Kuna tabia ya wanaume kuleta hawara nyumbani kwake wakati mke na familia wakiwa safarini, yaani huyu mwanaume anafanya mapenzi ni huyo hawara yake katika kitanda cha mkewe wa ndoa. Hivi tabia kama hii ina madhara gani, tujadili.
Kuna tabia ya wanaume kuleta hawara nyumbani kwake wakati mke na familia wakiwa safarini, yaani huyu mwanaume anafanya mapenzi ni huyo hawara yake katika kitanda cha mkewe wa ndoa. Hivi tabia kama hii ina madhara gani, tujadili.
This is very serious. Kama mumeo amefikia kiasi cha kuleta hawara nyumbani basi hapo hakuna ndoa tena.
This reminds me what men protrays about women: Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe! Huyo hawara anakubali kuja nyumbani kwako wakati anajua kuna mwanamke mwingine? Kweli wanwake tunamalizana sana, maadui ni sisi wenyewe, kwa kiasingizio kuwa wanaume
wametufuata.
Huu ni ulimbukeni tena ujinga mkubwa wa mwanaume wa aina hiyo. Kile kitanda mwanaume anachotumia na mke wake kinafaa kuheshimiwa kabisa na asilale mwanamke mwingine katika kitanda kile. Kumleta hawara nyumbani tena kwenye familia yako ma kitanda chako na mke wako ni ujinga na ulimbukeni. Hakuna haja ya kuionyesha familia yako kuwa unazini na wanawake nje au una hawara. Hakuna haja ya kuonyesha uchafu wako nyumbani mwako kwenye familia yako. Kwani umekosa nini pesa za hoteli mpaka uonyeshe uhuni wako nyumbani mwako. Watoto watakuonaje hata kama watoto hawapo kwa wakati huo, house gal wako au mlinzi wako watakuonaje.
Distazo... hapa hata kujadili inakua kazi kweli.... wanaume wa hivyo
ndio wale limbukeni... of coz wengi wana cheat but bana asikwambie
mtu, hakuna mwenza kama mke/mume - ndio the best person in your
life no matter hao unao ona nje ao kuonana nao... Hivyo ukitambua ilo
huwezi ukawa mshenzi kiasi cha kuleta hawara ndani hali mwenzio hayupo...
Sema tu tumetofautiana ufikiri... wewe unaepelekwa hapo; how do you feel??
utajuaje kama ni kidumeeeeeeeeee.Kuna tabia ya wanaume kuleta hawara nyumbani kwake wakati mke na familia wakiwa safarini, yaani huyu mwanaume anafanya mapenzi ni huyo hawara yake katika kitanda cha mkewe wa ndoa. Hivi tabia kama hii ina madhara gani, tujadili.
Distazo... hapa hata kujadili inakua kazi kweli.... wanaume wa hivyo
ndio wale limbukeni... of coz wengi wana cheat but bana asikwambie
mtu, hakuna mwenza kama mke/mume - ndio the best person in your
life no matter hao unao ona nje ao kuonana nao... Hivyo ukitambua ilo
huwezi ukawa mshenzi kiasi cha kuleta hawara ndani hali mwenzio hayupo...
Sema tu tumetofautiana ufikiri... wewe unaepelekwa hapo; how do you feel??
Very respected than the wife!
Very respected than the wife!
Asha, siku zote akufukuzae hakwambii toka,
mume alijichokea na huyo mama akaamua atafute sababu tu,
huwezi jua bana.................................