stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 886
\
inategemeana na umuri mkuu, unataka wa umuri gani?
mkuu weka mchanganuo , mtu mwenyewe ajipimie wapi kulingana na uwezo wa mfuko wake
\
inategemeana na umuri mkuu, unataka wa umuri gani?
Nami nahitaji hao vifaranga naomba utujuze bei
mkuu wanapatikana na kuna watu wanao hapo Dar so ukitaka kuwaona walivyo nitakuunganisha nao, kama uko Dar
Ninao kuroiler wa wki tatu nipe ofa yakoNahitaji hao vifaranga Wa kuroiler waliofikisha wiki kuanzia tatu je naweza pata
Mkuu unatisha unaweza kuja kua kituo kikubwa sana cha kuzalishia kuku
Wakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12 nitaanza kutoa supply ya kwanza ya hawa kuku.
Mkuu nipe contacts zako nije nikutembelee na kujifunza. Nawataka hao kuku.Wakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12 nitaanza kutoa supply ya kwanza ya hawa kuku.
Mkuu vipi umeshaanza ku-supply mayai? if yes unauza bei gani kwa yai?Wakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12 nitaanza kutoa supply ya kwanza ya hawa kuku.
unataka vifaranga wangapi? kila kifaranga ni Tshs 3,000 (Kuroiler)Mkuu upo wapi wewe?,naomba tuwasiliane,nahitaji mbegu ya hawa kuroiler 0782945686
unataka vifaranga wangapi? kila kifaranga ni Tshs 3,000 (Kuroiler)
Wakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12 nitaanza kutoa supply ya kwanza ya hawa kuku.
Preta nitakutafuta unisaidie, niko very much interested.
Mkuu mayai tayari?? maana mwaka wa tatu huu sasa unakatika bado tunasubiria mzigo wa kwanzaWakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12 nitaanza kutoa supply ya kwanza ya hawa kuku.
Picha ya nn?Picha