SEGUZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 280
- 196
wadau kwenye mkutano wa wanahabari na rais, wakati rais anaedelea kujibu Maswali alio yaulizo Pascal Mayala, Tido Mhando akaanza kumwiitaita rais(siku alikua anataka amwambie nini) mwisho kamkatisha rais, hakumaLiza kujibu.
na hii sio Mara yake ya kwanza kufanya hivyo.
Uchaguzi mkuu 2010, ufunguzi wa kampeni za CHADEMA wakati Mzee Mabere Marando akihutubia, na yeye akiwa mkurugenzi wa TBC, aliwahi kukata matangazo LIVE hapo mkutano ni kwa sababu anazozijua yeye,je huyu Mzee Tido, kwa haya anayo ya fanya anajitambua?
na hii sio Mara yake ya kwanza kufanya hivyo.
Uchaguzi mkuu 2010, ufunguzi wa kampeni za CHADEMA wakati Mzee Mabere Marando akihutubia, na yeye akiwa mkurugenzi wa TBC, aliwahi kukata matangazo LIVE hapo mkutano ni kwa sababu anazozijua yeye,je huyu Mzee Tido, kwa haya anayo ya fanya anajitambua?