Kulikoni Benard Membe?

Kulikoni Benard Membe?

Membe ana fedha nyingi haitaji msaada wa mtu.
Hata kama angekwama ana kaka mkubwa.
Labda anasumbuliwa na mambo mengine.
 
Ukijua ulipora busara hua ni kukaa kimya,jinai haifi

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi sikatai kama kweli mtu ameiba si kuka kwake kimya ndio iwe siraha. Wangapi wako
Membe alihakikisha anampoteza kabisa mudhihiri mudhihiri kwenye utawala wa jk..na alifanikiwa..nilipata kukutana na mudhihiri..wakati wa maongezi hakutaka kufafanua ila nilimuelewa..nilipofatilia nikagundua chanzo cha mvutano ni kiwanda cha cement lindi..na hili magufuli aliwahi kulizungumza kuwa kuna mtu kapiga bill 200 za kiwanda cha cement lindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa ujumla simtetei yoyote ila nachopendekeza sheria ifuate mkondo wake. Badala ya kuwatafuta watu kwa kesi za kubambikizia wakat tunajua madudu tuwatafute lwa zile ppast zao la sivyo ni uonevu tu
 
Nimemuangalia leo kwa ukaribu na nina muda mwingi sijamuona,

kikawaida Membe ni mchangamfu,mtu wa tabasamu na mara nyingi ni mtu mwenye bashasha wakati wote.

Leo wakati anatoka mahakamani dhidi ya shauri lake na Musiba na wenzake,namuona ni Membe mwingine kabisa,kapungua ,uso wake unaonyesha ndani ya moyo wake kuna kitu kinaumiza nafsi yake,ni kitu gani hicho?,kuukosa urais ?,ndoto zinakosa matumaini?,si ajikubali tu?,mbona Lowassa kakubali matokeo?,
kila jambo hupangwa na mungu kwa makusudi yake,akubali kua hakupangiwa na mungu kua rais japo mbeleko ya kikwete ingeweza kumbeba kitemi.

Image is loading...........

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mkewe?
 
Maoni yako yana ukweli flani,pia nafikiri kingine kinachomuumiza ni ile hotuba wakati bunge linavunjwa ,alipowahutubia mabalozi wa tanzania waliokua nje ya nchi,kwamba atakuja kivingine kabisa ,kila akikumbuka anatamani ardhi ipasuke azame

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah daah jamaa hua hajui kujieleza kabisaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Membe alihakikisha anampoteza kabisa mudhihiri mudhihiri kwenye utawala wa jk..na alifanikiwa..nilipata kukutana na mudhihiri..wakati wa maongezi hakutaka kufafanua ila nilimuelewa..nilipofatilia nikagundua chanzo cha mvutano ni kiwanda cha cement lindi..na hili magufuli aliwahi kulizungumza kuwa kuna mtu kapiga bill 200 za kiwanda cha cement lindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuki kwa nguruwe,sasa umemgeukia anatukutia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South Africa Mbeki alikuwa nayo dola,akatoka kabla ya muda kumpisha KGALEMA MONTLANTE,ZUMA PIA ALIQUIT KWA SHINIKIZO AKACHUKUA CYIRIL RHAMAPOSA.

ZIMBABWE GABRIEL ROBERT MUGABE ALIKUWA NA DOLA AKATOKA KABLA SASA KUNA EMILSON.

"Kabla ya mtu palikuwa na mtu na baada ya mtu patakuwa na mtu " kanuni ya mtoano, hata demu wako mkuu kabla yako palikuwa na mtu anafanya yake.

"WHAT GOES AROUND COMES AROUND" ! STAY TUNED !

HUTAKI UNAACHA
Sikatai,ila ni mpaka 2025,hutaki unaacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tapatalk_1551458882520.jpeg
 
Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.

Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.
Usemayo ni kweli. Nimemuangalia juzi juzi mzee Wasira (a.k.a Tyson) kwenye kongamano la amani pale Mwalimu Nyerere hata sikuamini kama ni yeye.
 
Membe 2025 mtarajiwa..... kada wa chama na mawanademokrasia mbobezi..utakuta nchi ipo kwenye mstari mzuri wa maadili kazi kwako ukijaliwa kuiendeleza...kutulia kwako watu hawajakusoma vizuri.. Tunakauobea afya njema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.

Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.
Mku usicheze na kukosa pesa kama ulikua umeizoea, hilo ni jambo jingine. Lisikie kwa jirani usitake kuwa moja wa mashaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom