Kukaa na mashemeji

Kukaa na mashemeji

kwanza huyo shemeji yako uliwahi kutambuliswha hapo awali?i mean unamjua kama shemeji yako tokea siku nyingi au ameibukia from nowhere?maanek isije ikawa ni mume mweznio maanake huo ukarbi sasa hapana ni too much,

Usikimbilie kuwaza hivyo. Huwezi jua wamelelewa katika mazingira gani.
Labda walipitia magumu huko utotoni so dada anawaza huu ni wakati muafaka wa kumfariji mdogo wake kwa kuwa karibu nae na kumjali.
Jamaa apunguze tu wivu.
 
Samahani bro! Huyo shemejio na mkeo hawafanani fanani kidogo!!! Hata tembea yao labda?
 
Yako mazuri na mabaya utakayoambiwa hapa kuwa mwangalifu kubainisha yenye kuweza kujenga familia yako.
 
hizo ni changamoto za ndoa mkuu ukiona mkeo hamuelewani siku mchukue huyo dogo fanya kuongea naae maswala sensitive ya yeye uwepo wake pale ndani katika hali ya utani alafu uone atakujibu nini akiwa na akili atajua nini cha kufanya by the way ana umri gani huyo kijana,?
 
Mko wengi nyie na nilitazamia watu kama nyinyi kujitokeza sishangai

Yaani ww ni Mbege kweli. ..wala si kidogo.

Sina tabia ya kukejeli thread ya mtu ,ila hii yako imenishika Kooni.. kila nikiwa naangalia thread nyengine nakumbuka hii .
Nikaona si mbaya kutoa la moyoni .
Still naendelea kukuambia hukujipanga kukaa na mke ww.. kama ulikua tayari haya maswala ua ndoa yako yasingefika huku .
Ukweli unauma najua lakini kiukweli umekosea tena saana .

Kama unaona upo ryt ,nenda kwa mkeo au kwa mtu mzima unayemuamini , mwamnbie umeshindindwa kutoa maamuzi kwenye Familia yako na umeamua kuomba ushauri huku JF. {atakavyokujibu utajipima kama nnachoongea ni uongo.}

Shame on You , weak Husband . Shaaame .
 
wewe mwanaume wa wapi mkuu? hata jambo hilo dogo linakuliza hivyo? angekuja mama mkwe si ndo ungepata presha kabisa? mke wako hafanyi kazi? wewe upo busy kiasi kwamba mke wako anaona dogo anampa kampani. kuwa mtu wa principle mkuu. Nina uncle wangu (RIP) ulikuwa ukienda kwake sijui umetoka bush huko anakupa siku tatu za ugeni siku ya nne anakuuliza umekuja fanya nini na lini unategemea kuondoka na kama umekuja na nauli ya kurudia. ilimsaidia sana ku establish maisha ya familia yako. weka principle zako na wote watakao kuja kwako wataambiana wenyewe kwa wenyewe.
 
Mkuu wakati unaenda kutoa mahari ulimuona? wakati wa utambulisho alikuwepo kwenye huo utambulisho?

I'm just curious, isije akawa kaka kweli kama kabila gani lile???
 
"Roho ngumu" yaani baada ya ushauri huu hapa najua atakuwa na pa kuanzia pazuri tu.
Unajua haya maisha ya "DNA TEST" magumu sana utakuta jamaa kaja kuweka mimba tu halafu aondoke.

ndg ww acha tu. Wanawake wenyewe hawa. Kaz kweli utajikuta unalea mme mwenza
 
Yaani ww ..

1. Hukustagili kuoa ,.inaonyesha hukuwa tayari kuoa ,umekutupuka .

2. Mwanaume kamili tena anayesema ana mkr na watoto ,maswala ya kifamilia kama Baba wa nyumba ilikupasa kuyamaliza mwnyewe,hususani swala dogo kama hilo . Ww ndio kichwa .

3. Kuomba ushauri wa kifamilia kwenye Mitandao ya kijamii ni kuiabisha Familia yako ,zaidi ni huyo unayemuita mkeo. Kama swala lilikua kubwa na una uhakika ulifuata taratibu zote za ndoa basi kilichokupasa ni kuchukua hatua za kunuonana na mshauri wako wa ndoa ,na sio kuja kuanika mambo ya familia yako huku .

4. Hujui wajibu wako kwenye ndoa mpaka sasa ,mke kakukalia kooni.

5. Na mwisho ,acha kuiaibisha familia ,zaidi mkeo.
Stop complicating.Mleta uzi si kama hajafanya jitihada,halafu watu si wajinga kama ufikiriavyo na binafsi sioni aibu hapa unayoizungumzia.By the way nini maana ya uwepo wa hili jukwaa? Vitu vingine muwe mnawaza kabla ya kupingana navyo jamani
 
Mbege zoea tu ni kawaida.

Hiyo ni syndrome ya waliowengi toka kanda ya ziwa. Huwa hawatembelei kwa wiki au angalau mwezi wanaweza wakakaa hata mwaka! Tena bora huyo yuko single angekuwa kaoa angekuja na mke na watoto na wangekaa zaidi ya miezi 3! Naongea kutokana na experience.
 
Stop complicating.Mleta uzi si kama hajafanya jitihada,halafu watu si wajinga kama ufikiriavyo na binafsi sioni aibu hapa unayoizungumzia.By the way nini maana ya uwepo wa hili jukwaa? Vitu vingine muwe mnawaza kabla ya kupingana navyo jamani

Sikiliza Ndugu yangu .
Kuwepo kwa jukwa hili ,
hakuna maana ya kwamba kila kiwekwacho ni sahihi, tusiruhusu ujinga wa kudumazana akili kwa vile kuna jukwaa kama hili.
Kabla ya kuruhusu uwanja wa wanaume wengine kumsaidia kutatua maswala ya familia yake tena mbaya zaiidi kwa kuomba msaada kwnye mitandao ya kijamii ,nadhani inampasa kujitafakari kwanza ana sehemu gani kama Baba wa familia.

Sidhani kwa vile jukwaa liko ,basi litumike kama Mahali pa kudumaza akili za mtu .

Pia sikatai kua ,labda linaweza kua jambo dogo kwangu lakini kwake likawa kubwa . ,ila bado kakosea,huwezi niambia mtu anayesema ana mke aruke step zote ,washauri wake wa ndoa ,washenga na wengine wengi ,aje direct JF .

JF tusipake watu mafuta kwa mgongo wa chupa ,let call a spade a spade and not a spoon. Tusijifanye waaungwana wakati mtu anastihili kujiangalia upya.
 
waungwana hawachelewi kumwambia 'unamegewa hapo'!!
Amegewe? dah unanikumbusha wimbo wa Bizman "Ametoroshwa" isije jamaa ikamkuta hii maana sielewi huyo shemeji na dada yake
 
Mtu aje kwangu na mke wake na watoto huyo ananitaka nini?
 
mpe makavu yake tu huyo anayeitwa shemeji, mwambie yako ya moyon jinsi gan unavyokwazwa na 123...
 
Back
Top Bottom