Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,985
Sasa unachoshangilia nini? Hamuwezi kushinda bila kuwabana wenzenu?Ha ha ha ama kweli CHADEMA ni wageni wa siasa za CCM ,yaani matangazo yamekatwa kidogo mnapiga makelele ,sizani kama mtaiweza mizengwe na mikakati ya Chama Tawala ? Mambo ndio kwanza ata CCM awajafungulia majibwa yao !!:lol: