TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
- Thread starter
- #61
Soma yote yeye Katukana Mimi nahisi ni Agent wa hao wasiojulikana! Kama sivyo Abarikiwe! Fair enough?Kwahiyo unamhukumu?
Soma yote yeye Katukana Mimi nahisi ni Agent wa hao wasiojulikana! Kama sivyo Abarikiwe! Fair enough?Kwahiyo unamhukumu?
It remain to be seen! Ni mapema mno kubishana na mimi!Umepotea njia?
Hayo yanarudi kwako sasaDamu ya Tundu Lissu Iwe Mauti Juu ya Kichwa chako now! Mimi hilo ni Jibu langu! Amen!
It was to please! Mr MisifaKuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.
Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!
Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?
Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Kwahiyo unaendeshwa na hisia?Soma yote yeye Katukana Mimi nahisi ni Agent wa hao wasiojulikana! Kama sivyo Abarikiwe! Fair enough?
Mko watu wa ajabu sana!! Kwa hiyo hata swala la Bomberdia amedanganya eh?! Na je swala la mikataba mibovu nayo amedanganya?!Usiconclude kuwa ni system imehusika!! subiri ripoti kwanza!! na kama kuna mtu hakumwelewa lissu ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu ya background yake yakusema uongo na chadema yake!! hi unakumbuka jinsi from 2008 up to june 2015 LISSU NA CHADEMA MLIWALISHA UONGO WANANCHI KUWA LOWASSA NI FISADI!!! Hapa ndipo matatizo ya kutoeleweka kwa CHADEMA na lissu lilipoanzia!!!dhambi ya uongo malipo yake huwa ni mabaya
Bashite, Bashite, BashiteKuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.
Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!
Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?
Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.
Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!
Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?
Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Ujue tusichokijua wengi kuhusu TL hadi kumuita msaliti, si mzarendo n.k ni kuwa huyu jamaa ni mwanasheria, ni sawa na daktari anamkuta mtu anakunywa dawa bila kufuata taratibu za kimatibabu, hawezi kunyamaza lazima atakuambia usinywe hizo dawa, fuata taratibu za tiba, nenda hosp, kamuone Dr , upimwe ungonjwa ujulikane kisha utapewa dawa sahihi ya ugonjwa wako, na hapo utakuwa salama. Kwa mh Tl kulingana na fani yake hawezi kunyamaza anapoona mambo yanafanywa kinyume cha sheria, na kwa kuwa ni mkweli na anapenda kuona watu wanapewa haki zao kwa mujibu wa sharia, hatanyamza nina hakika hatanyamza, atasema tu kama alivyo huyo Dr. Mungu amponye na madhira yalomkutaKuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.
Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!
Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?
Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Mnafiki kwa lipi? Huoni ccm ndo wanafiki? Kwani Lissu ndo alisaini hiyo mikataba? Mikataba ilisaini serikali ya CCM na wabunge wa CCM wakaipitisha kwa makofi mengi bungeni,Leo wanajifanya wazalendo! Hata huyo aliye jumba jeupe alikuwa miongoni mwao wakti wanapitisha mikataba yao ya kipuuzi,kwa nini hakunyanyua sauti yake na kuipinga? Kwanini waliwatimua kina zitto kabwe bungeni walipodai mikataba ipelekwe bungeni? Hivi unajua ingekosa upinzani kuwepo serikali ingeendelea kulala kama ilivyokuwa miaka mingi iliyopita na kufikia kusaini mikataba ya kipuuzi iliyotufanya tuwe masikini?Wewe una chuki binafsi. Lisu alihongwa na alikuwa mnafiki na ataendelea kuwa mnafiki namba kwa kuwadanganya watu wake. Ni mla rushwa
Unajua kilichowagusa watu wengi kutokana na TL kupigwa risasi,ni kwa yale aliyokuwa anayazungumza yalikuwa yana ukweli kwa asilimia 90%,isipokuwa njia aliyokuwa akiitumia watawala walikuwa hawaipendi.Ni aibu kutaka kumuua mtu anayekosoa tu utendaji wako hana hila wala was.
Majibu ya Lissu kuna watu watajuta kumfahamu.Ngoja apone ndilo tumwombalo Mungu.
Unapoona Polisi wanahangaika na T-shirt basi ujue kuna shida mahali kuna watu hawafikirii zaidi ya pia zao.
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.
Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!
Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?
Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
....Na pia kuishi hotelini Rwanda kwa miezi kadhaa.Upo sahihi kabisa huwezi kuhongwa uwe simple kiasi kile ..
Maana historian yawahongwaji tunaijua kutoka kula mihogo mpaka kwenda kuishi canada.