mwenyezi Mungu akusamehe, na akupe fikra mujarabKama kweli chumba kimoja mmelala wanaume 13 kwa usalama wako bure utoke nje.
Wewe una umri gani ? kukoroma ni kama ndevu. mwanaume asiye na ndevu hakoromi sawasawa na kina mama. Siku ukibalehe na ukaota ndevu na ww utakoroma
Ninachojua kukoroma ni tatizo la kiafya linalotokana na kubanwa kwa mishipa ya kupumulia,tatizo ili linatokana kulala vibaya au mishipa kujaa mafuta na hivyo hewa upita kwa taabu sana.
Mimi kuna siku nililala nikajivizia niskie je nakoroma ama Laah! ila sikufanikiwa, nadhani mtu pekee atakaye niambia ukweli juu ya hili ni mke wangu kama nakoroma ama sikoromi!!!
mwenyezi Mungu akusamehe, na akupe fikra mujarab
Omba kazi ya ulinzi usiku mkuu,ndo dawa yake..
Mara nyingi husababishwa na kuchoka sana au kufanya kazi ngumu basi ukishachoka hapo utapiga usingizi wa millioni 3 na kukoroma..... pole sana ila dawa yake siijui looo wanakuja
Mara nyingi husababishwa na kuchoka sana au kufanya kazi ngumu basi ukishachoka hapo utapiga usingizi wa millioni 3 na kukoroma..... pole sana ila dawa yake siijui looo wanakuja