mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,586
- Thread starter
- #21
siku hujatembea na silaha wanakuzukia, siku unazotembea nazo wala hukutani naoJifanye muhuni mwenzao if possible kuwa muhuni mwezao kabisa hakuna ana kugusa, nishawahi kutembea nimevua shati mara nyingi sana ili kuepuka roba. Ikishindikana tembea na pesa ndogo ndogo karibu, all in all kuwa mbabe tembea na siraha.
Sent using Jamii Forums mobile app