Kukataliwa na wanawake wazuri

Kukataliwa na wanawake wazuri

Tatizo lako unajiona unajiona unastahili kupendwa, halfu unawaona hao madem kama wamependa ambao sio ila wewe ndiye ulistahili kupendwa na hao unaowataka, halaf unamajivuno mara kwetu kuna hichi mara hich, demu mwenye akili hizo swaga hataki ndo maana utakuta mpezi wake ni mbeba taka.
 
Uzuri wa mwanamke uko machoni mwa mtazamaji, na uzuri wa mwanaume ni kumiliki pesa na vitega uchumi. Kama wewe ni kapuku utaishia kuwaita shemeji, na utapata wale mnaofanana kiuchumi, au hujui kuwa ndege wafananao huruka pamoja??

Ina maana wanawake lazima wawe wa level ya kutafuta wenye pesa na vitega uchumi? Hujawahi ona mwanamke mzuri sana, tabia nzuri, amesoma na ameolewa mme wa level yake au chini yake? Wapo wengi inategemea mahali mtu alipo na interest za huyo mtafutaji na hobby zake. Sehemu anapofanyia kazi nayo inamatter.
 
Ushauri wa bure ukipata mwanamke au msichana ataekupenda sana kijana usimuache uyo ndo ukiishi nae mtadumu hata ndoa ukitaka ayo ndo mapenzi .Ila kama unataka kustaajabu ya musa we endelea kupenda usipopendwa kamwe huendelei sana utaishia kutoa kila ulichonacho au pesa umgharamie atulie lkn unatwanga maji kwenye kinu bro
maneno kuntu sana haya
 
Mbona kuna machangu wazuri haswa bila doubt ukiwaomba hata hawakatai pesa yako tu
 
Back
Top Bottom