Kuko wapi Kuhongwa kwa Lissu na Acacia?

Kuko wapi Kuhongwa kwa Lissu na Acacia?

Baada ya nyie kuendeleza Biashara ya Mauaji,utekaji na utesaji.

Ungekuwa kweli unajua Mungu ungeenda kusoma bibilia ujue nini maana ya Mbingu na mema.

Ila kwa vile mnafikiri CCM ina Mbingu siku ukija kujua uliharibu duniani na kuna maisha baada ya dunia hii ndipo Italia na Kusaga meno.Nakuonea huruma wewe ni wa kusamehewa tu.
Waambie wanaotaka kutoa roho za watu ili waendelee kuwa wenyekiti. Uenyekiti????
 
Mkuu umesema kweli. Wengi waliparamia gari kwa mbele. Wengi nasema wengi ndani ya ccm kuanzia ngazi za juu hawakutaka kumwelewa Lissu anasema nini wote wali conclude anawatetea wazungu. Lissu alikuwa analitetea taifa kwamba maamuzi tunayoyafanya ni hasara kwa taifa. Hawakutaka kusikiliza sasa aibu kwao. Lissu wamemwonea sana kutaka kujaribu kuchukua uhai wake.,Aliuliza mikataba iko wapi iwekwe wazi ni wazi waliosaini Hii mikataba ndio wa kusulubiwa sio Lissu. Wataanza kunyosheana vidole muda si mrefu na wasiojulikana watajulikana. Lissu ni Mzalendo kweli wengine ni waigizaji!

Usiconclude kuwa ni system imehusika!! subiri ripoti kwanza!! na kama kuna mtu hakumwelewa lissu ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu ya background yake yakusema uongo na chadema yake!! hi unakumbuka jinsi from 2008 up to june 2015 LISSU NA CHADEMA MLIWALISHA UONGO WANANCHI KUWA LOWASSA NI FISADI!!! Hapa ndipo matatizo ya kutoeleweka kwa CHADEMA na lissu lilipoanzia!!!dhambi ya uongo malipo yake huwa ni mabaya
 
Waliohongwa wale waliokuwa wanakula mihogo sasa wanakula Bata.
Waliohongwa ni yule aliejiuzulu hafla akarudi na kuhongwa ruzuku ya chama.
Waliohongwa ni yule jina lake limepitishwa na kamati ya ccm kijanja sasa ndio anajiona mwamba.
Lakini huyu mzalendo halisia wa nchi yetu ndio wanataka kumuondoa, Hata kaburu hawezi kukudhuru ukiwa kibaraka wake lakini ukiwa mzalendo kifo ndio hukumu yako.
 
Meku ulitaka hao wazungu waite press conference wakutangazie kwamba wanamhudumia Lissu? Wewe huwa unaamini kila ambacho hakisemwi basi hakipo??

Tunachotaka Mungu amponye Lissu na waliompiga risasi watiwe nguvuni... Hizi kombolela zingine hazina maana
Nani watawatia nguvuni ?! Kungekuwa na nia njema zile gari mbili Nisan na Premio zingeshakamatwa lakini wapi?!
 
Tundu Lissu anaweza akawa amehongwa. Sasa cha Mke wake kuamua asizitumie hizo fedha kumpeleka Nairobi, inawezekana hela hiyo Lissu hawakumwekea kwenye benki zetu wameweka nje! Maana kwene mabenki ya hapa si serikali itajua na kuuliza Lissu kazipata wapi? Hivyo kama ziko nje siyo rahisi kuzipata haraka kulipia jambo la dharura kama lile. Hivyo hoja yako haiwezi ikawa proof kwamba hakuhongwa. Vivyo hivyo kwa Chadema. Na mkewe anaweza asiwe signatory wa kuweza kuachiwa hela kutoka benki. Mimi nataka Lissu apone.
Rubbish! Sasa si anayo fahamu mbona wanadunduliza mchango, Je na yeye anacheza kamari na Maisha yake ikiwa pesa anazo? Sasa si anafahamu, mbona angemwambia mkewe au nani jinsi ya kuzichukua hizo " fedha za Acacia"

You know what Brother! Kama Unatoa tu Maoni Mungu asikuhukumu kwa hili. Ila kama wewe Ni mojawapo wa hao Majoka Washenzi unatumwa hapa JF kuendeleza Ushetani! Damu ya Tundu Lissu iwe Juu yako na Iwe laana ya Mauti Kuanzia Dakika hii uhaesabiwe pamoja na Waliotuma na Waliotekeleza Kumpiga Risasi. Amen amen Amen!
 
Ukiwauliza vijana wa CCM wazalendo wa nchi hii ni akina nani Watakwambia ni Makonda, Le Mutuz na Jerry Muro.

Leo kwa masikitiko ajira 2,000 zimeondoka Bulyanhulu huku hakuna mbadala wake
 
Wanoa kuunga mkono kwa simple logic kama hii hawana walijualo.
Kwani hujui mtu anaweza akatumia njia ya kuchangiwa ili atakatishe pesa chafu alizo nazo?
Kuchangia kunawachanganya watu akama wewe kujua pesa anazitoa wapi.
Angejitibia tu mgeanza kuhoji. Tulieni hivyo hivyo hdi mjue ukweli
 
Waambie wanaotaka kutoa roho za watu ili waendelee kuwa wenyekiti. Uenyekiti????
Tapatapa, Damu ya Tundu Lissu Inaita Kisasi Juu ya Kichwa Cha Mtu Fulani. Kama Unamjua Mwenyekiti aliyeua watu? Na yeye Pia Mwombee laana ya Damu za Watu hao! Fair enough?
 
Sasa angetoaje hela na mtu alikuwa mahututi hajitambui
 
Wanoa kuunga mkono kwa simple logic kama hii hawana walijualo.
Kwani hujui mtu anaweza akatumia njia ya kuchangiwa ili atakatishe pesa chafu alizo nazo?
Kuchangia kunawachanganya watu akama wewe kujua pesa anazitoa wapi.
Angejitibia tu mgeanza kuhoji. Tulieni hivyo hivyo hdi mjue ukweli
Unawatukana sio! Simple Logic mtu awe na pesa lakini ajiachie afe! Alichukua hongo aifanyie nini? Kununua Jeneza! Na wewe pia Unga Foleni Damu ya Lissu iite kisasi juu ya kichwa chako! Na yakupate wewe na nyumba yako zaidi ya yaliyompata Lissu ikiwa upo hapa kwa hila za kutetea Maovu! Ila kama ni maoni tu, basi ubarikiwe amen!
 
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.

Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!

Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?

Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.
ACACIA,LISSU,MBOWE na DREVA wa LISSU wanajua wanayofanya
 
Kuna waovu waliochonga Maneno ya Visa sana ati Tundu Lissu alikuwa anahongwa na Acacia ili kuitetea. Masikini alikuwa akielezea Mtazamo wake tu Kuwa Approach aliyotumia Magufuli itaweza Kusababisha Nchi Kushitakiwa.

Wabunge wa CCM sio wote nao ati wakaanza Kuwazomea Upinzani Kuwa ni mafisadi au Wasaliti ati wao CCM ndio wakombozi wa Nchi! What a joke!

Anyway Nachotaka Kuuliza Hapa ni Kuwa, Kama Tundu Lissu alikuwa Akihongwa na hao Wazungu wa Acacia inakuwaje fedha hizo Mkewe au Chadema hawakuzitoa kukodisha ndege! Yaani Dola 9000 tu walikuwa Hawana. Na hao chadema kama wanahongwa na Acacia mbona hao akina Acacia hawakujikeza kumlipia Tundu Lissu matibabu? Utamwacha mtetezi wako afe?

Hila za Kusingizia watu Wazalendo kuwa ni Wasaliti na Wasaliti kujiita Wazalendo! Mungu anaona. Tundu Lissu hata kama alikuwa ni Bombastic in communication, Alikuwa ni Mtanzania mwenye roho nzuri sana na Mzalendo. Alichotendewa. Malipo yatatolewa kwa laana ya Ajabu kwa Wahusika.


Hata angekuwa nazo angewezaje kuzitumia katika mazingira hayo?

Tujikite kumuombea wepesi katika ugonjwa wake ili apone haraka aje kuhudumia familia yake na umma Kwa ujumla.
 
Rubbish! Sasa si anayo fahamu mbona wanadunduliza mchango, Je na yeye anacheza kamari na Maisha yake ikiwa pesa anazo? Sasa si anafahamu, mbona angemwambia mkewe au nani jinsi ya kuzichukua hizo " fedha za Acacia"

You know what Brother! Kama Unatoa tu Maoni Mungu asikuhukumu kwa hili. Ila kama wewe Ni mojawapo wa hao Majoka Washenzi unatumwa hapa JF kuendeleza Ushetani! Damu ya Tundu Lissu iwe Juu yako na Iwe laana ya Mauti Kuanzia Dakika hii uhaesabiwe pamoja na Waliotuma na Waliotekeleza Kumpiga Risasi. Amen amen Amen!
Kwahiyo unamhukumu?
 
Back
Top Bottom