TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
- Thread starter
- #21
The Guilty are fearful!Hapa mtu anazuia maombi sijui wanaenda kuomba wameshika mabom
The Guilty are fearful!Hapa mtu anazuia maombi sijui wanaenda kuomba wameshika mabom
Nani awatie nguvuni?Meku ulitaka hao wazungu waite press conference wakutangazie kwamba wanamhudumia Lissu? Wewe huwa unaamini kila ambacho hakisemwi basi hakipo??
Tunachotaka Mungu amponye Lissu na waliompiga risasi watiwe nguvuni... Hizi kombolela zingine hazina maana
Yes Walizipitishia kwako!Labda alipewa advanc tu
Lisu alieleza tofauti kati yake na mwenyekiti wa CCM mnapozungumzia maslahi ya nchi katika mali ya asili hasa madini. Ulimwelewa? Hapa hakuna kombolela bali kuna hoja kwamba maCCM yamekuwa yakiwapotosha wajinga yanapomzungumzia Lissu na ulinzi wa maliasili za nchi!Meku ulitaka hao wazungu waite press conference wakutangazie kwamba wanamhudumia Lissu? Wewe huwa unaamini kila ambacho hakisemwi basi hakipo??
Tunachotaka Mungu amponye Lissu na waliompiga risasi watiwe nguvuni... Hizi kombolela zingine hazina maana
Wewe una chuki binafsi. Lisu alihongwa na alikuwa mnafiki na ataendelea kuwa mnafiki namba kwa kuwadanganya watu wake. Ni mla rushwaKuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.
Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!
Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?
Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
Haa mmeshaanza biashara ya fulana? Karma haitowaachaKiboko yenu T-shirt za Pray4 Lissu.
Poleni sana miaka 55 Chama Cha Mauaji/Mazingaombwe kimeweza kuwekeza kwenye Utekaji,Utesaji,Mauaji,Rushwa na Ufisadi.
Aibu miaka 55 ya Uhuru Tanzania masikini kila siku heri ya jana halafu anakuja na motive JPM abaki kosa Njaa.
Kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi ni kwa vigezo gani Mungu aliamua kuwaweka katika kundi moja la uovu wale Wanafiki, Waongo na Wafiraji na zote kupangiwa adhabu ya aina moja. Sisi kwa akili zetu tunaamua kuchagua moja kuwa ni dhambi kubwa zaidi ya nyingine halafu hiyo hiyo kubwa kwa Unafiki wetu ndiyo inaongoza kutendwa sirini huku ikikemewa kwa nguvu zote hadharani.
Ili kujua mantiki ya dhambi hizo kuwekwa kundi moja na kuwekewa adhabu ya aina moja inabidi usubiri ya kukute haya ya uongo na unafiki, au angalia yanayoendelea kwa jinsi Lissu anavyo shutumiwa.
Yaa Na hiyo! Tuliambiwa Lowassa ni Fisadi, ana Maviwanda! Mbona hamtibu Lissu? Tuliambiwa Manji kakamatwa na Vitu vya jeshi! Juzi wamemwachia bila mashitaka, utamwachia mtu aliyekutwa na mihuri na maelfu ya nguo za jeshi bila mashitaka? Niliambiwa walimbwagia hayo mavitu na Walikuwa wanamkomesha na kumtisha asijetena kamwe awaze kumsaport Lowassa!
Kingine nilimuuliza Ndugu Mmoja, Nikamuuliza, Ujue Lowassa Nilimsaport kwa Malengo makubwa ila sina Uhakika kama alikuwa ni Fisadi kweli au La! Yule bwana akanijibu, Lowassa sio fisadi hata kwa asilimia 1% na huyu ndugu ni Waziri wa CCM!
Sio lazima utukane watu maana kukubaliana na mtazamo wa Lisu sio lazima pia. Ukweli kwenye hizi issue wazungu hawatoboi bila kucheza na locals. Congo, SA, Botswana n.k ndio game plan yao. Msijione mna akili sana.Lisu alieleza tofauti kati yake na mwenyekiti wa CCM mnapozungumzia maslahi ya nchi katika mali ya asili hasa madini. Ulimwelewa? Hapa hakuna kombolela bali kuna hoja kwamba maCCM yamekuwa yakiwapotosha wajinga yanapomzungumzia Lissu na ulinzi wa maliasili za nchi!
Hongera sana kwa kujirekodi videoSawa Lusinde! Nimekupata!
kuhusu unafki hapo umenigusa marandu, nakumbuka chadena tulimuweka lowassa kwenye list of shame ila Leo ni mkombozi wetuKama Kuna Dhambi Mungu hawezi Kusamehe ni Hila, Unafiki , Kusingizia Uwongo na Kuonea Mtu huku ukijua Unamwonea, asikudanganye Mtu hapo hakuna msamaha!
Haa mmeshaanza biashara ya fulana? Karma haitowaacha
Tundu Lissu anaweza akawa amehongwa. Sasa cha Mke wake kuamua asizitumie hizo fedha kumpeleka Nairobi, inawezekana hela hiyo Lissu hawakumwekea kwenye benki zetu wameweka nje! Maana kwene mabenki ya hapa si serikali itajua na kuuliza Lissu kazipata wapi? Hivyo kama ziko nje siyo rahisi kuzipata haraka kulipia jambo la dharura kama lile. Hivyo hoja yako haiwezi ikawa proof kwamba hakuhongwa. Vivyo hivyo kwa Chadema. Na mkewe anaweza asiwe signatory wa kuweza kuachiwa hela kutoka benki. Mimi nataka Lissu apone.Nina Mashaka na Wewe Unachofanya hapa! Maana nashidhwa kuelewa hoja yako nini hasa, na Katika Kunijibu hivi lazima una lengo fulani, Je ni lengo la Kusisitiza uwongo kuwa Tundu Lissu alihongwa lakini Mke wake akaamua asizitumie hizo fedha kumpeleka Nairobi? Does it make sense? Unamwakilisha nani hapa by the way? Je ni kweli unataka Tundu Lissu apone? U don't sound so!