mimi sikatai kama kweli mtu ameiba si kuka kwake kimya ndio iwe siraha. Wangapi wako
kwa ujumla simtetei yoyote ila nachopendekeza sheria ifuate mkondo wake. Badala ya kuwatafuta watu kwa kesi za kubambikizia wakat tunajua madudu tuwatafute lwa zile ppast zao la sivyo ni uonevu tuMembe alihakikisha anampoteza kabisa mudhihiri mudhihiri kwenye utawala wa jk..na alifanikiwa..nilipata kukutana na mudhihiri..wakati wa maongezi hakutaka kufafanua ila nilimuelewa..nilipofatilia nikagundua chanzo cha mvutano ni kiwanda cha cement lindi..na hili magufuli aliwahi kulizungumza kuwa kuna mtu kapiga bill 200 za kiwanda cha cement lindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mkewe?Nimemuangalia leo kwa ukaribu na nina muda mwingi sijamuona,
kikawaida Membe ni mchangamfu,mtu wa tabasamu na mara nyingi ni mtu mwenye bashasha wakati wote.
Leo wakati anatoka mahakamani dhidi ya shauri lake na Musiba na wenzake,namuona ni Membe mwingine kabisa,kapungua ,uso wake unaonyesha ndani ya moyo wake kuna kitu kinaumiza nafsi yake,ni kitu gani hicho?,kuukosa urais ?,ndoto zinakosa matumaini?,si ajikubali tu?,mbona Lowassa kakubali matokeo?,
kila jambo hupangwa na mungu kwa makusudi yake,akubali kua hakupangiwa na mungu kua rais japo mbeleko ya kikwete ingeweza kumbeba kitemi.
Image is loading...........
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah daah jamaa hua hajui kujieleza kabisaa.Maoni yako yana ukweli flani,pia nafikiri kingine kinachomuumiza ni ile hotuba wakati bunge linavunjwa ,alipowahutubia mabalozi wa tanzania waliokua nje ya nchi,kwamba atakuja kivingine kabisa ,kila akikumbuka anatamani ardhi ipasuke azame
Sent using Jamii Forums mobile app
Yepi hayo?Membe ana fedha nyingi haitaji msaada wa mtu.
Hata kama angekwama ana kaka mkubwa.
Labda anasumbuliwa na mambo mengine.
Pesa ilikwisha pigwa pin kitambo,ooh!Membe ana fedha nyingi haitaji msaada wa mtu.
Hata kama angekwama ana kaka mkubwa.
Labda anasumbuliwa na mambo mengine.
Basi wewe ndio utakua umechokaHahaha mbona hajachoka kama mleta mada anavyotaka tuamini?!
Mkuki kwa nguruwe,sasa umemgeukia anatukutia tuMembe alihakikisha anampoteza kabisa mudhihiri mudhihiri kwenye utawala wa jk..na alifanikiwa..nilipata kukutana na mudhihiri..wakati wa maongezi hakutaka kufafanua ila nilimuelewa..nilipofatilia nikagundua chanzo cha mvutano ni kiwanda cha cement lindi..na hili magufuli aliwahi kulizungumza kuwa kuna mtu kapiga bill 200 za kiwanda cha cement lindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikatai,ila ni mpaka 2025,hutaki unaachaSouth Africa Mbeki alikuwa nayo dola,akatoka kabla ya muda kumpisha KGALEMA MONTLANTE,ZUMA PIA ALIQUIT KWA SHINIKIZO AKACHUKUA CYIRIL RHAMAPOSA.
ZIMBABWE GABRIEL ROBERT MUGABE ALIKUWA NA DOLA AKATOKA KABLA SASA KUNA EMILSON.
"Kabla ya mtu palikuwa na mtu na baada ya mtu patakuwa na mtu " kanuni ya mtoano, hata demu wako mkuu kabla yako palikuwa na mtu anafanya yake.
"WHAT GOES AROUND COMES AROUND" ! STAY TUNED !
HUTAKI UNAACHA
Usemayo ni kweli. Nimemuangalia juzi juzi mzee Wasira (a.k.a Tyson) kwenye kongamano la amani pale Mwalimu Nyerere hata sikuamini kama ni yeye.Wanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.
Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.
Nayeye ni mfuasi wa Membe?Usemayo ni kweli. Nimemuangalia juzi juzi mzee Wasira (a.k.a Tyson) kwenye kongamano la amani pale Mwalimu Nyerere hata sikuamini kama ni yeye.

Sawa kwa kupitia chadema ,sisiem noMembe 2025 mtarajiwa..... kada wa chama na mawanademokrasia mbobezi..utakuta nchi ipo kwenye mstari mzuri wa maadili kazi kwako ukijaliwa kuiendeleza...kutulia kwako watu hawajakusoma vizuri.. Tunakauobea afya njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mku usicheze na kukosa pesa kama ulikua umeizoea, hilo ni jambo jingine. Lisikie kwa jirani usitake kuwa moja wa mashaidiWanaccm wote wamezoea maisha ya mteremko, wakiyakosa maisha hayo unajichukulia tu hata mkewe unapiga mpaka unachoka. Yale maImprest aliyokuwa anayasaini yamekatika. Ndio maana wako tayari hata damu imwagike kuliko wapoteze madaraka. Angalia wote wakiwa madarakani wana vitambi, kisha wakitoka suruali zote wanaenda kupunguza kwa fundi au wakivaa baada ya kufunga mkanda zinaweka celebration.
Mfuate leo Membe akuonyeshea zile fursa alizokuwa anawaambia watu kuna fursa kibao, atakujibu kwa upole mambo ni magumu! Ile miradi aliyofungua na kuwakabidhi mashemeji yote inasuasua na mingine imekufa. Yote hayo ni kuzoea maisha ya mteremko kisha wakitoka madarakani unakuta muda wote midomo imewakauka kama wamepakaa mafuta taa.