Kuku aina ya kuroiler from India

Acha upuuzi, sina muda wakupoteza kuanza kukupa mchanganuo
Sasa unafikiri mtu anaetaka kuingia hii biashara ataingia kichwa kichwa kisa umesema kuku mmoja 10,000/-? Muwe mnajipanga sio mnaokota mawazo ya watu mitandaoni mnaleta kwenye majukwaa mengine nusu nusu. Eti huna muda wa kupoteza, mbona umepoteza muda kuleta kitu nusu nusu?
 
Wakuu naomba update kuhusu kuku. Mayai yaliyokuwa fertilized yanapatikana wapi?
 
Wakuu kwa mara nyingine nimefanikiwa kuagiza hawa vifaranga wa Kuroiler. Hawa ni kuku kutoka India na wanaweza fugwa free range na hawa like Dorep wanakuwa wakubwa sana. So by mwezi wa 12 nitaanza kutoa supply ya kwanza ya hawa kuku.

=============================================
Unaagizaje kuku hao kutoka India wakati wanapatikana Ke4nya na Uganda?
 
Mkuu nime agiza F1 kuna kampuni moja ambayo inadili na kuagiza fertilized eggs na vifaranga kutoka nje ndo wameniagizia, na kuna moja naisubilia kutoka South Africa ni breed ambayo inataga mayai kama mvua.
Hao wa Uganda niliwaona ila sio wanechakachuliwa hata krnya kuna janaa anao ila nao kwa kweli wameisha chakachuliwa.

Kuku wa mbegu inatakiwa wawe F1 so utakuta mfano hawa tunao waita wa malawi kwa sasa si ni F 20
Mkuu
 
Mkuu nime agiza F1 kuna kampuni moja ambayo inadili na kuagiza fertilized eggs na vifaranga kutoka nje ndo wameniagizia, na kuna moja naisubilia kutoka South Africa ni breed ambayo inataga mayai kama mvua.
Hao wa Uganda niliwaona ila sio wanechakachuliwa hata krnya kuna janaa anao ila nao kwa kweli wameisha chakachuliwa.

Kuku wa mbegu inatakiwa wawe F1 so utakuta mfano hawa tunao waita wa malawi kwa sasa si ni F 20
Ww umeagiza parent cross(f0) au f1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom