AWM
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 224
- 274
Hizo pesa wanazotoa ni mikopo hakuna cha bure, vya bure wanavyotoaga ni vyandarua na condom kwa kupitia NGOs zao zinazohamasisha ushoga, na uelewa hili tamko sio la serikali ya UK ni UWAMA wa UK ambao hata hawajui Tanzania ipo Bara gani.
"Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity" - Martin Luther King Jr