Kulaziwa matiti mgongoni...

Kulaziwa matiti mgongoni...

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Juzi nilikua sehemu nimejibanza nawasikiliza wadada 2 wakiongea...

Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..

Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....

Wadau hapa mna maoni gani??
 
mi akianza kunigusisha na matiti yake tunashuka njiani
 
Juzi nilikua sehemu nimejibanza nawasikiliza wadada 2 wakiongea...

Wa 1 alikuwa akilalamika kuwa hatopanda tena bodaboda kwa sababu aliwahi kuangushwa na huwa
wanaendesha kwa speed sana..

Dada wa 2 akamwambia kua asiogope kupanda, ila eti akitaka kuendeshwa pole pole amlazie matiti mgongoni,
mtu wa boda boda hua anaendesha pole pole na anatamani asifike, na bei huwa anatoa ndogo kwa
kulaziwa dodo mgongoni....

Wadau hapa mna maoni gani??

Mh.....nafikiri pia itategemea na aina ya matiti......najaribu kuvuta picture....
 
madereva boda boda ndo wanaongoza kwa kuvunja ndoa za watu kama hako kamchezo cha matiti mbona noumaa
 
akinifanyia vituko hivyo ajue kaumia stendi ya kwanza gest
 
kwani gest ztakuwa mbali....? Ila Mengne hata hayashtui unaweza dhani umeegemezewa kitambi.
 
kwani gest ztakuwa mbali....? Ila Mengne hata hayashtui unaweza dhani umeegemezewa kitambi.

Taratibu jamani.........kuna wengine wazazi wetu ndio usafiri kule kijijini.....msije ikawa mnajitusi wenyewe hapa. Kuweni makini.
 
Na sie wanaume tuwalazie nini sasa?! Maana na sie hatupendi kupelekwa baru tukaumia..

Hahahaha, hatareeeee, angalia usipate kichapo cha dereva bodaboda
 
akinifanyia vituko hivyo ajue kaumia stendi ya kwanza gest

unauhakika huna mzazi anayetegemea hii tuk tuk kama njia ya usafiri...... maana kuna wengine mama zao wanazipanda sasa usije tukana wazazi wa watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom