Kukataliwa na wanawake wazuri

Kukataliwa na wanawake wazuri


Hapana Mkuu, sijawahi na sitegemei kama kuna siku nitatumia. Najiona niko vizuri physically appearance.
Endelea kujidanganya, walai vile utaishia kuwaona istagram na facebook Humuoni mzee “machache"anavyofaidi unazani yule binti alifuata komwe la mzee
 
Endelea kujidanganya, walai vile utaishia kuwaona istagram na facebook Humuoni mzee “machache"anavyofaidi unazani yule binti alifuata komwe la mzee
Hahahahaaa.... Asante Mkuu.
 
Ushauri wa bure ukipata mwanamke au msichana ataekupenda sana kijana usimuache uyo ndo ukiishi nae mtadumu hata ndoa ukitaka ayo ndo mapenzi .Ila kama unataka kustaajabu ya musa we endelea kupenda usipopendwa kamwe huendelei sana utaishia kutoa kila ulichonacho au pesa umgharamie atulie lkn unatwanga maji kwenye kinu bro
 
Sasa wee sura ka unapiga mluzi hiyo na mbaya zaidi hutoi mavumba utampata wapi dem mzuri.. Sku hizi hakuna mapenzi ya kadi na maua ukiwa na pesa majina yote utaitwa....
 
Sasa wee sura ka unapiga mluzi hiyo na mbaya zaidi hutoi mavumba utampata wapi dem mzuri.. Sku hizi hakuna mapenzi ya kadi na maua ukiwa na pesa majina yote utaitwa....
Mkuu. umeshaiona sura yangu? Nitake radhi tafadhali.
 
Ushauri wa bure ukipata mwanamke au msichana ataekupenda sana kijana usimuache uyo ndo ukiishi nae mtadumu hata ndoa ukitaka ayo ndo mapenzi .Ila kama unataka kustaajabu ya musa we endelea kupenda usipopendwa kamwe huendelei sana utaishia kutoa kila ulichonacho au pesa umgharamie atulie lkn unatwanga maji kwenye kinu bro
Asante kwa ushauri wako Mkuu, nimeupenda.
 
Back
Top Bottom