Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Kilichonifurahisha zaidi na wakubwa wa TBC kuonyeshwa na umma kuwa wamechoshwa na tabia yao ya kuegemea upande mmoja. TBC sio Polisi wala mahakama, kama mtu anatukana wengine TBC walipaswa kuendelea kuchukua shooting ili mikanda hiyo itumike baadaye kama ushahidiwa kimahakama. Kitendo cha kukatisha matangazo nidalili za kupokea maagizo kutoka upande mmoja.
Hata Todo Mhando leo ametambua kuwa "Heshima yake inashuka" ndio maana akaikimbilia kutoa taarifa za upande mmoja. Iweja ashindwe kubalance hiyo stori ya ukiukwaji wa makubaliano kwa kuwahoji viongozi wa CHADEMA walioingia nao makubaliano? LEO TBC MMECHEMSHA!!!!!!!
Hata Todo Mhando leo ametambua kuwa "Heshima yake inashuka" ndio maana akaikimbilia kutoa taarifa za upande mmoja. Iweja ashindwe kubalance hiyo stori ya ukiukwaji wa makubaliano kwa kuwahoji viongozi wa CHADEMA walioingia nao makubaliano? LEO TBC MMECHEMSHA!!!!!!!