Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,741
- 861,138
Ofa ya chakula kitamu ni mojawapo ya kuonyesha upendo kwa yule umpendaye.... Lakini vilevile ofa ya chakula hutumika kama kitongozeo, kama ndoana ya kunasa mpenzi.... Kuna chakula maarufu sana kinaitwa chips [emoji489] kuku [emoji239] achana kabisa na hiki chakula..... Kimewanasa wengi mno.... Kuna mpaka watoto waliopatikana kupitia hiki chakula....
Bei ya chips [emoji489] kuku[emoji239] inatofautiana kulingana na mazingira... Kuna chips kuku kuanzia buku mpaka elfu kumi na tano
Sasa uswahilini kuna CHIPS [emoji489] KUKU [emoji239] mzima(sio kuku aliye hai) la hasha, chips kuku mzima ni combination ya halo halo, cheni bloku na namba eleven kwa gharama ya Tsh 2500/= tu....
Yani ni chips za buku, kichwa cha kuku kilichosokomezwa miguu miwili ya kuku kisha kwa pamoja vikapigwa kabari na utumbo wa kuku..... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji12]
Hiyo ndio chips kuku mzima ya uswazi inayowatia wazimu watoto wa kike.... Najua ulishawahi kupewa ofa hii wee mdada japo ni kitambo sana
Bei ya chips [emoji489] kuku[emoji239] inatofautiana kulingana na mazingira... Kuna chips kuku kuanzia buku mpaka elfu kumi na tano
Sasa uswahilini kuna CHIPS [emoji489] KUKU [emoji239] mzima(sio kuku aliye hai) la hasha, chips kuku mzima ni combination ya halo halo, cheni bloku na namba eleven kwa gharama ya Tsh 2500/= tu....
Yani ni chips za buku, kichwa cha kuku kilichosokomezwa miguu miwili ya kuku kisha kwa pamoja vikapigwa kabari na utumbo wa kuku..... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji12]
Hiyo ndio chips kuku mzima ya uswazi inayowatia wazimu watoto wa kike.... Najua ulishawahi kupewa ofa hii wee mdada japo ni kitambo sana