Kuko wapi Kuhongwa kwa Lissu na Acacia?

Kuko wapi Kuhongwa kwa Lissu na Acacia?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
3,625
Reaction score
5,815
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.

Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!

Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?

Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
 
Meku ulitaka hao wazungu waite press conference wakutangazie kwamba wanamhudumia Lissu? Wewe huwa unaamini kila ambacho hakisemwi basi hakipo??

Tunachotaka Mungu amponye Lissu na waliompiga risasi watiwe nguvuni... Hizi kombolela zingine hazina maana
 
chukua tano, hawa Maccm hawakumwelewa Mzalendo kamili Lissu, aliwambia kwanza wajitoe kwenye mahakama za nje za kibiashara vinginevyo tutaumizwa na mikataba ya mazuzu wa kitanzania walioifunga na haya majizi, nyie mkajidai wajanja, ona sasa Nooah zetu zimepotea
 
Meku ulitaka hao wazungu waite press conference wakutangazie kwamba wanamhudumia Lissu? Wewe huwa unaamini kila ambacho hakisemwi basi hakipo??

Tunachotaka Mungu amponye Lissu na waliompiga risasi watiwe nguvuni... Hizi kombolela zingine hazina maana
No hata wangetoa Kwa siri Tusingeona Chadema wakihaha kutafuta Usafiri wala Matibabu! Hata Hela za Kuwaweka Nairobi wale wanaomtazama pale wanachangiwa Kanisani!
 
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.

Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!

Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?

Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Mkuu akutukanaye hakuchagulii kosa,ila ukweli ni kua mzalendo Wa kweli ni Lissu
 
Jf waliniita Mchochezi, Waovu lazima Wajibiwe na Wawe challenged kwa Nguvu zote! Nilienda Youtube na Kufuungulia "Calliope Tank" kwa kuwa ati walitaka Kuninyamazisha hapa! Wanaotumika hapa kunyamazisha Watu hiyo ndiyo hasara Mtapata Nimeweza Kufikisha Ujumbe kwa zaidi ya Watanzania Milioni 10,000,000 in a Month!
 
Kweli kabisa mkuu, kama wale waliotuaminisha Lowasa ni fisadi. Hivi unawakumbuka hao jamaa?
Yaa Na hiyo! Tuliambiwa Lowassa ni Fisadi, ana Maviwanda! Mbona hamtibu Lissu? Tuliambiwa Manji kakamatwa na Vitu vya jeshi! Juzi wamemwachia bila mashitaka, utamwachia mtu aliyekutwa na mihuri na maelfu ya nguo za jeshi bila mashitaka? Niliambiwa walimbwagia hayo mavitu na Walikuwa wanamkomesha na kumtisha asijetena kamwe awaze kumsaport Lowassa!
Kingine nilimuuliza Ndugu Mmoja, Nikamuuliza, Ujue Lowassa Nilimsaport kwa Malengo makubwa ila sina Uhakika kama alikuwa ni Fisadi kweli au La! Yule bwana akanijibu, Lowassa sio fisadi hata kwa asilimia 1% na huyu ndugu ni Waziri wa CCM!
 
Kweli kabisa mkuu, kama wale waliotuaminisha Lowasa ni fisadi. Hivi unawakumbuka hao jamaa?
Yaa Na hiyo! Tuliambiwa Lowassa ni Fisadi, ana Maviwanda! Mbona hamtibu Lissu? Tuliambiwa Manji kakamatwa na Vitu vya jeshi! Juzi wamemwachia bila mashitaka, utamwachia mtu aliyekutwa na mihuri na maelfu ya nguo za jeshi bila mashitaka? Niliambiwa walimbwagia hayo mavitu na Walikuwa wanamkomesha na kumtisha asijetena kamwe awaze kumsaport Lowassa!
Kingine nilimuuliza Ndugu Mmoja, Nikamuuliza, Ujue Lowassa Nilimsaport kwa Malengo makubwa ila sina Uhakika kama alikuwa ni Fisadi kweli au La! Yule bwana akanijibu, Lowassa sio fisadi hata kwa asilimia 1% na huyu ndugu ni Waziri wa CCM!
 
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.

Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!

Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?

Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Watanzania hatuna action Bali tunaishia kulaumu kwa maneno, kuumia moyoni tu na kumuachia Eti Mungu
 
Meku ulitaka hao wazungu waite press conference wakutangazie kwamba wanamhudumia Lissu? Wewe huwa unaamini kila ambacho hakisemwi basi hakipo??

Tunachotaka Mungu amponye Lissu na waliompiga risasi watiwe nguvuni... Hizi kombolela zingine hazina maana
Nina Mashaka na Wewe Unachofanya hapa! Maana nashidhwa kuelewa hoja yako nini hasa, na Katika Kunijibu hivi lazima una lengo fulani, Je ni lengo la Kusisitiza uwongo kuwa Tundu Lissu alihongwa lakini Mke wake akaamua asizitumie hizo fedha kumpeleka Nairobi? Does it make sense? Unamwakilisha nani hapa by the way? Je ni kweli unataka Tundu Lissu apone? U don't sound so!
 
Watanzania hatuna action Bali tunaishia kulaumu kwa maneno, kuumia moyoni tu na kumuachia Eti Mungu
Hayo ndiyo tunayoweza sema, JF ," Tunamwachia Mungu" Ila najua Faith without action is Dead! Unaamini Kisha Unatenda kuleteleza Ulichoamini. Make it happen!
 
chukua tano, hawa Maccm hawakumwelewa Mzalendo kamili Lissu, aliwambia kwanza wajitoe kwenye mahakama za nje za kibiashara vinginevyo tutaumizwa na mikataba ya mazuzu wa kitanzania walioifunga na haya majizi, nyie mkajidai wajanja, ona sasa Nooah zetu zimepotea
Mkuu umesema kweli. Wengi waliparamia gari kwa mbele. Wengi nasema wengi ndani ya ccm kuanzia ngazi za juu hawakutaka kumwelewa Lissu anasema nini wote wali conclude anawatetea wazungu. Lissu alikuwa analitetea taifa kwamba maamuzi tunayoyafanya ni hasara kwa taifa. Hawakutaka kusikiliza sasa aibu kwao. Lissu wamemwonea sana kutaka kujaribu kuchukua uhai wake.,Aliuliza mikataba iko wapi iwekwe wazi ni wazi waliosaini Hii mikataba ndio wa kusulubiwa sio Lissu. Wataanza kunyosheana vidole muda si mrefu na wasiojulikana watajulikana. Lissu ni Mzalendo kweli wengine ni waigizaji!
 
Back
Top Bottom