Nang'olo Ntela
Senior Member
- Jan 19, 2012
- 108
- 24
Kwa barua hii nimejua kuwa kilio kimefika mbali. Mungu tunusuru na shari zote.
Wewe le mutuzzzzz wewe!! Nani kakwambia kila dikteta lazima awe kajipachika tu? Unaelewa maana ya dictatorship au unajitoa ufahamu tu???- Sasa Tanzania ni lini tuliingilia mambo ya ndani ya UK au USA? Madikteta huwa hawachaguliwi na wananchi wanajipachika tu madaraka, Tanzania hatujafikia huko poleni sana.
le Mutuz
Wewe le mutuzzzzz wewe!! Nani kakwambia kila dikteta lazima awe kajipachika tu? Unaelewa maana ya dictatorship au unajitoa ufahamu tu???
le Mutuz, can you please list internal matters ambazo hatupaswi kuingiliwa?- Sasa Tanzania ni lini tuliingilia mambo ya ndani ya UK au USA? Madikteta huwa hawachaguliwi na wananchi wanajipachika tu madaraka, Tanzania hatujafikia huko poleni sana.
le Mutuz
Akina le mutuz ndo wameagizwa kubwabwaja humu, ila hadi sasa kambi ya lumumba bado haijaelewa imeandikiwa nini. Wanaona majina yao tu kwenye baruaWana JF,
Barua imekaa vizuri na inajitoshleza.
Je, hawa Viongozi wetu malimbukeni wataelewa...??? Nani atawasidia kufasiri huu ung'eng'e toka kwa Malkia?
JPM na watu wake wataelewa?? Ngoja tusubiri majibu ya waokota makopo......!!!
Jibu hoja usitowe matusi bosi wako yuko kimnya kwa sababu huko ndiko anakotegemea misaada na mikopo ya viwandaKwao huko Mbona walimuua Dodi Al fayeed kisa tu alikuwa Anamyonyoa Nyuchi Princes Diana!
Waliwahi kumyonga Mwandishi wa BBC aliefichua taarifa za Siri za Iraq wakadanganya Eti kajinyonga
Wanaua Watu Libya, Syria, na Maeneo kadhaa Duniani hawajawahi kuilima Barua Serikal Yao wala Nato
Mbona hawakumlima Barua Magu kwa Mauaji ya Kibiti?
Magu alishasema Yeye hapangiwi na ukijaribu kumpangia ndio umeharibu kabisa
Alikuwa ana beep sasa wanaanza kupiga.Mtu huyo anajitia eti haendi kwenye vikao vya hao jamaa.Un huendi...common wealth haupo.Halafu badu unawachokonoa kina ACCACIA kichwa kichwa.Kama TZ ilikuwa haitaki kufuata hio basi JPM aivunje tuu.Tuwe kama North Korea vile
So what?I knew an international uproar was coming. Matukio ya uvunjifu wa amani na haki za binadamu nchini yamezidi kwa kiwango kinachoishangaza dunia.
Acho upuuzi wewe. Mbona jirani zetu mnaowaabudu sasa wameshaandikiwa na bado tunawaona wakikaidi?Alikuwa ana beep sasa wanaanza kupiga.Mtu huyo anajitia eti haendi kwenye vikao vya hao jamaa.Un huendi...common wealth haupo.Halafu badu unawachokonoa kina ACCACIA kichwa kichwa.
Pabaya mnatupeleke ..mnashindwa kucheza kama Pele.Mnaenda enda tu kama mabuldoza yalikosa dereva.
Kisiwa cha amani kinachafuliwa na watu wachache ambao walikuwa wanauota uongozi.Hakuna wajinga sasa hivi.Hii ni karne ya 21.
Msione watu wanawapigia makofi mkajua kuwa mnaeleweka,kizazi cha matishirt na kofia kinaisha.Mnabaki na sisi ambao tupo nyuma ya Keyboard.Ambao ikitokea nguvu ya njee kubwa mmeisha.
Waulizeni Misri,Syria,Tunisia watu waliaanza kweny hii mitandao na wakahamia barabarani.
Haya ni maneno mazuri sana yakitokea kwako au kwa ndugu yako ndio utajua uzito wake sio kuropoka humuRwanda kila Siku Watu wanapigwa Chuma wakileta U maku maku, Kenya kapigwa Chuma Mkuu wa ICT wa Tume
Kama vikwazo angeanza kuwekewa Kagame!
Ethiopia kuanzia ya Meles Zenawi mpaka ya Sasa Watu wanapigwa Vyuma vya kichwa wakileta Udwanzi the same to Eritrea lakin Maisha yanaendelea!
Huko Africa ya Kati ndio usiseme kwa Ubabe, Wazungu wanajua haya Mambo kwa Africa ni ya kawaida sana sana
Kama unamuogopa ni ww na wafuasi wake ambao hawawezi kusema neno lkn kwa hao jamaa ndio maana wamemuandikia barua japo sio nchini kwao. Kwao ni mtu mdogo sanaMh...naona wafazili wake Acaccia wameenda kushtaki...ila hawa hawajamjua Magu nadhani
Unalaana ww tena ya mam yak mzazJe hata hivyo vifungu ni feki?!. Ila hivi vyama vya upinzani glheri vifutwe tu
Mauaji ya kibiti hayakuhamasishwa na viongozi wa kisiasa!!, bali uhalifu kama uhalifu. Kumbuka kauli ya kiongozi mkuu ni amri kwa vyombo vyake!! Sasa hebu tafuta clips mbili za makabidhiano ya makinikia usikilize bila mihemuko utajuwa wauaji wa Lissu ni kina nani?!KIBITI wameuawa kwa risasi watu wangapi ?
Hawa wanaojifanya wanaojifanya wanayaona haya leo, je, mauaji ya KIBITI hayakuonekana?
Huo ni ………………
Kwa hali hiyo una support tuanze kuwindana bila justice ?! Pohamba huu ushabiki wa itikadi utaiharibu nchi hii na sisi ni wa kupita tu!! Tusiwe vipofu kama Lissu ameandamwa na wahalifu wa kawaida, basi wasakwe wafikishwe mahakamani!! Sheria ichukuwe mkondo wake . Lakini si hii ya watu wengine kujiona wana haki na uhai wa watu wengine!!Rwanda kila Siku Watu wanapigwa Chuma wakileta U maku maku, Kenya kapigwa Chuma Mkuu wa ICT wa Tume
Kama vikwazo angeanza kuwekewa Kagame!
Ethiopia kuanzia ya Meles Zenawi mpaka ya Sasa Watu wanapigwa Vyuma vya kichwa wakileta Udwanzi the same to Eritrea lakin Maisha yanaendelea!
Huko Africa ya Kati ndio usiseme kwa Ubabe, Wazungu wanajua haya Mambo kwa Africa ni ya kawaida sana sana