The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,637
- 1,864
Chunga utauziwa chotara
Hata mimi nilijiuliza kama wewe , kienyeji supu bhanaKuku wa kienyeji wa kuchoma kama unatafuna mpira 😩
Nilijua niko peke yangu 😂 yaan naona bora broiller japo sio salamaKuku wa kienyeji wa kuchoma kama unatafuna mpira 😩
Ungewabanika ukatembea naoMkuu sisi wangine niwagonjwa ndo vyakula vyetu hivo vyakila siku
Nimecheka nikachoka😆Yamkini mimi mwenyewe siwezi kutoa hela yangu kula kuku shoga asiye na baba. Hapana kwa kweli heri dagaa na matembele
Sasa tufanye huyo aliyeuliza anakaa Kigamboni au mbagala ndio atasafiri kwenda hadi mbezi kwa ajili ya kula vidari vya kuku kisha asafiri tena kurudi kigamboniSogea Mbezi kwa Robert, njia ya kwenda/kutoka Goba.
Kuku wa kienyeji wanachomwa Arusha mzee na wanakua walaini hata mtoto mdogo anakula...Hata mimi nilijiuliza kama wewe , kienyeji supu bhana
Unataka kula kuku wa kishenzi?Habar wakuu naomba mnijuze sehemu Gani dar ntapata kuku wakuchoma wakienyeji na ndizi choma,,msaada wenu