mawasiliano yamerahisishwa sana siku hizi na kuna namna tofauti tofauti za kuwasiliana ingawa ni ukweli kuwa kuna watu unaweza maliza hata mwaka hujawasiliana nao hali ya kuwa una namba zao za simu au unaweza kuwapata kwa namna yoyote.
je inakuwaje pale mtu anapokutafuta wakati amekwama? yaani inakuwa ni tabia akikwama anakutafuta shida zake zikiisha humsikii tena mpaka akwame tena!
je tujifanye wajinga kwa kuwasaidia tu watu hivyo kama uwezo wa kufanya hivyo upo,? (kwamba tenda wema wende zako), tuwaonye tabia zao? tuwanyime msaada maana hawana uungwana? au tufanyaje wakuu?
cc
Mbu,
Eiyer,
Lizzy gfsonwin The Boss Fixed Point AshaDii Kaizer Asprin Preta Mentor watu8 Heaven on Earth BAK king'asti
Kongosho mwanajamii1 na wengineo.