Nziza
Member
- Mar 24, 2012
- 8
- 9
Tafadhali no 2. Kuna typing errors. Isomeke hivi: Imekuwa ikionyesha chuki ya wazi..............Kwanza Kabisa, mtu Yeyote akifanya kosa lolote a Apasia kuchukuliwa hata za Kisheria na sio kumiminiwa risasi. Serikali Yetu haiwezi Kaka a kutokuhusika kwa namna Moja au nyingine, kwa S.A. Babu zifuatazo:-
1. Imekuwa ikiagiza Tundu Lissu akamatwe kila akitamka Jambo linaloigusa.
2. Imekuwa kilio Tesha Churi ya Waziri kwa watu wanaosema ukweli, k.m. Ulimboka, Kubenea, Halima Mdee, Lowassa, n.k.
3. Haijafanya jitihada zozote za kuchangia matibabu ya Lissu (Bila Shaka Ili afe asiendelee Kusema Sema)
4. Udikteta unaonekana wazi na upendeleo wa kikabila. K.m. RC Makonda Kawawa Mungu-mtu.
Napenda kuikumbusha Serikali Yetu kwamba , uwepo wao madarakani umeruhusiwa na Mwenyezi Mungu uwepo kwa MUDA tu Hadi Hapo Serikali ya HAKI ya Mungu itakapochukua madaraka. Soma Warumi13:1-7 ; Danieli 2:44.
Hivyo Basi, Mungu wa Kweli, Muumba wa Mbingu na Dunia, aliyeruhusu Serikali hizi ziwepo, kwanza kabisa ANAWAONA, Pili ATACHUKUA HATUA . Hivyo ni vema wakatawala wakiwa na Hofu ya Mungu. Hi itawawezesha kujitahidi angalau kutenda haki.
Kwa yeyote asomaye ujumbe huu: Kama unaamini Biblia ni Neno la Mungu, utakubaliana nami kwamba, Shetani anaongoza mambo mengi duniani. Hasa kwa kuwa anatambua muda wake ni mchache: Tuiombee Nchi Yetu, Tumwombee Tundu Lissu, na tuiombee Serikali yetu, hasa viongozi. Mwisho wa mfumo huu wa mambo uko karibu. Asomaye na afahamu.