Hata ukiitupa kwenye dustbin tayari wamekwisha kuCC, na ipo kwenye records zao kwamba you are well informed.Hiyo hata wangeni-CC mimi ningeitupa kwenye dustbin
Hata ukiitupa kwenye dustbin tayari wamekwisha kuCC, na ipo kwenye records zao kwamba you are well informed.Hiyo hata wangeni-CC mimi ningeitupa kwenye dustbin
Hawa wakoloni wanafikiri Tanzania bado ipo chini ya himaya yao? Unamuandikia Rais wa nchi barua alafu unapeleka nakala kwa waziri wake huu ni upuuzi
Hujui mambo mengi sana.Uingerza haijatoa tamko lolote, huo ni upotoshaji au kiinglishi hukijui. Kwani tls wakiwatetea wenzao wa, let say India, ndio itakuwa kauli ya Tz.
Kama umepaniki vileHao mabush lawyers hawatupi mafua the good answer is ignore, ikulu, bunge, mawaziri, sirro, na wengine aliowaforward hii barua hakuna kujibu like nothing happened. Wasituchezee akili sisi.
Ukoloni sio rangi hata nduguzo weusi ni wakoloniser ktk nchi yetu!!Wala usipanic, jibu hoja kwa hoja. Kwa mwelekeo huu mtatembea na silaha.
Ndg acha kushabikia wauwaji.Yamezidi zaidi ya Maymar(Indonesia)
Yamezidi zaidi ya Palestine?
Yamezidi zaidi ya Congo?
Tujitahidi kuwa makini saana na hawa wenzetu, wameingilia saana..yametosha!
Ni vyema tukawa tunabishana wenyewe kwa wenyewe kuliko hawa jamaaa...Kuna vitu wanavikosa ndio maana inakuwa hivi
Turudi nyuma kwa tawala zilizopita; wapinzani hawakuanza leo kugandamizwa, kubishiwa, kupuuzwa na hata kuchukuliwa hatua... Vipi walikuwapo hao jamaa? Nini walisema kuhoji mamlaka? Unajua kwanini?
Sasa hili na haya ni ya kwetu, watuachie wenyewe tutajua ni kwa vipi tutamkamata mchawi...
TUFANYE KAZI!!!
Hizo pesa wanazotoa ni mikopo hakuna cha bure, vya bure wanavyotoaga ni vyandarua na condom kwa kupitia NGOs zao zinazohamasisha ushoga, na uelewa hili tamko sio la serikali ya UK ni UWAMA wa UK ambao hata hawajui Tanzania ipo Bara gani.
Stupidity at it's best!Dah!Kama wana hamu ya kuendesha kesi nje ya mamlaka yake wanatakiwa waende Burma kutetea Waislam wale wanapigwa kila siku na Mke wao yule.
Hizi barua za kuweka tu chooni au kutupa baharini.
Hata Marekani inakopa China hilo lisikusumbue.Mikopo? Mpaka sasa nchi yako inadaiwa kiasi gani? Na mmesharudisha kiasi gani exactly? So unakiri nchi yako inaendeshwa kwa fedha za mikopo. Sasa kesho mkikosa kwa kukopa mmejipanga vipi?
Dude! Just shut up. You are beginning to compare Tz na US kiuchumi? Just stop here! Enough said.Hata Marekani inakopa China hilo lisikusumbue.
Predictably, Magufuli administration's sympathizers, like you, are resorting to "whataboutism". You are not addressing the issue directly. Instead, you are pathetically trying to air your feelings about your perceived crimes of western nations that are rightly pointing out our current administration's failures to protect Tanzanians' safety and human rights.
Uhai wa Mtu ni wa thamani. Tuheshimiane kama tunavyoheshimu nafsi zetu! Kitendo cha kumpiga risasi Rais wa Wanasheria wa Tanganyika ni kitendo kibaya sana cha kuwadharau wanasheria wote. Yaani wanasheria hawana maana yoyote! Kibaya zaidi ni kitendo cha kuambiwa waliompiga risasi kinyama hawajulikani. Kivipi? Siku hiyo wapiga tochi hawakuwepo barabarani?CCTV hazikuwa hewani? nk? Tunahitaji kuhakikishiwa usalama na huu ni wajibu wa Serikali kwa mujibu wa katiba ibara ya.....................
let's assume statement yako ni ya kweli, Marekani wanaua; kwa hiyo ni sawa na sisi kufanya unyama huo wa kuua watu at will? Kwa sababu tu wana mitazamo tofauti na sisi?
Inabidi udefine una maana gani unaposema mambo yenu ya ndani, kama yapi, unaweza kuyataja hapa? Kwenye mikataba ya kimataifa ambayo nchi imeridhia ni lazima ku-comply, mfano right ya mtu kuishi, short of that watakudhibiti, na hutawafanya lolote. Refer madikteta wa dunia hii.- Kuua ni kuua haijalishi sababu, my point is Wazungu hawana hiyo authority ya kuingilia mambo yetu ya ndani!
le Mutuz
Inabidi udefine una maana gani unaposema mambo yenu ya ndani, kama yapi, unaweza kuyataja hapa? Kwenye mikataba ya kimataifa ambayo nchi imeridhia ni lazima ku-comply, mfano right ya mtu kuishi, short of that watakudhibiti, na hutawafanya lolote. Refer madikteta wa dunia hii.
Kwamba TZ ukaingilie mambo ya ndani ya UK au USA! Serious? Wao wakiwa na interest kwa jambo lolote wataingilia tu na huwafanyi chochote. Hili liko wazi kabisa.- Sasa Tanzania ni lini tuliingilia mambo ya ndani ya UK au USA? Madikteta huwa hawachaguliwi na wananchi wanajipachika tu madaraka, Tanzania hatujafikia huko poleni sana.
le Mutuz