa hicho cheo utaishia kwenye karo lenye mashada ya maua juu yake ukiwa umekufa kwa kihoro!!! Si yeye tu mi nawaona vijana wengi wenye ndoto za urais wa kufanya miujiza nami naamini kwa dhati wataishia kama si ubunge basi uwaziri tu!!! This World works in very mysterious ways!!!

Ukiwa na ukinai katika mambo yote ujue una baraka kutoka kwa Mola walahi
 
Kwahivyo tujadili swala la uso wa membe kwa ulivyouona wewe?? Huu ujinga kama bangi haijahusika wahi daktari wa akili. Mwanaume ukae unajadili sura ya mume wa mtu kukosa tabasamu na mkewe atajadili nini? Naomba mnipe kazi ya u moderator MTU kama huyu nafuta Uzi na namfungia miaka sita apone kichaa kwanza
 
Kichwa cha habari hakiendani na maelezo yako mkuu.
Umeuliza swali na kujibu mwenyewe.
Ulitakiwa kuelezea ulichokiona na kuachia swali wadau na siyo kutoa conclusion ya ulichokiuliza.
Nimemuangalia leo kwa ukaribu na nina muda mwingi sijamuona,

kikawaida Membe ni mchangamfu,mtu wa tabasamu na mara nyingi ni mtu mwenye bashasha wakati wote.

Leo wakati anatoka mahakamani dhidi ya shauri lake na Musiba na wenzake,namuona ni Membe mwingine kabisa,kapungua ,uso wake unaonyesha ndani ya moyo wake kuna kitu kinaumiza nafsi yake,ni kitu gani hicho?,kuukosa urais ?,ndoto zinakosa matumaini?,si ajikubali tu?,mbona Lowassa kakubali matokeo?,
kila jambo hupangwa na mungu kwa makusudi yake,akubali kua hakupangiwa na mungu kua rais japo mbeleko ya kikwete ingeweza kumbeba kitemi.

Image is loading...........

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemuangalia leo kwa ukaribu na nina muda mwingi sijamuona,

kikawaida Membe ni mchangamfu,mtu wa tabasamu na mara nyingi ni mtu mwenye bashasha wakati wote.

Leo wakati anatoka mahakamani dhidi ya shauri lake na Musiba na wenzake,namuona ni Membe mwingine kabisa,kapungua ,uso wake unaonyesha ndani ya moyo wake kuna kitu kinaumiza nafsi yake,ni kitu gani hicho?,kuukosa urais ?,ndoto zinakosa matumaini?,si ajikubali tu?,mbona Lowassa kakubali matokeo?,
kila jambo hupangwa na mungu kwa makusudi yake,akubali kua hakupangiwa na mungu kua rais japo mbeleko ya kikwete ingeweza kumbeba kitemi.

Image is loading...........

Sent using Jamii Forums mobile app
Ramuli Chonganishi hizi
 
Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.

Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.
Daah umewachamba.....lakini ndio ukweli.
 
Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.

Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.

I never thought about this...ila kuna ukweli....juzi kati watu wamekamatwa Ilala club ya wazee wanachukua rushwa ya kupangisha frame....ukiwaona wanavyotamba mitaani utafikiri kuna la ukweli. Kumbe magumashi tu
 
Ukipania sana kushika cheo cha boss wako kwa imani kuwa yeye ni dhaifu nawewe ni bora zaidi yake na utafanya miujiza ukipewa hicho cheo na tena ukiwaza uwe na hicho cheo usifiwe kwa kujionesha unajua sana na kuwakomoa watu flani , kwakuwa hizo ni fikra za kishetani basi ujue utaishia kwenye karo lenye mashada ya maua juu yake ukiwa umekufa kwa kihoro!!! Si yeye tu atakaekonda na kuishiwa kitambi bali mi nawaona vijana wengi wenye ndoto za urais wa kufanya miujiza eti ili tuwasifie nami nawasikitikia sana kwani naamini kwa dhati nao pia wataishia kwenye makaro wakiwa kama si wabunge basi mawaziri tu!!! Wanajijua!!! Wale wenye hekima mtunze maneno haya na mfundishe watoto wenu mkipenda!! This World works in very mysterious ways!!!
hakika umenena,big up,anakufa na kiholo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemuangalia leo kwa ukaribu na nina muda mwingi sijamuona,

kikawaida Membe ni mchangamfu,mtu wa tabasamu na mara nyingi ni mtu mwenye bashasha wakati wote.

Leo wakati anatoka mahakamani dhidi ya shauri lake na Musiba na wenzake,namuona ni Membe mwingine kabisa,kapungua ,uso wake unaonyesha ndani ya moyo wake kuna kitu kinaumiza nafsi yake,ni kitu gani hicho?,kuukosa urais ?,ndoto zinakosa matumaini?,si ajikubali tu?,mbona Lowassa kakubali matokeo?,
kila jambo hupangwa na mungu kwa makusudi yake,akubali kua hakupangiwa na mungu kua rais japo mbeleko ya kikwete ingeweza kumbeba kitemi.

Image is loading...........

Sent using Jamii Forums mobile app
Membe atashindwa hii kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom