Kukaa na mashemeji

Kukaa na mashemeji

Kama upo karibu na mto, mwambie akalime bustani
 
like like like

Yaani ww ni Mbege kweli. ..wala si kidogo.

Sina tabia ya kukejeli thread ya mtu ,ila hii yako imenishika Kooni.. kila nikiwa naangalia thread nyengine nakumbuka hii .
Nikaona si mbaya kutoa la moyoni .
Still naendelea kukuambia hukujipanga kukaa na mke ww.. kama ulikua tayari haya maswala ua ndoa yako yasingefika huku .
Ukweli unauma najua lakini kiukweli umekosea tena saana .

Kama unaona upo ryt ,nenda kwa mkeo au kwa mtu mzima unayemuamini , mwamnbie umeshindindwa kutoa maamuzi kwenye Familia yako na umeamua kuomba ushauri huku JF. {atakavyokujibu utajipima kama nnachoongea ni uongo.}

Shame on You , weak Husband . Shaaame .
 
Yaaani nilivyoiona tu hiyo heading yako nikajua ni mwanamke kaandika kumbe kuna wanaume nao wanatabia za hivi ww inaonekana dada zake hawaelewani kabisa na mawifi zao
 
mi ndo maana nimewatimua wote nimebaki na wa kike tuu, ambao wana msaada hata kwenye tuta..! na hata kama wi hayuko wao huokoa jahazi
 
Pole sana mdau ktk maisha ya ndoa ndugu ndio chanzo kikubwa cha matatizo.ukileta wa kwako shida.wife akileta wakwake shida.na wakwe pia shida.Ndio maana iliandikwa utawaacha wazazi wako na yy wake mkaanze maisha yenu.shida ni familia zetu za kimaskini wazazi na ndugu wanatengemea maisha kutoka kwetu.na hasa kama kwako sehemu ya kulala ipo na chakula alhamdubilah. Sasa cha kufanya kama wife umeshaongea nae now ni Zamu ya huyo jamaa mtoke out kidogo sehemu unayoipenda.jaribu kumuuliza plan zake mpe view za maisha.na mwisho mwambie ukweli tabia za wanaume kukaa jikoni waafrika hatujazoea.pili wanao yy ana mamlaka kidogo sana.tatu swala la yy kutoka bila kukuaga kuna siku atakuta virago vyake nje.Ure a Man, Father and Husband be strong.
 
Stop complicating.Mleta uzi si kama hajafanya jitihada,halafu watu si wajinga kama ufikiriavyo na binafsi sioni aibu hapa unayoizungumzia.By the way nini maana ya uwepo wa hili jukwaa? Vitu vingine muwe mnawaza kabla ya kupingana navyo jamani

I conqur
 
Naunga mkono 100% hoja hii,hili ni jambo dogo sana pia halihitaji hata ushauri wa jf.

Unaonekana wazi ni mkongwe kwenye ndoa sasa ni vzr ukakaa na Mkeo mkaongea na mambo yakawa kama zamani vile.

katka hii context co mkongwe
 
Ahaaa kanda ya wapi vile ?kawaida yao huko na si siku nyingi atakuja shemejiiii mwingine.l
 
Mume asiyeweza kusimama kwa ndoa yake ni tatizo
 
Sasa hukutaka shemeji yako apate kibarua

Wewe na mkeo mna matatizo ya mawasiliano

Shemejio alipofika kwako ulimpa utaratibu wa nyumba yako

Ulimuuliza atakuwa kwako kwa muda gani

Ulidiscuss nae hatima yake hapo kwako

Saa nyingine akija mgeni
Tena kama wa kukaa mda mrefu
Na wewe hupendi
Mtafutie shughuli ya kufanya..baada ya mwezi msaidie kupanga chumba ahamie kwake

La mwambie mkeo hutaki ndugu zake.... hakafu subiria ndugu zako wakija advertisement watakayofanyiwa
Ukiwa kama baba mamlaka yako yalipaswa yaonekane na yawe wazi

Ila udhibiti wivu wa kipuuzi pia
 
Baba ndo kichwa cha nyumba, huyo shemeji yako ana umri gani kwani??? unashindwa kukaa hata na sshemeji yako kuzungumza naye, inavyoonyesha kwanza hauna ukaribu naye, huo utofauti unaweza ukawa unatokana na wewe. Niki recall jinsi mashemeji zangu nakaa na napiga story za maana na kilaji juu japo wamenizidi kiumri. Tafuta kwanza ukaribu na shemeji yako, usiishie kumshinikiza tu mkeo am handle ndugu yake wakati wewe inavyoonesha unashindwa ku-handle affairs za nyumbani kwako. Act like a man, don't complain like how boys do.
 
Unauhakika huyo ni kaka yake wa damu? Au ni kaka binamu? Kuwa makini mkuu unaweza kujikuta unaishi na mume mwenza.
 
Siku hizi kuna simu.
Haya mambo ungeyamaliza kabla hajaja, ujue lengo lake na muda ataokaa.
Kwa sasa hivi, fanya maamuzi magumu jamaa aondoke in a week, ila mkaribishe tenaa kwako kwa mpango maalum, siyo kuja tu.
 
Bila shaka umeoa msukuma...anaeza kaa hapo hata nusu mwaka...bila hata wasiwasi wala kujishtukia...
 
Back
Top Bottom