Kuku mzima wa uswazi

Kuku mzima wa uswazi

Kuna mada zangu za zamani nikizisoma [emoji85][emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hizo chips za vichwa, ng'oko na utumbo za tandika na kigogo haziwezi kuwa na tija kwa warembo wanaojielewa. We endelea kula kwa urefu wa kamba yako akina Shida, Sikitu na Tatu wanawake wanaonemwa kabla ya kuolewa.

Huku kwa akina Loreen, Shawna, Marylin, Nolanda na Taliyah waachie wenye kipato cha kwenda kulishia chips za KFC wale nchi mzee. Hii ndio DSM kamanda!
Ahahah eti Shida
 
Shida, Sikitu na Tatu, Mkuu Umetishaaaaa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa anachukulia simpo
 
Kumbe kuna wavulana na vitoto vidogo humu ndani. Thread gani hizi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom