Kula mbakshie baba

Kula mbakshie baba

ha ha ha ha
i dont compete...
i always win.
i dont need to have any game.
its fate.not a game.
it was written.

You fake you lame
you fraud like nicki minaj's lacefront
 
heheheeeeee haya shostito na msukuma wangu leo hatakuwepo sasa nikipta hakuna protection


shostito leo umemuacha wapi mwenziyo (Bala)?...au ndiyo bize?....au ndiyo una practise ile kitu niliyokwambia juzi kuwa wee mpikie hilo dona lake alafu muachie hapo alile peke yake na alimalize....
 
shostito leo umemuacha wapi mwenziyo (Bala)?...au ndiyo bize?....au ndiyo una practise ile kitu niliyokwambia juzi kuwa wee mpikie hilo dona lake alafu muachie hapo alile peke yake na alimalize....

Bala yuko bize kidogo shosti.....wala si vinginevyo. leo usiku ni sato na dona la nguvu karibuni na shemeji na OPP!!!!!!!!!!!!!

Shosti wapi masa???
 
Bala yuko bize kidogo shosti.....wala si vinginevyo. leo usiku ni sato na dona la nguvu karibuni na shemeji na OPP!!!!!!!!!!!!!

Shosti wapi masa???


Masa yupo behind bars....juzi alikuwa anaendesha while under influence of alcohol....
 
Kiranga ni mwanga
Asije kuja akaanza kuwanga
 
Masa yupo behind bars....juzi alikuwa anaendesha while under influence of alcohol....

his favorite thou!!!! (mzee wa kilauri) duh!!! hahahaaaa lol!!!! nilidhani kapigwa pingu za Muro na mzenji mie!!
 
his favorite thou!!!! (mzee wa kilauri) duh!!! hahahaaaa lol!!!!


Yeah that is his nick name!...inabidi tumpeleke rehab what do you think??? maana anapokwend asi pazuri kabisa...maana at this point hata savings hana.....hela yake yote ya mshahara inaishia kwenye kilauli.....i will pray for him though!...LOL!
 
EEH Jamani huyu Muro miye hadi nimeshachoka na habari zake yupo kila kijiwe yaani
ukifungua
Jukwaa la siasa yupo,Enterteinment mpaka sports yupo,Celebrities,Hoja mbali mbali....who is this mUro jamani eeh!mpaka kwenye international forum yupo!......
 
EEH Jamani huyu Muro miye hadi nimeshachoka na habari zake yupo kila kijiwe yaani
ukifungua
Jukwaa la siasa yupo,Enterteinment mpaka sports yupo,Celebrities,Hoja mbali mbali....who is this mUro jamani eeh!mpaka kwenye international forum yupo!......

he is the multipurpose guy utakoma!!! hadi kwenye mapenzi yumo!!!

tukiwaambia watu waunganishe hizo nyuzi wanaona we are biased!!! acha wayasambaze jf nzima hamna hata pa kupita!!!
 
he is the multipurpose guy utakoma!!! hadi kwenye mapenzi yumo!!!

tukiwaambia watu waunganishe hizo nyuzi wanaona we are biased!!! acha wayasambaze jf nzima hamna hata pa kupita!!!


hakuna perfect person!.....wala angels in here than jesus!....sow e all make mistake huyo Muro did his ili aweze naye ku-survive....nafikiri wakiunganisha hizo post ita make sense sana tuu
 
hakuna perfect person!.....wala angels in here than jesus!....sow e all make mistake huyo Muro did his ili aweze naye ku-survive....nafikiri wakiunganisha hizo post ita make sense sana tuu

tumeimba sana kuhusu hilo la kuunga, ngoja tusubiri!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom