evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,970
- 9,898
Katika repoti ya CAG itakayowasilishwa bungeni kwenye hili bunge kuna kitu alikigusia wakati anawasilisha repoti hiyo kwa Rais kuhusu serikali kugharamia vitu ambavyo CAG alivisema havina tija kwa serikali na taifa kwa ujumla.
Hiyo miradi inayofunguliwa na Mwenge siingefunguliwa na viongozi wengine kikawaida kama ma DC,wabunge, RC, VP.
Hizo gharama zinazotumika kukimbiza tu Mwenge zinawezafika 20 to 30 Milion kila wilaya na Tanzania kuna Takribani wilaya 180 x 20,000,000 =3,600,000,000 hapo hujaweka gharama za kitaifa za kuwasha na kuzima mwenge karibia bilion 3 kuzima 3 kuwasha.
Huu Mwenge kila Mwaka unatafuna bilion 10 kwangu naona nazo zifanywe hazina tija
Leo hawa wajinga na limwenge wao wametupotezea muda na limwenge lao wametoka nalo Airport. Tulikuwa tunapita kule
Hivi linapandishwaga Ndege hili litakataka
Hiyo miradi inayofunguliwa na Mwenge siingefunguliwa na viongozi wengine kikawaida kama ma DC,wabunge, RC, VP.
Hizo gharama zinazotumika kukimbiza tu Mwenge zinawezafika 20 to 30 Milion kila wilaya na Tanzania kuna Takribani wilaya 180 x 20,000,000 =3,600,000,000 hapo hujaweka gharama za kitaifa za kuwasha na kuzima mwenge karibia bilion 3 kuzima 3 kuwasha.
Huu Mwenge kila Mwaka unatafuna bilion 10 kwangu naona nazo zifanywe hazina tija
Leo hawa wajinga na limwenge wao wametupotezea muda na limwenge lao wametoka nalo Airport. Tulikuwa tunapita kule
Hivi linapandishwaga Ndege hili litakataka