Back N days
JF-Expert Member
- Apr 9, 2026
- 318
- 840
Hujampata mpishi wa utumbo wewe😋😋😋Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Hivi unawafahamu wale jamaa wanaojiita:Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
ni mboga yenye high proteinKaribu ugali kwa utumbo wa kukuView attachment 3579186
We msukuma
Kila kinacholiwa kwa ukwasi wake kina kichefuchefu
Hapo ndio utagundua hekima ya mapishi ya viungo
Kudhani utumbo unashombo ni moja
Hata mchele una shombo unalijua hilo jitu la Bara.!
ile shombo yake ni tofauti kabsa na ya nyamaHujapata muandaaji mzuri tu
DuhKaribu ugali kwa utumbo wa kukuView attachment 3579186
Unaitwa Zabadi Siyo Utumbo Wa KukuKaribu ugali kwa utumbo wa kukuView attachment 3579186
Tandale kwetuHauitwi Utumbo Wa Kuku
Jina La Staha Pale Msanga Tunaita "Zabadi"
Unaitwa Zabadi Siyo Utumbo Wa Kuku
Kumuondoa huyo samaki, hapo kuna utofauti gani na kula ugali bila mboga.?Nimenunua 3000 tu fresh anarukaruka kutoka ziwani nguvu ya kula utumbu natoa wapiView attachment 3579233
Utakuwa unatoka Jamii maskini ambazo hazifugi!Huwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Unamuondoaje sasa?Kumuondoa huyo samaki, hapo kuna utofauti gani na kula ugali bila mboga.?
Sasa wewe unauliza alafu unapendekeza majibu yakoHuwa nawashangaa sana watu wanakula utumbo wa ng'ombe mbuzi na wanyama wengine .
Hivi mnawezaje wakuu kula utumbo kwanza huwa una kishombo fulani hivi huwa sikielewi yani unaweza tapika ila kuna watu husema aaah utumbo ni mtamu kuliko nyama yakawaida.
Utumbo sio kitu cha kula kabsa wakuu ile so nyama
Yan hata akiwepo bado hakuna tofauti na mtu kula ugali bila mbogaUnamuondoaje sasa?