Kukataliwa na wanawake wazuri

Kukataliwa na wanawake wazuri

Heshima kwenu wakuu,

Nimekuwa nikisumbuliwa na kasumba moja ili mbaya sana, maana kila mwanamke mwenye kuweza kutimiza haja zangu kila nikimtongoza lazima anikatae. Kwa mda sasa nimekuwa nikichagua machaguo yasiyo halali yangu na kuishia kuachana maana ninayempenda hanipendi mimi. Sasa najiuliza sijui ndo hii sura yangu iliyo na ukakasi wa kukataliwa ama sijui ni kitu gani.

Naombeni ushauri wenu maana imefikia mda nimechoka sasa, wanawake wanaonipenda mimi kwangu nawaona hawana mvuto kabisa, ila ninaemhitaji/kumpenda ndo kwanza hata salamu tu hataki.

HAYA MATANGAZO YA KONTINENTO YALIPIWE NA VATI KABISA.

 
Mkuu huna haja ya kutafuta wanawake wazuri. We tafuta shilingi kwanza, ukishapata za kutosha watajileta wenyewe, then utachagua mmoja.
 
Viongozi wa Africa wako tayari kuyumbisha uchumi wa nchi ili mradi wadhoofishe wapinzani!
 
Back
Top Bottom