malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,719
- 4,305
Habar wakuu naomba mnijuze sehemu Gani dar ntapata kuku wakuchoma wakienyeji na ndizi choma,,msaada wenu
Dar kuku wa kuchoma tunakula wa kisasa. Tandoori Chicken, Sekela chicken, Chicken tikka masala, lemon chicken, KFC Chicken.Habar wakuu naomba mnijuze sehemu Gani dar ntapata kuku wakuchoma wakienyeji na ndizi choma,,msaada wenu
Mkuu Kila napopita ni kuku choma wakisasaYaani kweli Dsm nzima umekosa watu wa kuuliza hili swali mpaka uje kuianzishia mada? Au hao kuku ni tofauti na hawa tunaowafahamu sheikh,
Mkuu sisi wangine niwagonjwa ndo vyakula vyetu hivo vyakila sikuMuhaya akifika Dar ndo kitu cha kwanza kwake kuleta sifa.
Basi kuna mdau ameshakupa location hapo juu, mbezi kwa RobertMkuu sisi wangine niwagonjwa ndo vyakula vyetu hivo vyakila siku
hapo bado unaendeleza sifa.Mkuu sisi wangine niwagonjwa ndo vyakula vyetu hivo vyakila siku
😀😀😀…kuku matahiraMbezi njia ya kwenda madale nadhani.
Dar kwa nyama za kuchoma bado kwa kweli..
Ukitaka kula nyama ya kuku mbuzi ama ng'ombe wakuchoma ni Dodoma na arusha.
Dar ni mwendo wa kuku matahira.
Aisee! Nimecheka sana.Dar ni mwendo wa kuku matahira.
Ni kuku Gani hawaMbezi njia ya kwenda madale nadhani.
Dar kwa nyama za kuchoma bado kwa kweli..
Ukitaka kula nyama ya kuku mbuzi ama ng'ombe wakuchoma ni Dodoma na arusha.
Dar ni mwendo wa kuku matahira.
St Joseph CathedralHabar wakuu naomba mnijuze sehemu Gani dar ntapata kuku wakuchoma wakienyeji na ndizi choma,,msaada wenu
Wale broiler, na kuna wale hajaguswa ametagaNi kuku Gani hawa
Pale wanauza wa kienyejiWale broiler, na kuna wale hajaguswa ametaga