RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Sasa unafikiri mtu anaetaka kuingia hii biashara ataingia kichwa kichwa kisa umesema kuku mmoja 10,000/-? Muwe mnajipanga sio mnaokota mawazo ya watu mitandaoni mnaleta kwenye majukwaa mengine nusu nusu. Eti huna muda wa kupoteza, mbona umepoteza muda kuleta kitu nusu nusu?Acha upuuzi, sina muda wakupoteza kuanza kukupa mchanganuo