Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Juzi nilikua sehemu nimejibanza nawasikiliza wadada 2 wakiongea...
Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..
Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....
Wadau hapa mna maoni gani??
Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..
Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....
Wadau hapa mna maoni gani??