Kukosekana kwa Katiba Mpya alaumiwe Hayati Magufuli

Wale wapambe X CCM wa magufuli waliomuhakikishia kwamba hakuna haja ya kuwa na katiba mpya kwa sasa ... sasa wameujua umuhimu wake.

Tunaodai katiba ya nchi tuna maana kubwa mno zaidi ya haya ma vyama yetu, yaani Rais akibadilika wote mnabadilika useless.

Tuwe na mifumo, misingi anbayo hata Rais akija hawezi kuisugua...haya ndiyo tuyayoyapigania.

Leo hii mijitu inalia Dodoma imeanza kufuta kauli dadadeq
Uki sahihi.
 
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.

Ukweli mchungu:

Hayupo mwenye kuridhia Katiba Mpya kwenye Mitano yake ya Mwanzo

Si JK, JPM, Samia wala Mwinyi.
 
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.

Naunga mkono bandiko hili lililosheni ukweli mtupu.
 
katiba mpya si lazima,bali ni lazima kwa chadema,nyie chadema endeleeni kuipigia debe maana ndo itakayowapa uongozi mkidhani.
 
Alipohutubia bunge kwa mara ya kwanza baada ya kuapishwa alisema ataendeleza mchakato wa katiba pale ulipoishia.
Kilomita zote alizotembea kwenye kampeni hakuongelea kuhusu katiba. Kwahiyo alikuwa na haki kuachana na katiba
 
katiba mpya si lazima,bali ni lazima kwa chadema,nyie chadema endeleeni kuipigia debe maana ndo itakayowapa uongozi mkidhani.

Kwenye ubora wako:

IMG_20220403_074619_952.jpg
 
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.
Achana na hii tabia ya kulaumu mpaka marehemu aliyekwisha kuzikwa mwaka mmoja uliopita. Laumu hawa waliopo sasa kina Samia na Kikwete.

Achana na hii tabia ya kumlaumu asiyeweza kujitetea kwepa adhabu ya Mungu. Jikite kuwashambulia walio hai.
 
Hapa tunaongea na inaonekana Raisi (mtu mmoja) ndio mwenye uwezo wa kutupa katiba mpya, uwezo wa huyu mtu mmoja ni moja ya sababu kubwa Katiba mpya inahitajika
 
Mtu kawaachia nchi yenu bado mnapambana nae tu, mnapambana na kivuli? Fanyeni mnavyotaka nchi si ipo chini yenu
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.
 
Hapa tunaongea na inaonekana Raisi (mtu mmoja) ndio mwenye uwezo wa kutupa katiba mpya, uwezo wa huyu mtu mmoja ni moja ya sababu kubwa Katiba mpya inahitajika

Huyo mmoja hawezi kutoa katiba mpya bila kushinikizwa kweli kweli. Ndipo vicious circle lilipo.
 
Same ambavyo mama anaachana na ujinga wa Meko sababu hakusema atajenga yeye.

Labda twende namna hii ndio utaelewa hauna akili bali mavi yamekujaa unakosa kufikiria sahihi

Kwani mama analeta katiba kawapa ahadi ma chadema?!
 
Alianzisha mchakato mchakato na kuufungia kabatini wala halaumiwi...
JK alikua ana uwezo wa kutupa katiba mpya long before ht uchaguzi wa Nov 2015...the fact kua aliuacha njiani ht aliemfuatia asingeufanyia kazi, tofauti na JK aliekua mnafiki kwa kutupiga danadana JPM alisema wazi kua hata ufanyia kazi(inaonekana watanzania tunapenda kufanyiwa unafiki kuliko kuambiwa ukweli)
Now yupo Samia nae kasema hana mpango nao, mbona yy hamumpi Lawama?
Kwani Marehemu aliwafanya nn mpaka kila lililo baya mnapa yy?
Kifupi kabita sio kipaumbele cha ccm, ht aje nani pale katiba mpya haitawahi kupatikana.
Na ht hao upinzani siku wakishika usukani wakapata neema za Ikulu ht wao hawatabadilisha io katiba, keep that in your skull.
 
Tubaki palepale Kila mtu ana kipaumbele chake..

Sasa vipi hatuandamani kudai katiba.. maana gaidi yupo huru
 
Alianzisha mchakato mchakato na kuufungia kabatini wala halaumiwi...
JK alikua ana uwezo wa kutupa katiba mpya long before ht uchaguzi wa Nov 2015...the fact kua aliuacha njiani ht aliemfuatia asingeufanyia kazi, tofauti na JK aliekua mnafiki kwa kutupiga danadana JPM alisema wazi kua hata ufanyia kazi(inaonekana watanzania tunapenda kufanyiwa unafiki kuliko kuambiwa ukweli)
Now yupo Samia nae kasema hana mpango nao, mbona yy hamumpi Lawama?
Kwani Marehemu aliwafanya nn mpaka kila lililo baya mnapa yy?
Kifupi kabita sio kipaumbele cha ccm, ht aje nani pale katiba mpya haitawahi kupatikana.
Na ht hao upinzani siku wakishika usukani wakapata neema za Ikulu ht wao hawatabadilisha io katiba, keep that in your skull.
 
Usijitungie maswali kweli mtihani na kuyajibu. Tunaongelea katiba mpya. Bado Jiwe anazuia katiba mpya? Anayezuia katiba mpya kwa sasa ni Samia. Full stop. Anatumia kila njia (nyingine za kitoto kabisa) ili kuzuia katiba mpya.

Nikija kwenye maswali yako uliyojitungia, unaamini kuna mtu anaweza kuua upinzani? Sana sana atakufa yeye.
Matatizo aliyo yaasisi bado yapo, aliua upinzani, uchaguzi fake ,
 
Back
Top Bottom