zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
<br /><br /><br />
<br /><br />
Unazungumzia usalama wa taifa lipi? Kenya,Uganda au malawi?maana hapa kwetu hatuna usalama wa taifa tuna usalama wa CCM tu.
Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu,plz naomba anijulishe!elimu yangu,ni ya vidato 6.sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafc 2 na hyo kazi..
<br /><br /><br />
<br /><br />
Usipotoshe Umma,CCM WANA USALAMA WAO NA SERIKALI INACHOMBO HICHO ACHEN MAJUNGU GREAT THINKER WA INTERNET,
mchongo=kazi,unaishi masaki nin mkuu?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Siku ikitokea kama libya hata humu jf hakuna wa kukaa kujulishana lolote,ni mwendo wa damu kumwagika tu,muhimbili yote itageuka mochwari, nyie wanaharakati wa kujificha mtachukuliwa mizukule.achen dharau na vyombo vya dola.
<br />Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu,plz naomba anijulishe!elimu yangu,ni ya vidato 6.sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafc 2 na hyo kazi..
duh,umemkomalia,nathani hana hamu<br />
<br />
wadau leo ngoja nimuumbue huyu dogo anadai c yey nenda jukwaa la elimu kuna thread ya( habari mbaya kwa wanafunzi 2nd year udsm- COET) Utajua kwamba ndo huyu senetor yey, ana supp so c form 6 kama anavyodai. Mim c bahatishi naona kazidi ku2danganya.